Uraibu wa madawa ya kulevya na vileviUraibu nini??
Yule alikuwaga anaandaa tamasha la pasaka au?Alex, katafute Alex gani alifanya kazi na rose. Ukimpata ndio huyohuyo
Inategemea hiyo haki unaitafuta kwa watu gani. Ukiona ni hatari inabidi usamehe tu japo kinyonge!Wanawake utasikia nimesamehe badala ya kutafuta haki eti nimenyanyenyenye
Aisee huyu huyu wa Msama promotion? Aah aaah amemuumiza sn mwilini mama wa watu,hadi maumivu ya moyo anayo yule mama.Mtafuteni Rose muone alivyo na makovu ya kutishaaa.Yule alikuwaga anaandaa tamasha la pasaka au?
Alex Msami.Katika interview yake pale Clouds ameeleza situations mbalimbali alizopitia katika maisha za mateso na kuumizwa hata kupelekea kubaki na makovu ya mwili na rohoni.
Ni nani huyo mtu tishio kwa kiwango hicho? mpaka anaogopa kabisa kumtaja na anaishia kusema nimesamehe!
Japo tumjue tu, hata kwa picha pia wala si kwa ubaya maana amesamehewa na mhusika.
Toka alivyoingia mkataba na Sony music ndio alipoanza haribikiwa maana hao ndio wazee wa industry... kawaulize aakina Michael Jackson na DMX na wengine wengi walivyoteseka na hao jamaa Sony.Katika interview yake pale Clouds ameeleza situations mbalimbali alizopitia katika maisha za mateso na kuumizwa hata kupelekea kubaki na makovu ya mwili na rohoni.
Ni nani huyo mtu tishio kwa kiwango hicho? mpaka anaogopa kabisa kumtaja na anaishia kusema nimesamehe!
Japo tumjue tu, hata kwa picha pia wala si kwa ubaya maana amesamehewa na mhusika.
According to wananzengo mkuu ila ukweli halisi anaujua yeye.Aisee huyu huyu wa Msama promotion? Aah aaah amemuumiza sn mwilini mama wa watu,hadi maumivu ya moyo anayo yule mama.Mtafuteni Rose muone alivyo na makovu ya kutishaaa.
Yani me ningeenda kuroga
Kada achukuliwe hatua na Nani?Alex days are numbered... Naona sasa hivi Rose kaamua kama mbwai naiwe mbwai...
Ila dada kapotezewa kilakitu ktk maisha yake, kabaki na roho tu...
Ifike mahali serikal ikae naye chini imsikilize na kumsaidia kupata haki zake...
Otherwise mtasikia rose kafa ghafla ila naamini huyu dada haki yake itapatikana tu kapitia magumu sana...