Pre GE2025 Ni nani anamchafua Rais Samia?

Pre GE2025 Ni nani anamchafua Rais Samia?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bob Malik

Senior Member
Joined
Oct 1, 2019
Posts
125
Reaction score
419
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.

Kuna matukio mengi sana kwa sasa yanatengenezwa kumchafulia sifa Rais wetu Samia.

Matukio ya utekaji, mauaji, fitina polisi na raia. Je, ni nani yup nyuma ya matukio haya? Lengo lake ni nini hasa?

Wanasiasa wabinafsi, nawakumbusha Tanzania sio nchi ya baba zenu ni yetu sote. Mtu yoyote anaweza kuwa rais wa nchi hii.

Pia soma:
~ Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
~ Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'


Urais ni tunu kutoka kwa Mungu. Samia alipozaliwa Mungu alijua atakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa la Tanzania. Alilolipitisha Mungu, mwanadamu hawezi kulipangua.

Samia tunakupenda sana rais wetu. Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen.
 
Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen
/Nashukuru sana mwanangu. Ila nikwambie tu mimi mama yako sikuwahi kutamani kabisa kuwa rais. Hata kuwa makamu sikugombea wala sikujaza fomu ya maombi. Wale wazee walinilazimisha tu mwanangu. Na nililia sana. Wakasema watanisaidia./
 
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.

Kuna matukio mengi sana kwa sasa yanatengenezwa kumchafulia sifa rais wetu Samia.

Matukio ya utekaji, mauaji, fitina polish na raia. Je ni nani yup nyuma ya matukio haya? Lengo lake ni nini hasa?

Wanasiasa wabinafsi, nawakumbusha Tanzania sio nchi ya baba zenu ni yetu sote. Mtu yyte anaweza kuwa rais wa nchi hii.

Urais ni tunu kutoka kwa Mungu. Samia alipozaliwa Mungu alijua atakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa la Tanzania...
Alilolipitisha Mungu, mwanadamu hawezi kulipangua.

Samia tunakupenda sana rais wetu.
Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen
Kama una mpenda Samia mwambie alete vyombo vya uchunguzi vya kimataifa visivyo kuwa na upendeleo wowote vichunguze ni nani yuko nyuma ya utekaji na mauwaji ya watanzania wasio kuwa na hatia.
 
Changamoto kubwa ni kwamba wanasiasa wengi wa kwetu ni opportunists (opportunistic politicians).
Hii utekaji, uuaji, hamahama ya vyama, uchawa,.... ni changamoto kubwa sana. Ni matokeo ya hiyo hali.
Wahuni, matapeli na watu waovu hutumia opportunistic behaviour ya wanasiasa kuwatumia au kuwahujumu inapobidi.
Logical reasoning kwenye taasisi za uma (hasa zile zilizo karibu na wanasiasa) ina nafasi ndogo sana.
Kujipendekeza, kufuata upepo na kutumia nafasi ya kukosa weledi kwa wengine kama fursa ndiyo mtindo wa maisha.
Rais Samia na hata wengine wangeweweza kukwepa hali hii ingesaidia sana siasa zetu.
Bahati mbaya muda huwa mfupi, hivyo kulazimika kuogelea humo humo.
 
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.

Kuna matukio mengi sana kwa sasa yanatengenezwa kumchafulia sifa rais wetu Samia.

Matukio ya utekaji, mauaji, fitina polish na raia. Je ni nani yup nyuma ya matukio haya? Lengo lake ni nini hasa?

Wanasiasa wabinafsi, nawakumbusha Tanzania sio nchi ya baba zenu ni yetu sote. Mtu yyte anaweza kuwa rais wa nchi hii.

Urais ni tunu kutoka kwa Mungu. Samia alipozaliwa Mungu alijua atakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa la Tanzania...
Alilolipitisha Mungu, mwanadamu hawezi kulipangua.

Samia tunakupenda sana rais wetu.
Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen
Acha hisia maji ni marefu Magu akajipumzikia Nyerere akasema ikulu mahali patakatifu akaenda mbali nakusema anaye itamani ikulu ni wakuogopwa.. unamajibu? Au hisia
 
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.

Kuna matukio mengi sana kwa sasa yanatengenezwa kumchafulia sifa rais wetu Samia.

Matukio ya utekaji, mauaji, fitina polish na raia. Je ni nani yup nyuma ya matukio haya? Lengo lake ni nini hasa?

Wanasiasa wabinafsi, nawakumbusha Tanzania sio nchi ya baba zenu ni yetu sote. Mtu yyte anaweza kuwa rais wa nchi hii.

Urais ni tunu kutoka kwa Mungu. Samia alipozaliwa Mungu alijua atakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa la Tanzania...
Alilolipitisha Mungu, mwanadamu hawezi kulipangua.

Samia tunakupenda sana rais wetu.
Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen
Ni hawa👇🏻👇🏻
20240914_013230.jpg

Lakini umemaliza andiko kwa uhovyo sana.

Unamaanisha nini kusema "unamwombea uongozi wake mpaka 2030?"

Wewe mwenyewe umesema kuwa "uongozi wa taifa - Urais ni tunu toka kwa Mungu mwenyewe na Mungu huyu humweka atamkaye ili aongoze watu wake"

Sina shaka na hilo. Nakubalina kabisa na wewe 100% kwenye hili, kwamba iko hivyo. Bahati mbaya kwako ni kuwa, huyu bibie mwisho wake ni sasa na si zaidi ya 2024!!

Kikubwa zaidi ni kutambua jambo moja kuwa, kuna wakati Mungu aweza ruhusu mfalme/Malkia/Rais mmoja mjinga mpumbavu, katili, mwovu, asiyestahili wala kuwa na uhalali atawale taifa/nchi fulani kwa muda fulani mfupi tu kwa kusudi maalumu pengine ili kutoa somo au fundisho fulani kwa watu wake

Na baada ya hapo anaruhusu tena mazingira fulani ya kutoka kwa huyo mtawala. Na mazingira hayo yanaweza kuwa kifo au kuondolewa tu kwa njia ya uchaguzi wa kawaida

Rejea Biblia yako na usome Agano la Kale vizuri. Kuna wafalme walikaa madarakani miezi mitatu tu, wengine mwaka kisha wakaondolewa aidha kwa kuuwawa (karibu wote walikuwa wakifa kwa kifo ambacho Mungu mwenyewe alikuwa anakiruhusu). Lakin wengine waliokuwa na kibali cha Mungu walitawala muda mrefu sana miaka 20, 30 hadi 40 au zaidi na kisha kufa kwa uzee...

Huyu mwanamke (Bi Samia) uwezo wake kiuongozi ktk level ya kiongozi mkuu wa nchi (Rais), ni below standards

Mimi nimetambua kuwa Mungu aliruhusu awe Rais kwa makusudi maalumu tu ya muda mfupi ambayo ni;

1. Wananchi tuone na kuelewa kuwa kiasili (naturally) nchi hii bado sana kuwa ktk nafasi ya kuwa na kiongozi mkuu (Rais) wa nchi mwanamke

2. Wananchi tuone ubaya na udhaifu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwamba, kwa aina hii ya Muungano ipo siku nchi zote mbili (Tanganyika & Zanzibar) zitakuja kuongozwa na raia wote wa Zanzibar. Siku hizo ndizo hizi. Ilifanyika huko nyuma (1985 - 1995) Wazanzibari wengine wawili walitawala kotekote Zanzibar wakijitawala wenyewe Lakini Tanganyika tukitawaliwa na mamluki toka hukohuko Zanzibar - Ally Hassan Mwinyi. Watanganyika bado hatukujifunzaga tu hadi Mungu katupa nafasi ya pili tena tujifunze na tuchukue maamuzi magumu

3. Ili Watanganyika tutambue kuwa, tutaendelea kuwa wajinga na kutojitambua hadi lini kiasi cha raia wa nchi nyingine ya Zanzibar kutawala nchi yetu ya Tanganyika? Mimi nimejitambua, sitaki tena upuuzi huu!!

HIVYO KWA KUMALIZIA: Nakuhakikishia hivi leo hapa na usiku huu kuwa, Bi Samia Suluhu Hassan ameshatimiza kusudi la Mungu la yeye kujikuta tu ktk nafasi hiyo ya u - Rais wa Tanganyika. Hawezi kwenda zaidi 2024 au 2025!

She has already accomplished her mission of her stay in that position. She's no longer needed and ofcoz we don't need her anymore
 
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.

Kuna matukio mengi sana kwa sasa yanatengenezwa kumchafulia sifa rais wetu Samia.

Matukio ya utekaji, mauaji, fitina polish na raia. Je ni nani yup nyuma ya matukio haya? Lengo lake ni nini hasa?

Wanasiasa wabinafsi, nawakumbusha Tanzania sio nchi ya baba zenu ni yetu sote. Mtu yyte anaweza kuwa rais wa nchi hii.

Urais ni tunu kutoka kwa Mungu. Samia alipozaliwa Mungu alijua atakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa la Tanzania...
Alilolipitisha Mungu, mwanadamu hawezi kulipangua.

Samia tunakupenda sana rais wetu.
Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen
Unawaza kidhaifu sana, ama ni chawa.

Atachafuliwaje na mtu, wakati yeye ana mamlaka ya kimungu kuweza kumchukulia hatua mtu yeyote?

Tusidanganyane lolote kutumia kauli zenu hizi za utetezi ili kupoza machungu ya mchafukoge yaliyolichafua Taifa.

Kwa yanayoendelea nchini, wahusika wote anawafahamu lakini hawezi kuwafanya lolote kwa kuwa mambo hayo ndiye anayaagiza, ama anayafurahia kuwakomesha vidomo domo wanaompinga.

Asingeyapenda mambo hayo angekuwa tayari keshalisambaratisha genge hilo ovu.

Hata ikitoka ripoti aliyoagiza apelekewe kuhusu jambo hilo, itakuwa ni ya kuuma na kupulizia, hakuna atakayeguswa nayo ama atakaye chukuliwa hatua.

Kama huamini ipo siku utakuja thibitisha kauli yangu, mi nimesimama pale!
 
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.

Kuna matukio mengi sana kwa sasa yanatengenezwa kumchafulia sifa Rais wetu Samia.

Matukio ya utekaji, mauaji, fitina polisi na raia. Je, ni nani yup nyuma ya matukio haya? Lengo lake ni nini hasa?

Wanasiasa wabinafsi, nawakumbusha Tanzania sio nchi ya baba zenu ni yetu sote. Mtu yoyote anaweza kuwa rais wa nchi hii.

Pia soma:
~ Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
~ Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'


Urais ni tunu kutoka kwa Mungu. Samia alipozaliwa Mungu alijua atakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa la Tanzania. Alilolipitisha Mungu, mwanadamu hawezi kulipangua.

Samia tunakupenda sana rais wetu. Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen.
Kwamba huu utekaji na mauji rais haujui? Fahamu kuwa rais ndio amesaini mswaada wa sheria ya usalama wa taifa ambao ndio umetoa nguvu na kinga kwa vyomvo vya usalama kufanyia unyama wapinzani. Hivyo rais hachafuliwi bali ameamua kuchafuka ili atishie watu kwa lengo la kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti.
 
Ni hawa👇🏻👇🏻
View attachment 3095310
Lakini umemaliza andiko kwa uhovyo sana.

Unamaanisha nini kusema "unamwombea uongozi wake mpaka 2030?"

Wewe mwenyewe umesema kuwa "uongozi wa taifa - Urais ni tunu toka kwa Mungu mwenyewe na Mungu huyu humweka atamkaye ili aongoze watu wake"

Sina shaka na hilo. Nakubalina kabisa na wewe 100% kwenye hili, kwamba iko hivyo. Bahati mbaya kwako ni kuwa, huyu bibie mwisho wake ni sasa na si zaidi ya 2024!!

Kikubwa zaidi ni kutambua jambo moja kuwa, kuna wakati Mungu aweza ruhusu mfalme/Malkia/Rais mmoja mjinga mpumbavu, katili, mwovu, asiyestahili wala kuwa na uhalali atawale taifa/nchi fulani kwa muda fulani mfupi tu kwa kusudi maalumu pengine ili kutoa somo au fundisho fulani kwa watu wake

Na baada ya hapo anaruhusu tena mazingira fulani ya kutoka kwa huyo mtawala. Na mazingira hayo yanaweza kuwa kifo au kuondolewa tu kwa njia ya uchaguzi wa kawaida

Rejea Biblia yako na usome Agano la Kale vizuri. Kuna wafalme walikaa madarakani miezi mitatu tu, wengine mwaka kisha wakaondolewa aidha kwa kuuwawa (karibu wote walikuwa wakifa kwa kifo ambacho Mungu mwenyewe alikuwa anakiruhusu). Lakin wengine waliokuwa na kibali cha Mungu walitawala muda mrefu sana miaka 20, 30 hadi 40 au zaidi na kisha kufa kwa uzee...

Huyu mwanamke (Bi Samia) uwezo wake kiuongozi ktk level ya kiongozi mkuu wa nchi (Rais), ni below standards

Mimi nimetambua kuwa Mungu aliruhusu awe Rais kwa makusudi maalumu tu ya muda mfupi ambayo ni;

1. Wananchi tuone na kuelewa kuwa kiasili (naturally) nchi hii bado sana kuwa ktk nafasi ya kuwa na kiongozi mkuu (Rais) wa nchi mwanamke

2. Wananchi tuone ubaya na udhaifu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwamba, kwa aina hii ya Muungano ipo siku nchi zote mbili (Tanganyika & Zanzibar) zitakuja kuongozwa na raia wote wa Zanzibar. Siku hizo ndizo hizi. Ilifanyika huko nyuma (1985 - 1995) Wazanzibari wengine wawili walitawala kotekote Zanzibar wakijitawala wenyewe Lakini Tanganyika tukitawaliwa na mamluki toka hukohuko Zanzibar - Ally Hassan Mwinyi. Watanganyika bado hatukujifunzaga tu hadi Mungu katupa nafasi ya pili tena tujifunze na tuchukue maamuzi magumu

3. Ili Watanganyika tutambue kuwa, tutaendelea kuwa wajinga na kutojitambua hadi lini kiasi cha raia wa nchi nyingine ya Zanzibar kutawala nchi yetu ya Tanganyika? Mimi nimejitambua, sitaki tena upuuzi huu!!

HIVYO KWA KUMALIZIA: Nakuhakikishia hivi leo hapa na usiku huu kuwa, Bi Samia Suluhu Hassan ameshatimiza kusudi la Mungu la yeye kujikuta tu ktk nafasi hiyo ya u - Rais wa Tanganyika. Hawezi kwenda zaidi 2024 au 2025!

She has already accomplished her mission of her stay in that position. She's no longer needed and ofcoz we don't need her anymore
Natunza hii post kwa matumizi ya baadae.
 
/Nashukuru sana mwanangu. Ila nikwambie tu mimi mama yako sikuwahi kutamani kabisa kuwa rais. Hata kuwa makamu sikugombea wala sikujqza fomu ya maombi. Wale wazee walinilazimisha tu mwanangu. Na nililia sana. Wakasema watanisaidia. /
Huwa nacheka sana hiyo lugha ya kuwa nililazimishwa lakini sikuwa nataka, halafu unashangaa aliyekuwa hataki hayo madaraka anageuka kuwa mtekaji na muuaji, huku akipora chaguzi ili aendelee kukaa madarakani!
 
Samia na CCM must go!
Naona kuna vita vikali sana ndani ya Chama Cha Mapunduzi (CCM). Hii inanikumbusha kipindi cha Hayati Dr. Magufuli. Kuna muda alipingwa sana na watu ambao kwa mtu mwenye uelewa wa kawaida atajua kabisa ni watu wa karibu ambao wanatumia sura ya unafiki.

Kuna matukio mengi sana kwa sasa yanatengenezwa kumchafulia sifa Rais wetu Samia.

Matukio ya utekaji, mauaji, fitina polisi na raia. Je, ni nani yup nyuma ya matukio haya? Lengo lake ni nini hasa?

Wanasiasa wabinafsi, nawakumbusha Tanzania sio nchi ya baba zenu ni yetu sote. Mtu yoyote anaweza kuwa rais wa nchi hii.

Pia soma:
~ Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
~ Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'


Urais ni tunu kutoka kwa Mungu. Samia alipozaliwa Mungu alijua atakuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa la Tanzania. Alilolipitisha Mungu, mwanadamu hawezi kulipangua.

Samia tunakupenda sana rais wetu. Mimi mwanao Bob Malik nakuombea afya njema na mafanikio mpaka 2030 utakapomaliza muhula wako wa sita. Amen.
 
1.Hamad Yusuph masayuni,
2. TISS,
3. Waziri wa Tamisemi
4. Waziri wa fedha
5. IGP
6. MKUU wa mkoa wa Dodoma
7. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro
8. Mkuu wa mkoa wa Tanga
9. DC Nzega
10. Ded Moshi MC
11. RPC GEITA
12. PROF mbarawa, uchukuzi
 
Back
Top Bottom