Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?

Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?

Mimi ni mkristo na Mungu anajua. Sio kila kitu hapa duniani ni sahihi.
Bnafsi naheshimu Imani yako lakini usijiite Mkristo kwani umepotea haswaa na nikupe pole tuu ndugu yangu watu wa Mungu hawapo hivyo.
 
Mimi ni mkristo na Mungu anajua. Sio kila kitu hapa duniani ni sahihi.
Kwa hiyo neno la MUNGU sio sahihi?
Ya kidunia achana nayo hapo hata mimi nakuunga mkono ila neno la MUNGU sio la kidunia ndugu.
Plz take care, mimi nakushauri tuu kaa utulie umtafuta MUNGU ndipo utampata.
Una Imani ila ni kidogo sana pengine kwa kichwa chako hicho unakua hujamtendea MUNGU kosa kwa sababu hujui ufanyacho.
Tatizo linakuja kwa wale watu wanaotenda mambo wanaoyafahamu/wanayoyajua hao ndio watakoadhibiwa kwa maana MUNGU hadhihakiwi, Wagalatia 6:7.
 
Mpotevu wewe...
Umenichekesha sana ndugu.
Hahahahahahahahahah acha tu ndugu yañgu...nimeangalia topic, nikaangalia comments zao bas likazid nikaba yaan nikashindwa had kuandika ....bora umenisaidia japo kulipunguza..ahsante sana
 
Hahahahahahahahahah acha tu ndugu yañgu...nimeangalia topic, nikaangalia comments zao bas likazid nikaba yaan nikashindwa had kuandika ....bora umenisaidia japo kulipunguza..ahsante sana
hahahahah pole mkuu
 
Kwa hiyo neno la MUNGU sio sahihi?
Ya kidunia achana nayo hapo hata mimi nakuunga mkono ila neno la MUNGU sio la kidunia ndugu.
Plz take care, mimi nakushauri tuu kaa utulie umtafuta MUNGU ndipo utampata.
Una Imani ila ni kidogo sana pengine kwa kichwa chako hicho unakua hujamtendea MUNGU kosa kwa sababu hujui ufanyacho.
Tatizo linakuja kwa wale watu wanaotenda mambo wanaoyafahamu/wanayoyajua hao ndio watakoadhibiwa kwa maana MUNGU hadhihakiwi, Wagalatia 6:7.
Huwezi elewa. Ya Mungu nayafata lkn ya binadamu hapana aisee. Kumbuka Matayo ni binadamu
 
Huwezi elewa. Ya Mungu nayafata lkn ya binadamu hapana aisee. Kumbuka Matayo ni binadamu
Yote yalioandikwa kwenye biblia yameandikwa na binadamu!
Kimsingi binadamu walikua wanaongozwa na MUNGU waandike maandiko unayoyaona kwenye biblia uijuayo.
Hawakuandika hivi hivi from nowhere kwa mfano tukiangalia agano la kale tunaona watu walaindika matukio kulingana na mambo yaliyotokea wakati huo pia wapo ambao waliongea na MUNGU kwa namna yao.

Ukija hapa kwenye agano jipya unaona wale mitume waliandika matendo aliyotenda Yesu na habai nyingine waliongozwa na Roho Mtakatifu kuziandika.
Kwa hiyo ndugu yangu basically sio kazi ya wanadamu bali ni kazi ya MUNGU.

Ingelikua wamejiandikia wao kwa namna walivyojisikia wao basi wangeliweka hilo wazi kama Mtume Paulo alivyofanya.
Soma 1 Wakorintho 7:6 "Ninayowaambieni sasa ni mawaidha si amri.........."

Pia anakazi kabisa 1 Wakorintho 7:12 "Kwa wale wengine (Mimi binafsi si Bwana) Nasema hivi...."


Unaona sasa kwa hiyo mistari miwili uonaona kabisa ni meneno ya Mtume Paulo na wala sio Bwana au MUNGU so ukielewa hii hakuna kitakachokkusumbua.


Ukitoa mambo machache ambayo wahusika wamespecify kama Mtume Paulo hapo yote yametoka kwa Mungu na Yesu sio binadamu kama unavydai wewe.
Kwa kifupi binadamu kazi yake ni kufikisha ujumbe wa kile anachoambiwa na MUNGU! Tumeyaona haya kwa manabii kaba Eliya, Elisha, Musa, Daniel n.k
Sidhani kama utapata shida tena hapo.
 
Nakuona unapojaribu kuzuia akili yako isikumbuke mtu wa kwanza kuchepuka, basi naomba nikukumbushe kuwa mwanamke ndiye mtu wa kwanza na ndiye aliyetufundisha mchezo mchafu hata sisi wanaume.

Kibaya zaidi kachepuka na mpaka katiwa ujauzito na joka (serpent). So endelea kujiuliza nani alimruhusu.
duh!!!
 
Aliyekwambia sisi tunaridhika na kibamia kimoja nani hafu nyie wanaume hutofautiana utaalamu Kuna wapiga katerero mpaka waweza zirai Kuna wansojua mambo had waweza zimia, sasa wewe jidaganye eti nani katuruhusu hata sie tu napenda kucheza viwanja tofauti tofauti.
Duh !!...
 
Umeona eeeh huku mpenzi wako ni kukubaka tu hajui mambo. Wanaume hawajui kuchepuka wanawake ni vinara sema tuna siri kubwa tofauti na wanaume wao hufanya matangazo
Mimi huwa najua hivi miaka mingi Sana ".... na wala hues sijishughulishi katika kuweka imani kivile na nyinyi jinsia Ke ...
 
Ni kweli bora usituamini sisi ni smart kuliko nyie sema tu wanaume wanatu undermine bure. Hata watoto kwenye familia wanaweza Kuwa na Baba watatu mkajua nyie ni ndugu. Tena tukichepuka tuna rudisha mahaba kama yote
Mimi huwa najua hivi miaka mingi Sana ".... na wala hues sijishughulishi katika kuweka imani kivile na nyinyi jinsia Ke ...
 
Ni kweli bora usituamini sisi ni smart kuliko nyie sema tu wanaume wanatu undermine bure. Hata watoto kwenye familia wanaweza Kuwa na Baba watatu mkajua nyie ni ndugu. Tena tukichepuka tuna rudisha mahaba kama yote
@cariha kwa uzoefu wangu nilionao mbona huwa naona ni rahisi mnoo kujua kama mwanamke ana ku cheat "... shida ni kwamba kuna baadhi ya wanaume walio wengi ambao huwa hawataki kukubaliana na uhalisia wa kile wanacho kiona kutokana na mahaba waliyo nayo kwa wanawake zao
 
@cariha kwa uzoefu wangu nilionao mbona huwa naona ni rahisi mnoo kujua kama mwanamke ana ku cheat "... shida ni kwamba kuna baadhi ya wanaume walio wengi ambao huwa hawataki kukubaliana na uhalisia wa kile wanacho kiona kutokana na mahaba waliyo nayo kwa wanawake zao
Utajuaje mwanamke ka cheat maana ka ni mahaba hapunguzi hata kidogo na nafasi yake anaifanya tu vzuri. Ujue ukiwa na mwanamke huwezi mridhishisha kila kitu kuanzia kitendo, na siku hizi fedha lazima mwanamke awapange hata wanaume 7 akiamua.ni vile huwa twafanya kwa siri kimya kimya
 
Utajuaje mwanamke ka cheat maana ka ni mahaba hapunguzi hata kidogo na nafasi yake anaifanya tu vzuri. Ujue ukiwa na mwanamke huwezi mridhishisha kila kitu kuanzia kitendo, na siku hizi fedha lazima mwanamke awapange hata wanaume 7 akiamua.ni vile huwa twafanya kwa siri kimya kimya
aggh zipo sababu nyingi mnoo mkuu ...nikitulia nitakupa analysis
 
Back
Top Bottom