Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Du!! Nimeupenda huu mjadala kwa sababu hauna matusi kama ya baadhi ya mashabiki wengine wa dini. Endeleeni
 
Udini kama upo upo
Hapa nilipo Kuanzia mjumbe wangu,Mtendaji wa kijiji, diwani,mwenyekiti wa halmashauri, mbunge, mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, waziri mkuu, makamu wa rais na rais. mmoja tu ndio mkristu.sasa nitakosaje kuamini kuwa udini upo.
 
taifa linaenda pasipo dira na kama kuna wanadini ni wakati wao wa kusali na kujaribu kuokoa kilicho mbele kwani mawakala wa makampuni ya silaha nadhani wameanza kutangaza silaha zao na matumizi yake

tanzania uliachwa na nyerere umepotea , tunahitaji chaguo la mungu atayelinusulu taifa hili kwenye machafuko
 
tazameni majadiliano ya watu hawa kwenye facebook na muone jinsi wananchi wanapoelekea



pale mapadri na mashehe wanapotofautiana kwa waumini itakuwaje?

4 hours ago · LikeUnlike · Comment · View Feedback (13)Hide Feedback (13)

    • Salum Masudi ‎@gocha, kwani mapadri na masheikh hawatofautiani?4 hours ago · UnlikeLike ·
      tddUIK01p63.png
      1 personLoading...
    • Godwin Chacha kawaida watu wanatakiwa kutofautiana lakini kikubwa zaidi ni namna ya siasa ya nchi yetu inavyoanza kutenga watu kwa makundi ya dini mimi nashindwa kujua hivi tunaenda wapi?kwani inavyoonekana watu wanaanza kutofautiana si kimitazamo bali kwa dini zao. inabidi ifike wakati mapadri na mashehe wakae pamoja na kuagalia nini athari za migongano yao katika ustawi wa taifa letu3 hours ago · LikeUnlike
    • Salum Masudi ‎@gocha! si masheikh kukaa na mapadri kinachotakiwa ni mapadri kutambua kuwa waislamu wana haki sawa kama wakristo katika nchi hii hivyo wabadilike ingawa wao (Mapadri) ndio wanaotawala hii nchi kupitia mawakala wao walio wengi serikalini, ...mifano ni mingi ya waislamu kunyanyaswa na serikali lakini hakuna hata mfano mmoja wa wakristo kunyanyaswa na serikali kwani wao ndio serikali yenyewe! waislamu kupata haki ya kujisitiri kwa hijjab tu iliwagharimu kuachishwa kazi na hadi leo kuna wanaonyanyaswa kwa kuvaa hijjab na me ngine mengi, wanaojua historia ya nchi hii hawawezi kubisha na hata wakibisha miyoni mwao wanajua ukweli, wakati nasoma ilboru kuna mzungu jirani alikuwa akilalamika eti tunampigia kelele kwa adhana lakini hakuzungumzia kengele za shule kuanzia asubuhi hadi jioni na kengele za kanisa za siku ya JUMAPILI, I think u get a picture of the problem now!See More
      3 hours ago · LikeUnlike ·
      tddUIK01p63.png
      1 personLoading...
    • Godwin Chacha kwanini mapadri watawale nchi wakati rais, makamu wa rais, jaji mkuu, mkuu wa polisi na ata director wa usalama wa taifa ni waisilamu? huoni kuwa kama watu hawa wakitawaliwa basi wamejitakia? kwa upande wa wakristo pia wanaona mgawanyo huu wa vyeo vya juu si sawa na ni kama msikiti kutawala nchi na ata kutaka kuingiza mahakama ya kadhi kwenye katiba3 hours ago · LikeUnlike
    • Salum Masudi ha ha ha ha! I knew utasema hivyo! ni kama watu fulani waliosema udom kuna udini eti kwa kuwa vc ni prof kikula ambaye ni muislamu na kusahau walio chini wote ni wakristo na ndio watendaji yeye anapelekewa taarifa tu, ok unaona sasa! mahak...ama ya kadhi ni ya waislamu na itawahukumu waislamu na kizuri zaidi serikali ilitumia fedha nyingi kuunda tume kujiridhisha kuhusu mahakama ya kadh ambayo kenya ipo na hata zanzibar ipo na imegundua hakuna madhara lakini haitekelezwi kwa sababu tu mapadri kwa maslahi ya ukristo hawaitaki, hata OIC Membe alitangaza bungeni kuwa ina faida nyingi tu lakini mapadri wakamwita na kusitisha ili waislamu wasipate misaada LAKINI SIKU MOJA HAKI ITAPATIKANA INSHALLAHSee More
      3 hours ago · UnlikeLike ·
      tddUIK01p63.png
      2 peopleLoading...
    • Salum Masudi wakristo lazima waone mgawanyo huo c sawa kwa kuwa walishazoea kututenga eti waislamu hawakusoma na hawa tunaowaona sasa kwenye hivi vyeo hawakusoma, walikuwa wapi, MKAPA aliwahi kuvunja bodi ya PAROLE kwa kuwa haikuwa hata na muislamu mmoja ilijaa mapadri na maaskofu, mnajisahau mnadhani mko peke yenu hii ni nchi yetu wote3 hours ago · LikeUnlike ·
      tddUIK01p63.png
      1 personLoading...
    • Godwin Chacha sasa umeona jinsi jamii inavyoweza kutafsiri mambo tofauti vivyo hivyo pande zote hizi kila moja inaweza kuwa inalalamika kutawaliwa na mwenzake huoni jawabu ni kukaa na kujadili matatizo yao na kufikia jawabu.kwa upande wangu sioni tofauti... kati ya mtawala mkristo na muislamu kwani imekuwa kawaida kwa watawala wetu kujinufaisha wenyewe na kutojali wananchi. wameuza rasilimali zetu na kutuacha masikini . cha msingi ni umoja wa wananchi kuzuia ufisadi na mmomonyoko wa maadili ya viongozi....kwa upande wako je ungependa utawaliwe na mtu kwakuwa ni dini yako tuu au anayeleta manufaa kwa jamii? je mashehe na mapadri wanavyolumbana kuna nini jipya tunalolingoja?See More
      3 hours ago · LikeUnlike
    • Salum Masudi Inaonekana Gocha hujagundua tatizo, kama wewe hauko biased ni rahisi kugundua sisi waislamu hatuna tatizo lakini wakristo mnatuchukia na mnapenda sisi tufuate mila zenu ambacho haiwezekani kwa mfano ninyi mnajua fika sisi hatuli nguruwe iwe...je pale minaki mwalimu atumie vyombo vya shule kupikia nguruwe? na kama TZ kuna ubalozi wa Vatican vipi ishindikane TZ kujiunga na OIC? na mifano iko mingi inayoonesha chuki ya makanisa na hasa mapadri dhidi ya uislamu, sasa hao watu inabidi wabadilike kimtazamo kabla ya kukaa pamoja na wasidhani kwamba mtu anaweza akajiunga kwenye imani yao kwa kumnyanyasa, hoja ndio itakayombadilisha mtuSee More
      3 hours ago · LikeUnlike ·
      tddUIK01p63.png
      1 personLoading...
    • Salum Masudi kwa kuwa jumapili nyinyi mnaenda kanisani mmelazimisha iwe mapumziko ila mnajua umuhimu wa ijumaa kwetu lakini mpaka tulipofikia kupata ruhusa ya kwenda kuswali ijumaa iliwagharimu waislamu kupigwa, kunyanyaswa na hata kufukuzwa kazi, au haya huyajui?3 hours ago · LikeUnlike ·
      tddUIK01p63.png
      1 personLoading...
    • Salum Masudi tatizo tumerithi mfumo kristo ambao unataka kutofanya kazi jumapili kwa kuwa mnaenda kanisani, wanawake wawe uchi kwa sare mlizoziweka kwa kuwa dini yenu inaruhusu, kutumiwa pombe kwenye sherehe kwa kuwa dini yenu inaruhusu, sasa sisi tukisema hapana kwa kuwa dini yetu hairuhusu inakuwa sisi tunaleta udini! matatizo ni makubwa na majibu hayawezi kuwa rahisi, inabidi upande mmoja ukubali kwamba wakati umefika sasa wa EQUAL RIGHTS 4 ALL3 hours ago · LikeUnlike ·
      tddUIK01p63.png
      1 personLoading...
    • Godwin Chacha vaticani ni nchi kama ilivyo iran na saudia na kwanini turuhusu iran kuwa na ubalozi tuzuie vatikani...iran ni nchi ya kiislamu na vatikani ni nchi ya kikristo sasa huoni kuwa kujiunga na oic ni kusema nchi yetu ni ya kiislamu? je wakristo ...tukiomba katiba itambue tz ni nchi ya kikristo itakuwaje? ha ha ha minaki ni shule ya kikristo sasa ni sawa na mkristo akisoma islamiki school agome kuvaa hijabu....kuna wakati jamii inaweza kulalamika ata vitu vidogo kwa mfano wakristo wakilalamika kwanini waislamu wao tuu ndio wanachinja kwenye machinjio yote nasi tunakula na sisi tumezuia kuchinja katika machinjio yote unadhani malalamiko haya yana mantiki yoyote?See More
      2 hours ago · LikeUnlike
    • Salum Masudi vatican ni wakala wa kanisa katoliki hapa hivyo haina manufaa kwa taifa na ndio maadui wakubwa wa waislamu, minaki ni shule ya serikali siyo ya kanisa na hata kama ingekuwa ya kanisa ina maana hawaruhusiwi kusoma waislamu na kama wanaruhusi...wa vipi haki zao zisizingatiwe na hapo ndo kwenye kiini cha tatizo, kuhusu OIC nchi iliunda tume kufanya research na imegundulika hakuna madhara na hata Membe alitangaza bungeni hilo kwa hiyo hatuheshimu tume tulizoziunda sisi wenyewe? kuhusu kuchinja nyinyi wakristo hamna utaratibu wa kuchinja nyinyi mna nyonga tu na kama mnao semeni kila watu wawe na wachinjaji wao kwani tatizo liko wapi hapo? halafu unasema vitu vidogo kula nguruwe kwa muislamu siyo kitu kidogo! uislamu ni mfumo kamili na ndio maana una utaratibu katika kila aspect ya maisha kama ndoa, mirathi, mavazi, mazishi n.k. Tatizo tukifuata sisi dini yetu tunakuwa wadini ila mkifiata ninyi inakuwa ndio sawa!See More
      2 hours ago · LikeUnlike ·
      tddUIK01p63.png
      1 personLoading...
    • Godwin Chacha ni wakala lakini ni nchi inayotambulika na umoja wa mataifa, na pia minaki ni shule ya kikristo bali natambua haki ya muislamu kutokutumia nguruwe lakini mbona mnawalazimisha dada zetu kuvaa hijabu(vazi la kiislamu) pia kama wamefanya utafi...ti wakagundua kuwa oic haina madhara je wewe umeona madhara ya vatikani kuwa na ubalozi wake? ha ha ha kijana kama unaweza kuona pande nyingine wananyonga hawachinji basi na wao wanaweza kuwa na mtazamo kama wako. kwani kuchinja ni lazima kuwe na dua la kiislamu? kuwa na aspect ya maisha ya dini ni vema kwanini mfumo wa maisha yenu lazima yaingizwe kwenye katiba? kwani kama mkianzisha mahakama za kadhi kwenye misikiti pasipo kuingiza kwenye katiba nani atalalamika?
      mbona ata sasa mna kadhi mkuu kuna mtu amelalamika? vile vile irani ni wakala wa uislamu nasi tusinge penda iwe na balozi wake...mbona amlalamiki uingereza ambayo ni wakala wa anglikani?See More
      2 hours ago · Like
mjadala wa kijinga na hauna mshiko! ina maana kama vyombo vya Minaki vinapikia nguruwe havioshwi? na unapoenda kula hotelini (5 stars) kama Muislam ina maana hivyo vyombo havitumiwi ku-serve nguruwe? na isitoshe Wakristo hawana haki kula nguruwe in public kwa vile kuna Muislam? Na hiyo OIC kwa nini isifungue ubalozi basi Tanzania kama Vatican kuliko kuwaweka watanzania wasio Waislam katika kundi la nchi za Kiislam?
 
Kitu Wananchi wengi (Waislamu na Wakristo)Tunafahamu Tanzania Imejengwa na Wakristo na Waislamu na Asilimia Ndogo Wasio na Dini. Below Facts

The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious groups

Tunafahamu Mpaka Leo Hii Tunaendelea Kusikia the Same Urguments, Kwamba Waislamu Wanaonewa na Matakwa Yao Tanzania ni Tofauti na Watanzania Wengine. Hizi Unwinnable Urguments Zitawapeleka Wapi? Wananchi Wengi Tanzania Wana Ndugu Waislamu na Wakristo, Hizi Arguments Zitawahusu Vipi Wao? Demographic ya Tanzania Haikubaliani Kabisa na Hizi Poor and Weak Arguments. Vijana, Wazee na Wazazi Wetu Wengi Wanataka Tanzania Strong na Sio Tanzania Weak. Tanzania Strong ni Low Unemployment, No Corruption, Equal Opportunities, Great Education na the Best Healthcare in the World. Hizi Ideologies za Katiba ya Matakwa ya Waislamu Zimetoka Wapi? Usawa Wanauzungumzia ni Upi? Leo Serikalini Kuna Waislamu na Wakristo Kila Mahali na Zaidi JK si Muislamu? Kitu Kimoja Hatari ni Hii Asilimia Ndogo ya Waislamu Kugeuka Kuwa Radicals.

Hizi Weak and Radical Ideologies Hazitafanikiwa Kamwe....

Tanzania in Figures - People
tanzania.jpg

tz_2221.jpg
 
Waache waendelee kubwabwaja huku wakiendelea kunywa kahawa na kashata. Wazee wa ubwabwa na pilau huwa siwashangai wanapoibuka na vihoja visivyo na mbele wala nyuma. Marehemu Dr. Omari A. Juma Makamu wa Rais hakuwa anawaficha kitu. Kuna wakati aliwaambia kwamba tatizo lao la msingi ni 'shule' kwa hiyo wakazane kusomesha watoto wao ili wawe kama wakristo. Whether they like or not, this is the fact. Viongozi wao wengi tena wa ngazi za juu wameishia elimu ya madrasa tofauti na ilivyo kwa wakristo ambapo pamoja na elimu ya dini, kiongozi anakuwa na elimu ya dunia ya kiwango cha juu. Sasa unatarajia nini wakati pande hizi mbili zinapo-argue??? This explains why their arguments in most cases have no substance.
 
Waache waendelee kubwabwaja huku wakiendelea kunywa kahawa na kashata. Wazee wa ubwabwa na pilau huwa siwashangai wanapoibuka na vihoja visivyo na mbele wala nyuma. Marehemu Dr. Omari A. Juma Makamu wa Rais hakuwa anawaficha kitu. Kuna wakati aliwaambia kwamba tatizo lao la msingi ni 'shule' kwa hiyo wakazane kusomesha watoto wao ili wawe kama wakristo. Whether they like or not, this is the fact. Viongozi wao wengi tena wa ngazi za juu wameishia elimu ya madrasa tofauti na ilivyo kwa wakristo ambapo pamoja na elimu ya dini, kiongozi anakuwa na elimu ya dunia ya kiwango cha juu. Sasa unatarajia nini wakati pande hizi mbili zinapo-argue??? This explains why their arguments in most cases have no substance.

No mkulu
Sijaipenda hiyo observation, hao wanaozungumza hayo, hawazungumzi kwa niaba ya waislamu wote.

Tuache huku kusigana kusipokuwa na maana yeyote kwetu kama taifa, for the greater good of this country let us continue our fight for KATIBA MPYA , wasitutoe kwenye mada hawa. Mkianza kulumbana udini hapa, mnawapa wanachokitaka.
 
No mkulu
Sijaipenda hiyo observation, hao wanaozungumza hayo, hawazungumzi kwa niaba ya waislamu wote.

Tuache huku kusigana kusipokuwa na maana yeyote kwetu kama taifa, for the greater good of this country let us continue our fight for KATIBA MPYA , wasitutoe kwenye mada hawa. Mkianza kulumbana udini hapa, mnawapa wanachokitaka.

Nimeikubali hii argument yako imeenda shule Mkuu
 
No mkulu
Sijaipenda hiyo observation, hao wanaozungumza hayo, hawazungumzi kwa niaba ya waislamu wote.

Tuache huku kusigana kusipokuwa na maana yeyote kwetu kama taifa, for the greater good of this country let us continue our fight for KATIBA MPYA , wasitutoe kwenye mada hawa. Mkianza kulumbana udini hapa, mnawapa wanachokitaka.

Safi kwa hili.
 
Those are baseless claims which cannot be proven scientifically.People must learn to do at least a simple collection of facts (research) before saying anything to the public.Otherwise such indiscriminate claims will be derided as mere absolute lies aimed at causing public confusion, and divisive elements within our society.
 
No mkulu
Sijaipenda hiyo observation, hao wanaozungumza hayo, hawazungumzi kwa niaba ya waislamu wote.

Tuache huku kusigana kusipokuwa na maana yeyote kwetu kama taifa, for the greater good of this country let us continue our fight for KATIBA MPYA , wasitutoe kwenye mada hawa. Mkianza kulumbana udini hapa, mnawapa wanachokitaka.

Nimekupata mkuu. Unajua wakati mwingine mtu unapandwa na jazba.
 
Kitu Wananchi wengi (Waislamu na Wakristo)Tunafahamu Tanzania Imejengwa na Wakristo na Waislamu na Asilimia Ndogo Wasio na Dini. Below Facts

The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious groups

Tunafahamu Mpaka Leo Hii Tunaendelea Kusikia the Same Urguments, Kwamba Waislamu Wanaonewa na Matakwa Yao Tanzania ni Tofauti na Watanzania Wengine. Hizi Unwinnable Urguments Zitawapeleka Wapi? Wananchi Wengi Tanzania Wana Ndugu Waislamu na Wakristo, Hizi Arguments Zitawahusu Vipi Wao? Demographic ya Tanzania Haikubaliani Kabisa na Hizi Poor and Weak Arguments. Vijana, Wazee na Wazazi Wetu Wengi Wanataka Tanzania Strong na Sio Tanzania Weak. Tanzania Strong ni Low Unemployment, No Corruption, Equal Opportunities, Great Education na the Best Healthcare in the World. Hizi Ideologies za Katiba ya Matakwa ya Waislamu Zimetoka Wapi? Usawa Wanauzungumzia ni Upi? Leo Serikalini Kuna Waislamu na Wakristo Kila Mahali na Zaidi JK si Muislamu? Kitu Kimoja Hatari ni Hii Asilimia Ndogo ya Waislamu Kugeuka Kuwa Radicals.

Hizi Weak and Radical Ideologies Hazitafanikiwa Kamwe....

Tanzania in Figures - People
tanzania.jpg

tz_2221.jpg

Hamna cha kuongea kila siku ni hayo hayo.....hawana elimu... ooo sijui nini!
Safari hii hakuna kulala mpaka Katiba mpya itajumuisha yafuatayo:

Mgawo wa madaraka sawa kwa Waislamu na Wakristo!,
Tume huru ya uchaguzi yenye uwiano wa kidini!
Mgombea binafsi kuanzia urais mpaka serikali ya kijiji!
Vilabu vya pombe na madanguro mwisho saa 2 usiku!
Marufuku kuuza kitimoto maeneo wanaoishi Waislamu wengi!
Ushoga kuwa kosa la jinai!
Atakae mbaka mtoto ktk taasisi za kidini atahasiwa na kufungwa jela zaidi ya miaka25!
Mahakama ya kadhi!
Vyama vya siasa vyenye mrengo wa kidini kama vile Islamic Progress Party, Christian Democratic Party, Tanzania Hindus Party,nk, ruksa!
......nitakuja na mengi baadae!
 
Hamna cha kuongea kila siku ni hayo hayo.....hawana elimu... ooo sijui nini!
Safari hii hakuna kulala mpaka Katiba mpya itajumuisha yafuatayo:

Mgawo wa madaraka sawa kwa Waislamu na Wakristo!,
Tume huru ya uchaguzi yenye uwiano wa kidini!
Mgombea binafsi kuanzia urais mpaka serikali ya kijiji!
Vilabu vya pombe na madanguro mwisho saa 2 usiku!
Marufuku kuuza kitimoto maeneo wanaoishi Waislamu wengi!
Ushoga kuwa kosa la jinai!
Atakae mbaka mtoto ktk taasisi za kidini atahasiwa na kufungwa jela zaidi ya miaka25!
Mahakama ya kadhi!
Vyama vya siasa vyenye mrengo wa kidini kama vile Islamic Progress Party, Christian Democratic Party, Tanzania Hindus Party,nk, ruksa!
......nitakuja na mengi baadae!

Kwenye nyekundu wezentu wanaosema wamesoma sana wamekubuhu, sijui ndio wafundishwayo.
Rudi mkuru twakusubiri
 
Wana laana hawa, walimpongeza aliyempiga kibao rais mstaafu !
 
Inabudi kuangalia ndani zaidi kwa maana hii roho ya ndugu zetu katika Adam kila msingi wa ukristo Uislamu unapinga!; Nimeanza kuamini hakika kwamba bila ukristo kuwepo uislamu usingekuwepo hebu tafakari mafundisho haya

Mungu wa ukristo anasema usiabudu MUNGU mwingine ila mimi

Mungu wa uislamu anasema HAKUNA MUNGU isipokuwa ALLAH na Muhammad mtume wake!

Ukristo Unaamini kwamba wakiishi kiadilifu hapa dunia wameandaliwa pepo ambayo wataishi kama malaika!

Uislamu wao Unaamini pepo/sardausi yao iko hivi
1watapata wanawake 70(mahul)ambao wana ****** ft40 macho kama vikombe kiuno kama nyigu na dhakari haita sinyaa baada ya tendo la ndoa!
2 kuna mito ya ulevi kwa wanywao.....na mola atawapa samahani!....

Fundisho jingine
Ukristo Unaamini kwamba wao ni WANA wa Mungu!

Uislamu Unapinga kwa mafundisho ya Q-al-karim Allah anasema Inayumkinikaje awe na mwana hali hana mke? pia allah anasema Wayahudi na Wakristo WAANGAMIZWE kwa itikadi ya uwana wa Mungu

Ukristo Unaamini Yesu kafa na kufufuka!

Uislamu Unapinga kwamba Yesu hawakumuua wala kumsulubu!

Ukristo Unafundishwa USIAPE KWA VILIVYOPO DUNIANI WALA MBINGUNI!

Uislamu unasema sivyo naapa kwa farasi waendao mbio kuna kiapo cha ajabu ambapo Allah anaapa kwa aliye umba kiume na kike!

Mafundisho karibu yote ya kikristo uislamu unayapinga Hii ni ROHO YA UISLAMU Msishangae leo haya yanayotokea Hapa kwetu na duniani!
 
Hii ni janja ya CCM kuacha kuzungumzia katiba na kuanza kuzungumzia Udini ambao haupo, Mkuu anaposhindwa kuongoza anatafuta cha kuongelea kwa kuwatumia hawa, ndio maana hakuna hata shehe Mmoja anakemea Ufujaji wa Dowans maana inamtesa mkuu, hata katiba bado inamtesa maana CCM itafia mikononi mwa makamba na Mkulu
 
Wana JF,hebu nisaidieni hvi hawa maaskofu na masheikh wanaopondana kwa maslah ya wanasiasa tuwafanyeje? wananikera sana!
 
Laana zako zianzie kwenye shina, Magogoni (White House), kisha teremka kwenye matawi, right?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom