tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Katika interview yake pale Clouds ameeleza situations mbalimbali alizopitia katika maisha za mateso na kuumizwa hata kupelekea kubaki na makovu ya mwili na rohoni.
Ni nani huyo mtu tishio kwa kiwango hicho? mpaka anaogopa kabisa kumtaja na anaishia kusema nimesamehe!
Japo tumjue tu, hata kwa picha pia wala si kwa ubaya maana amesamehewa na mhusika.
Ni nani huyo mtu tishio kwa kiwango hicho? mpaka anaogopa kabisa kumtaja na anaishia kusema nimesamehe!
Japo tumjue tu, hata kwa picha pia wala si kwa ubaya maana amesamehewa na mhusika.