Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Madawa ya kulevya ni nini??
Makande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madawa ya kulevya ni nini??
Waache ujinga [emoji23]Wanawake utasikia nimesamehe badala ya kutafuta haki eti nimenyanyenyenye
Ujanja huo huna. Acha utani bos.Wenyewe ni sisi.
Inaonekana kuna nguvu ya ziada ya mvuto alikua akupata kutoka kwa huyo meneja wake. Sasa hivi haipo ndio mana unaona hawiki tena kama awaliNi kweli, huyo mzee alikuwa mafia hasa. Na tangu waachane Rose hajarudi kwenye level yake tena bila shaka kuna fuse watakuwa wameichomoa. Namwonea huruma sana anavyohangaika kwa hawa manabii mara Kenya kwa kina ng'ang'a mara kwa kina kuhani Musa etc lakini wapi. Hata akijitahidi kutoa ka wimbo, unasikika siku moja, maximum wiki moja humsikii tena. Mungu amsaidie sana.
Hapa nakubaliana na wew. Kuna kipindi ilifika yaani karibia Kila Jumapil ana show mbil au tatu kwa siku na n makanisa na mikutano tofaut. Kiasi alishindwa kwenda mpaka kuitwa tapelKila binadamu ana capacity yake ya utendaji kazi. Alipokuwa na shows nyingi za kimataifa alikuwa hana muda wa kupumzika maana manager tayari alikuwa ameshachukua pesa za shows mbalimbali so ilibidi abwie madawa ili kazi ziendelee kwa ile style yake ya uchezaji bila kuwa Hi asingeweza.
Yeye alikua vizuri ila msimaiz wa kaz zake alikua tapelShida ni Rose mwenyewe,
Alifanya biashara ya dini badala ya kueneza injili.
Kama ngono ilikuwa ni sehemu ya propeller yake, malipo halisi badala ya malipo wezeshi basi alikuwa mfanyabiashara wa dini
Amepata anachistahili,
Ni mfano kwa wengine usimletee MUNGU dhihaka
Rohoni ni mwanaume ila akilini we ni mbumbumbu sheikh wanguMadawa ya kulevya ni nini??
Mwenzio anafanya kazi ya bwana, samehe mara 7 mara 70Wanawake utasikia nimesamehe badala ya kutafuta haki eti nimenyanyenyenye