nkosiyamakosini
Member
- Nov 4, 2010
- 83
- 2
Waislamu wameendelea kuvichangia vyama vyote kura zao, Hususan CCM na CUF na CHADEMA Anayebisha ukweli huu ni kama anabisha kuwa asili ya watanzania ni Tanzania.
matokeo ya uchaguzi yamedhihirisha udini na ukabila unavyoota mizizi katika siasa za tanzania. Chadema wamepata ushindi katika maeneo ya wakristo wengi na makabila fulani fulani tu. Maeneo hayo ni kilimanjaro, kanda ya ziwa, iringa na rukwa. Hii inatokana na safu za uongozi wa juu kutokana na dini na makabila hayo. Pia ccm imetetereka baada ya mfumo uliokuwa unakipa nguvu kuhamia chadema. Ccm imeendelea kushinda kwa sababu mfumo huo haujaondoka wote, bali nusunusu. Mwaka 2015, chama tawala kinaweza kuwa chadema ikiwa mfumo huo wote utahamia chama hicho, lakini hakitatofautiana na ccm ya juzi na jana. Cuf imeendelea kubaki nafasi yake ileile kwa sababu imeshindwa kupokewa na mfumo ulioistawisha ccm. Cuf imeendelea kubakishwa ilipo kutokana na wapenzi na wanachama wake kuwa ving'ang'anizi wa mfumo wao wanaouona haufanani na vyama vingine. Waislamu wameendelea kuvichangia vyama vyote kura zao, hususan ccm na cuf na chadema anayebisha ukweli huu ni kama anabisha kuwa asili ya watanzania ni tanzania.
no, lahasha. Ni kweli lazima tukubaliane na kupanuka ki demokrasia, ila utaona mikoa ya mipakani mwa nchi yetu ndio imejitoa muhanga zaidi katika hilo kutokana na mifano flani flani ya nchi za kando mwake. Tukumbuke kwamba siasa safi na uongozi bora sio lazima zitoke vyama vya siasa mbadala (sipendi kuita upinzani), watanzania wa chama chochote wanayo haki ya kuchagua wanachohitaji kwa muda waupendao. My thinking is we probaly need change we do not know yet! Thanks
Matokeo ya uchaguzi yamedhihirisha udini na ukabila unavyoota mizizi katika siasa za Tanzania. CHADEMA wamepata ushindi katika maeneo ya wakristo wengi na makabila fulani fulani tu. Maeneo hayo ni Kilimanjaro, Kanda ya Ziwa, Iringa na Rukwa. Hii inatokana na safu za uongozi wa juu kutokana na dini na makabila hayo.
No, Lahasha. Ni kweli lazima tukubaliane na kupanuka ki demokrasia, ila utaona mikoa ya mipakani mwa nchi yetu ndio imejitoa muhanga zaidi katika hilo kutokana na mifano flani flani ya nchi za kando mwake. Tukumbuke kwamba siasa safi na uongozi bora sio lazima zitoke vyama vya siasa mbadala (sipendi kuita upinzani), watanzania wa chama chochote wanayo haki ya kuchagua wanachohitaji kwa muda waupendao. My thinking is we probaly need change we do not know yet! thanks
Matokeo ya uchaguzi yamedhihirisha udini na ukabila unavyoota mizizi katika siasa za Tanzania. CHADEMA wamepata ushindi katika maeneo ya wakristo wengi na makabila fulani fulani tu. Maeneo hayo ni Kilimanjaro, Kanda ya Ziwa, Iringa na Rukwa. Hii inatokana na safu za uongozi wa juu kutokana na dini na makabila hayo. Pia CCM imetetereka baada ya mfumo uliokuwa unakipa nguvu kuhamia CHADEMA. CCM imeendelea kushinda kwa sababu mfumo huo haujaondoka wote, bali nusunusu. Mwaka 2015, chama tawala kinaweza kuwa CHADEMA ikiwa mfumo huo wote utahamia chama hicho, lakini hakitatofautiana na CCM ya juzi na jana. CUF imeendelea kubaki nafasi yake ileile kwa sababu imeshindwa kupokewa na mfumo ulioistawisha CCM. CUF imeendelea kubakishwa ilipo kutokana na wapenzi na wanachama wake kuwa ving'ang'anizi wa mfumo wao wanaouona haufanani na vyama vingine. Waislamu wameendelea kuvichangia vyama vyote kura zao, Hususan CCM na CUF na CHADEMA Anayebisha ukweli huu ni kama anabisha kuwa asili ya watanzania ni Tanzania.
Matokeo ya uchaguzi yamedhihirisha udini na ukabila unavyoota mizizi katika siasa za Tanzania. CHADEMA wamepata ushindi katika maeneo ya wakristo wengi na makabila fulani fulani tu. Maeneo hayo ni Kilimanjaro, Kanda ya Ziwa, Iringa na Rukwa. Hii inatokana na safu za uongozi wa juu kutokana na dini na makabila hayo. Pia CCM imetetereka baada ya mfumo uliokuwa unakipa nguvu kuhamia CHADEMA. CCM imeendelea kushinda kwa sababu mfumo huo haujaondoka wote, bali nusunusu. Mwaka 2015, chama tawala kinaweza kuwa CHADEMA ikiwa mfumo huo wote utahamia chama hicho, lakini hakitatofautiana na CCM ya juzi na jana. CUF imeendelea kubaki nafasi yake ileile kwa sababu imeshindwa kupokewa na mfumo ulioistawisha CCM. CUF imeendelea kubakishwa ilipo kutokana na wapenzi na wanachama wake kuwa ving'ang'anizi wa mfumo wao wanaouona haufanani na vyama vingine. Waislamu wameendelea kuvichangia vyama vyote kura zao, Hususan CCM na CUF na CHADEMA Anayebisha ukweli huu ni kama anabisha kuwa asili ya watanzania ni Tanzania.