Ni nani alimtesa vile Rose Mhando?

Nathan Wami Mwaluganje, huyu ndio alikuwa manager wa Rose mhando. Katikati ya safari huko wakawa mpaka wapenzi na booking zote pamoja na pesa za shows za ndani hata nje ya nchi huyo mzee alikuwa anazi handle yeye.
Dada alikuwa mraibu kabisa, ili aweze kuimba na kucheza kama chizi na akikataa hizo mishe alikuwa anakula kipigo heavy.
 
Hii dunia kila jambo lina wakat wake, hata uwe na nguvu za urais ukionea mtu lazima upate adhabu ya Mungu au Mamlaka au Watu au Nguvu ya asili...
 
Duuuuh kapitia magumu huyu Rose uwiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walokole wanajijua wenyewe
 
Yes huyu ndie aliemtesa Rose inafahamika na alikuwa Mzee wa kanisa kanisa alikofahamiana na Rose, inajulikana huyu ndie aliemtesa Rose, na kuna interview Rose alishataja kabisa kuhusu huyu mtu
 
Ndugu wanajamii ebu tuweke wazi hili swala la mateso aliopitia Rose Mhando, hapo kabla alishasema Meneja wake ambae alikuwa ni Mzee wa kanisa ndio aliemtesa, na hata watoto wa Rose wanajua sasa mkwamo ni nini huyu Mwaluganje ni nani na ana nini cha kuogopeka hivyo.

Katishiwa jambo gani huyu Rose.

Anafanya interview za nini kama amekubali yaishe basi aachane kabisa na hio mada.
 
Ni wakati wa jamii kumsaidia Rose MUHANDO. Inatia aibu Kwa Miaka mingi Rose amelelalamika kuonewa na kuteswa. Mpaka kufikia Taifa la Kenya kumsaidia Rose.

Ajabu ni Vyombo vya Dola vya Tanzania viko kimya Kwa Miaka Sasa. Kwanini havichukui hatua? Mtu mashuhuri kama Rose Muhando, napiga yowe Kwa Miaka Sasa Lakini hapati msaada.

Ni wakati tuitishe MAANDAMANO au matembezi ya amani ili kupaza sauti .
#justiceforRoseMuhando#
 
Umefika mbali !
 
Ya madawa ya kulevya inasikika miaka mingi lisemwalo lipo.
 
Alex Msami.
Mateso aliyompa yanaumiza sana
Mbona hamyasemi hayo mateso? Alimfungia kwenye vyumba vya siri na kumfanyia torturing kama gaidi anaye hojiwa Baaya ya kugoma kutoa siri fulani?
 

Rose Muhando kama hii ni kweli Mungu amsaidie​


 
Mbona hamyasemi hayo mateso? Alimfungia kwenye vyumba vya siri na kumfanyia torturing kama gaidi anaye hojiwa Baaya ya kugoma kutoa siri fulani?
Wanavyodai watu wa karibu:
1. Alimgeuza punda wa ngono
2. Alipokataliwa kuhusu hilo alimtishia kumpoteza
3. Alipotaka wavunje mkataba wa kazi pia alimshikia pisto mara kadha kuwa akivunja mkataba wa kazi atammaliza.

Note: Bukuku aliyasema haya mara kadhaa kuwa Rose asaidiwe apitia kipindi kigumu...watu hawakumwamini kwa jinsi walivyoonekana mbele ya jamii kuwa wameivana, kumbe uvunguni kulikuwa na magumu
 
Ni kweli, huyo mzee alikuwa mafia hasa. Na tangu waachane Rose hajarudi kwenye level yake tena bila shaka kuna fuse watakuwa wameichomoa. Namwonea huruma sana anavyohangaika kwa hawa manabii mara Kenya kwa kina ng'ang'a mara kwa kina kuhani Musa etc lakini wapi. Hata akijitahidi kutoa ka wimbo, unasikika siku moja, maximum wiki moja humsikii tena. Mungu amsaidie sana.
 
Aiseee anamdunga acheze km chizi?
Kila binadamu ana capacity yake ya utendaji kazi. Alipokuwa na shows nyingi za kimataifa alikuwa hana muda wa kupumzika maana manager tayari alikuwa ameshachukua pesa za shows mbalimbali so ilibidi abwie madawa ili kazi ziendelee kwa ile style yake ya uchezaji bila kuwa Hi asingeweza.
 
Hatari sana,ikifikia mahali hata kwenye kueneza injili watu wanafanyiana unyama wa kiasi hicho ili kupata pesa hii ni hatari sana.Mimi zamani niliamini kuwa gospel singers wote wameokoka ila baadaye ndio nikaja kugundua kuwa ni waganga njaa tu,wameamua kuimba nyimbo za kumtukuza Mungu ili wapate pesa,kwahiyo wako tayari kufanya chochote ilimradi mambo yao yaende....
 
Ila si jumba lke la dodoma la 200m si lipo?
Si ana ka pesa flani bank. Kama yupo vizuri, mm na wenzangu tutashukuru maana , wengi wa wasabi wanaokuja mbele za vyombo vya Habari wanakua wanachoka, kiasi sisi mashabiki tunaumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…