Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
kabisa
Utatembea kwa mwendokasi eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatembea kwa mwendokasi eeh
Hiv inatokea labda siku umechepuka afu jamaa kakudaka na akabaki kulia na kukuuliza tu why? Basi ukajishusha ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaenda hiv utamchukiliaje huyo, sema ukweliMachozi ni tiba sina weza kulia hata pembeni. Nyie mwafikiri Kuwa kidume ndo hamulii eeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu huko tutakakoenda utatutamani sijui utatununua tena?Nitawauza bei yoyote tu ili msiendelee kubaki mikononi kwangu, ni waharibifu sana mnaweza haribu hata vizazi vijavyo.
Hiv inatokea labda siku umechepuka afu jamaa kakudaka na akabaki kulia na kukuuliza tu why? Basi ukajishusha ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaenda hiv utamchukiliaje huyo, sema ukweli
Sana unapiga msiba wa nguvu ukitoka hapo unapiga msosi wa nguvu nakuishia zakoMachozi ni zaidi ya dawa katika kulinda afya ya mwanadamu
Mnajiua taratibu ndani kwa ndaniNinyi mna afadhali mkiudhiwa mnalia lakini wengi wetuvtwavumilia kitu ambacho ni hatari
Jinsi unavolia ndo maumivu yanaishaSana upiga msiba wa nguvu ukitoka hapo unapiga msosi wa nguvu nakuishia zako
Sasa mpaka litokee hivyo, ila kwa wanawake ni kawaida sana atalia baada ya hapo maisha yanaendaHuyo nitampenda zaidi na kuacha ujinga mana mwanaume kulia si mchezo Kuna jambo
Pole sana ukaambulia uchafu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mishauo yake iliishia wapi!Kweli kabisa
Sasa mpaka litokee hivyo, ila kwa wanawake ni kawaida sana atalia baada ya hapo maisha yanaenda
Wanawake mkipata Jibu mnitag na linifikie PM kabla hatujawajadili kwenye kamati ya maadili weekend hii.
Pole sana ukaambulia uchafu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mishauo yake iliishia wapi!
Si katika purukushani za mke kuchepuka mpaka anabebeshwa mimba nje huku mme mchepukaji anajua yakeHahaaaaa hapo pakulea napo ni shida
Hiv inatokea labda siku umechepuka afu jamaa kakudaka na akabaki kulia na kukuuliza tu why? Basi ukajishusha ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaenda hiv utamchukiliaje huyo, sema ukweli
SanaaaaaJinsi unavolia ndo maumivu yanaisha
Kama namuona, mishauo yake yote kwishaaaaKumbe jamaa ni empty set kitandani ni fafaaaaa
Hapa ndipo umuhim wa kuoa mwanamke bikra unapo onekana ili kuhofia kukutana na mtu wa caliber yako.Aliyekwambia sisi tunaridhika na kibamia kimoja nani hafu nyie wanaume hutofautiana utaalamu Kuna wapiga katerero mpaka waweza zirai Kuna wansojua mambo had waweza zimia, sasa wewe jidaganye eti nani katuruhusu hata sie tu napenda kucheza viwanja tofauti tofauti.
Unaipenda?nimecheka hadi nimekaa ktandani...lol...
Uko vizurikiasi