Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Jf kuna raha sana. Mtu kabla hajacomment anachungulia mleta uzi kajoin lini na aina ya uandishiNImetamani kuandika mambo mengi lkn nilipoona joined 2022 nikaona nitaua mende kwa nyundo huku mimi nikipoteza nguvu nyingi zaidi.
Tafuta Documentary ya Show zake utaelewa kwanin bwana Wako Jacko kwanini alijiita Jina la kimakondeVipi wewe unazijua nyimbo zake mbili tatu za maana?
Mistari ya chini hapo umenikumbusha mbalisana demuwangu enzi anasoma ninasoma nikiitafuna mbususu tumeoga Sasa tunakaribia kulala ananitaftia usingizi anaimba nyimbo za jako nawengine ,napokuja kushituka namwamsha anaichezea Tena hadi kunaucha ,aise mademu zamani washule walikua imarasana ,vyasasahivi vichafu havieleweki kama masela wao ,kama huyu aliyeema Michael haeleweki"We Are the World"
"I Just Can't Stop Loving You
"Bad"
"Say Say Say"
You are not alone
Heal the World
Real?????unasema MJ hajui kuandika unajua hizo nyimbo??
Hiyo ya mwisho tu Heal the world ni nyimbo nzuri sana MJ anasema
There's a place in your heart
And I know that it is love
And this place it was brighter than tomorrow
And if you really try
You'll find there's no need to cry
In this place you'll feel there's no hurt or sorrow
There are ways to get there
If you care enough for the living
Make a little space
Make a better place
Kuna kaukweli kidogo na kauvundo ka bongo, ukishuka pale Airport kama umekaa unyamwezini kwa muda utakasikiaTafuta Documentary ya Show zake utaelewa kwanin bwana Wako Jacko kwanini alijiita Jina la kimakonde
Wako kwa kimakonde maana yake Wewe
Jacko ni kifupi cha Jackson kwa pamoja maana yake ni Wewe Jackson kuna nyimbo yake moja inaitwa Liberian Girl mule kaimba Kiswahili "Nakupenda pia Nakutaka pia Mpenzi weeee", na bongo alipotua Dar aliishia Airport JNIA kipindi hicho ilikua haiitwi hivyo, akarudi kwao akasema bongo kuna stink yaan bongo kuna nuka,
Aliekua anamfuatia kwa Show kali ni Celine Dion
Michael Jackson ndiyo mwanamuziki bora wa muda wote
Hivi wimbo kama "Human Nature" unawezaje kuuita mmbaya au wa kawaida !
Dogo acha dharau, Hao wote uliowataja ni legends ila Mj ni Icon wa muziki, 90% ya pop culture ameiinfluence yeye.
MJ huwa hapambanishwi na mtu mmoja mmoja, Mj anapambanishwa na vikundi kama The Beatles , sio mtu mmoja.
Tafuta Documentary ya Show zake utaelewa kwanin bwana Wako Jacko kwanini alijiita Jina la kimakonde
Wako kwa kimakonde maana yake Wewe
Jacko ni kifupi cha Jackson kwa pamoja maana yake ni Wewe Jackson kuna nyimbo yake moja inaitwa Liberian Girl mule kaimba Kiswahili "Nakupenda pia Nakutaka pia Mpenzi weeee", na bongo alipotua Dar aliishia Airport JNIA kipindi hicho ilikua haiitwi hivyo, akarudi kwao akasema bongo kuna stink yaan bongo kuna nuka,
Aliekua anamfuatia kwa Show kali ni Celine Dion
Msamehe bure,We jamaa umeniharibia siku kwa kumponda mfalme wa pop. MJ toka akiwa mtoto alikuwa anatisha. Sikiliza I'll be there alioimba na kaka zake (Jacksons5) akiwa mtoto kabisa. Huo wimbo ulikuja kurudiwa (remix) na Mariah Carey.
Endelea kusikiliza Singeli. Haya mambo yanayohusisha kiingereza achana nayo.
My Fav song of all the time [emoji3059]
Hivi wimbo kama "Human Nature" unawezaje kuuita mmbaya au wa kawaida !
Dogo acha dharau, Hao wote uliowataja ni legends ila Mj ni Icon wa muziki, 90% ya pop culture ameiinfluence yeye.
MJ huwa hapambanishwi na mtu mmoja mmoja, Mj anapambanishwa na vikundi kama The Beatles , sio mtu mmoja.
Hawezi elewaUkitaka kujuwa Michael Jackson alikuwa anaimba nini,,
Tafuta wimbo uliopigwa na world music all stars,,
We are the world
*Sauti tamu kuliko zote utakayoisikia *,,
That will be Michael Jackson
The wacko Jacko
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Jamaa mpaka leo anaishi,Ukiskiliza nyimbo za MJ kuna feeling flani hiv inakuingia.
Ww utakuwa unachuki binafsi na watu wenye mafanikio.
Sweet Personality indeed,Michael star power yake ilikuwa kwenye humanitarian works, jamaa alikuwa anajitoa sana kwenye kazi za jamii na ile love yake kwa watoto, ilifanya watu wampende zaidi
Pia alikuwa na sweet personality na hii ndio sababu kubwa alimshinda mpinzani wake prince kwa sababu hakuwa likable. Sikiliza interviews zake utanielewa, he was a beast on stage but very innocent and shy kwenye interviews, hakuwa na ile ego ya ustar
Kuna hizo controversies ulizosema za kubadili ngozi, watoto na mke lakini kubwa kuliko. Michael Jackson aliuishi umaarufu toka yupo mtoto mdogo kwenye bendi ya familia ya Jackson 5 ambayo ilitengenezwa strickly na baba yao aliyekuwa perfectionist. As a result MJ akawa ni mtu mwenye kipaji lakini disciplined pia
Hivyo, huwezi kumlinganisha na whitney lionel au hao wengine waliopata ustar ukubwani. MJ alikuwa star na peformer kabla hata hajafikia umri wa kujitambua
Dude it's clear that you're not around in Dar back in '92. By that time a foreign minister Ahmed Hassan was there to welcome Michael Jackson in airport and the guy didn't fly back to America the same day as you claim here.na bongo alipotua Dar aliishia Airport JNIA kipindi hicho ilikua haiitwi hivyo, akarudi kwao akasema bongo kuna stink yaan bongo kuna nuka,
Sio kweli kwanza alifika Hadi Ikulu akaonana na Mzee Mwinyi then he cancelled his trip to Kenya and Egypt akaenda moja kwa moja London, Uingereza.akarudi kwao akasema bongo kuna stink yaan bongo kuna nuka,
Hakurudi hadi KESHO ile Earth song sio bongo, mengine yote umesema sahihi Mimi nlifupisha story tuBy the way huwa Kuna rumors kuwa alirudi bongo kurekodi baadhi ya vipande katika video yake ya Earth song.
Wanasema "soma alama" unaweza bishana na mtu ambaye amezaliwa wakati MJ hayupo duniani.Jf kuna raha sana. Mtu kabla hajacomment anachungulia mleta uzi kajoin lini na aina ya uandishi