Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,337
Asante Chiefm Tz
Mbona hajamkemea Padri Slaa kwa wizi wa mke wa mtu? au huo si uovu! Kama anaiba mtu mwenzie angekwenda ikulu si hazina angeikausha? Bwana pengo wizi wa mke wa mtu pia ni ufisadi mbaya ukemee tukusikie
kama unataka kuanza kumpangia Pengo hotuba si uende ukaombe ukatibu! Japo ata nusu sifa moja kati ya zikubalikazo huna! Au unataka aongee unayofikiria wewe?na atajuaje kama unafikiria icho,mana yeye aongozwi na majini kama mkwere flani kwa akina shee yahya na prof.maji marefu? Acha akemee anachojua kwanza!