kusema kweli, mdini ni kikwete mwenyewe...kwanini anaruhusu mambo hayo ya udini kuingia nchini, na kama kuna watu amewaona wana udini, kwanini asiwafesi moja kwa moja na kuwatangaza kwa kosa walilofanya,...kwasababu naongea hivyo kutokana na kwamba kauli hiyo yeye anawalenga wakristo, wakati wakristo nao wanaona yeye ni mdini kwa kuto kuwakemea mashehe wanaohubiri chuki huko msikitini na kwenye radio kheri na magazeti ya kiislam,, amenyamaza kimyaaa, toka lini kwenye magazeti ya kikristo au radio zetu tukahubiri udini?akawaseme waislam wenzie huko, sasa yeye anaamini kuwa wakristo ndio wadini...ajabu kweli.