Ni nani alimtesa vile Rose Mhando?

Ni nani alimtesa vile Rose Mhando?

Alex days are numbered... Naona sasa hivi Rose kaamua kama mbwai naiwe mbwai...
Ila dada kapotezewa kilakitu ktk maisha yake, kabaki na roho tu...
Ifike mahali serikal ikae naye chini imsikilize na kumsaidia kupata haki zake...
Otherwise mtasikia rose kafa ghafla ila naamini huyu dada haki yake itapatikana tu kapitia magumu sana...
Karma itamlipa haki yake..
 
Ni wakati wa jamii kumsaidia Rose MUHANDO. Inatia aibu Kwa Miaka mingi Rose amelelalamika kuonewa na kuteswa. Mpaka kufikia Taifa la Kenya kumsaidia Rose.

Ajabu ni Vyombo vya Dola vya Tanzania viko kimya Kwa Miaka Sasa. Kwanini havichukui hatua? Mtu mashuhuri kama Rose Muhando, napiga yowe Kwa Miaka Sasa Lakini hapati msaada.

Ni wakati tuitishe MAANDAMANO au matembezi ya amani ili kupaza sauti .
#justiceforRoseMuhando#
Amelalamika kwenye vyombo sahihi?au analamika tu ilimradi watu wasikie?,kwanini asishtaki rasmi
 
Nathan Wami Mwaluganje, huyu ndio alikuwa manager wa Rose mhando. Katikati ya safari huko wakawa mpaka wapenzi na booking zote pamoja na pesa za shows za ndani hata nje ya nchi huyo mzee alikuwa anazi handle yeye.
Dada alikuwa mraibu kabisa, ili aweze kuimba na kucheza kama chizi na akikataa hizo mishe alikuwa anakula kipigo heavy.
Duuuh, Dunia inamambo sana aisee. Yaani Kuna mengi nyuma ya pazia( there are alot behind the scene)
 
Mimi nashindwa kuelewa, kwani wakati wanaandikiana mikataba ya kazi, Upande Rose Muhando yeye alikuwa na wakili wake? Kama hakuwa naye kwanini alikubali kuwana chini ya Msama production Wakati hakutimiza masharti ya mikataba ya kazi kama hizo? Anavuna alichopanda?
Nadhani alifungwa kiongozi. Ukifungwa huwezi kung'amua hata iweje. Ulimwengu wa roho ndiyo software ya maisha yetu. Ikicorrupt utaziona rangi zote Duniani hapa na hujui utokee wapi.
 
Watu wa hivyo ukiwasikiliza , unaweza sema Dunian Kuna watu wanyama, makatili, ukoo wa Shetani. Unaweza Anza kufunga, kukesha Kwa maombi, na kunena Kwa lugha.
Sasa anza kumuuliza, hayo mateso ni yapi, unyanyasaji upi, akikosa ushahidi anaanza kulia tu.
Kutafuta huruma za watu sio sanaa.
 
Toka alivyoingia mkataba na Sony music ndio alipoanza haribikiwa maana hao ndio wazee wa industry... kawaulize aakina Michael Jackson na DMX na wengine wengi walivyoteseka na hao jamaa Sony.
Aise

Ova
 
Toka alivyoingia mkataba na Sony music ndio alipoanza haribikiwa maana hao ndio wazee wa industry... kawaulize aakina Michael Jackson na DMX na wengine wengi walivyoteseka na hao jamaa Sony.
Kwamba Sony walikuwa na nguvu ya kumwongoza Michael Jackson pamoja na utajiri alionao??, uwe unatumia akili mda mwingine
 
Aisee huyu huyu wa Msama promotion? Aah aaah amemuumiza sn mwilini mama wa watu,hadi maumivu ya moyo anayo yule mama.Mtafuteni Rose muone alivyo na makovu ya kutishaaa.


Yani me ningeenda kuroga
Duh
 
Katika interview yake pale Clouds ameeleza situations mbalimbali alizopitia katika maisha za mateso na kuumizwa hata kupelekea kubaki na makovu ya mwili na rohoni.

Ni nani huyo mtu tishio kwa kiwango hicho? mpaka anaogopa kabisa kumtaja na anaishia kusema nimesamehe!

Japo tumjue tu, hata kwa picha pia wala si kwa ubaya maana amesamehewa na mhusika.
Mshana Jr alipata kuandika jambo juu ya huyo mwimbaji ukiipata ile habari utajua jinsi dini zinavyotumika visivyo
 
Toka alivyoingia mkataba na Sony music ndio alipoanza haribikiwa maana hao ndio wazee wa industry... kawaulize aakina Michael Jackson na DMX na wengine wengi walivyoteseka na hao jamaa Sony.
Ukiwa kwenye music industry huwezi wakwepa hao bila kujali upo chini ya lebo ipi haijalishi unaimba injili au miziki ya kuzimu
 
Watu wa hivyo ukiwasikiliza , unaweza sema Dunian Kuna watu wanyama, makatili, ukoo wa Shetani. Unaweza Anza kufunga, kukesha Kwa maombi, na kunena Kwa lugha.
Sasa anza kumuuliza, hayo mateso ni yapi, unyanyasaji upi, akikosa ushahidi anaanza kulia tu.
Kutafuta huruma za watu sio sanaa.
Alisimulia kwamba ilikua usiku akiwa kwenye gari lake walimpeleka porini wakampa kichapo kitakatifu cha kuua mbwa mwizi mwisho wakachomoa bastora wakamwekea kichwani wakamwambia sali sala zako za mwisho leo tunakuua wakawasha moja juu kwanza kisha wakamwekea tena kichwani

Anasema kuna MZEE alikua anapitisha mifugo yake aliposikia mlio wa risasi akasogelea eneo lile na kupaza sauti ndio wale wauwaji wakakimbia wakamuacha mzima, cha ajabu hakuwashtaki na anawajua eti amewasamehe

Mtangaji akammind sana kasamehe kivipi anawasamehe wahalifu?!
 
Back
Top Bottom