Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?

Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?

Machozi ni tiba sina weza kulia hata pembeni. Nyie mwafikiri Kuwa kidume ndo hamulii eeeh.
Hiv inatokea labda siku umechepuka afu jamaa kakudaka na akabaki kulia na kukuuliza tu why? Basi ukajishusha ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaenda hiv utamchukiliaje huyo, sema ukweli
 
Nitawauza bei yoyote tu ili msiendelee kubaki mikononi kwangu, ni waharibifu sana mnaweza haribu hata vizazi vijavyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu huko tutakakoenda utatutamani sijui utatununua tena?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake mkipata Jibu mnitag na linifikie PM kabla hatujawajadili kwenye kamati ya maadili weekend hii.
 
Nitamchukulia kama yeye anavyonichukuliaga , nakuomba msamaha japo moyoni nacheka
Hiv inatokea labda siku umechepuka afu jamaa kakudaka na akabaki kulia na kukuuliza tu why? Basi ukajishusha ukaomba msamaha akakusamehe maisha yakaenda hiv utamchukiliaje huyo, sema ukweli
 
Aliyekwambia sisi tunaridhika na kibamia kimoja nani hafu nyie wanaume hutofautiana utaalamu Kuna wapiga katerero mpaka waweza zirai Kuna wansojua mambo had waweza zimia, sasa wewe jidaganye eti nani katuruhusu hata sie tu napenda kucheza viwanja tofauti tofauti.
Hapa ndipo umuhim wa kuoa mwanamke bikra unapo onekana ili kuhofia kukutana na mtu wa caliber yako.
 
Back
Top Bottom