uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Ndo hivyo na hatuna uwezo wa kukwepa hilo zaidi cha kufanya nikukubaliana na matokeo hilo hunisaidia sana mm binafsi ila wengine sijuiKuna kipindi nilikuwaga sina hisia machozi hayotoki aisee nilikuwaga naumia, Ila baada ya hisia kurudi machozi dakika sifuri hata siumii kwa jambo lolote. Hakika wanaume ndo mana mnakufa mapema kwa kuficha maumivu moyoni