- Hapana katiba haiwezi kubadilishwa kienyeji namna hii, yaani wananchi 46 tu wawe na nguvu ya kutubadilishia katiba wananchi 45 Millioni kwa sababu eti wanatoka Rais akihutubia, sasa hili litakua taifa gani mkuu?
William.
Ndugu hao watu 46 wanawakilisha mamilioni ya watanzania..,wanawakilisha mikoa yote chadema walipopewa kura,wanawakilisha kura zoote alizopewa dr.slaa,wanawakilisha wale wote walioichoka katiba mbovu.