gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Wewe ni mwanamke unawezaje kuoa sasa? Wewe unatakiwa utafute bwana uoleweOoooh. ..sababu ni mumeo roho imekuuma? Ok. Nami nikikuwowa uwe unanitetea kama hivyo. Nawaelewa wanawake mkipenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwanamke unawezaje kuoa sasa? Wewe unatakiwa utafute bwana uoleweOoooh. ..sababu ni mumeo roho imekuuma? Ok. Nami nikikuwowa uwe unanitetea kama hivyo. Nawaelewa wanawake mkipenda.
Siyo kweli. Tumechukua Ubingwa mara ngapi?na ni team gani yenye forward kali zaidi yetu?
Bro Mwiko Uko wapi ?Wacongo si wachezaji wenye akili mara nyingi. Mimi binafsi huwa siwakubali waswahili swahili sana. Huyu dogo galasa naye anataka kutunushiana misuli na club kubwa afrika? Ana akili huyu? Anajielewa kweli?
View attachment 3236020
Vipi mada za uislam zimeisha?Wacongo si wachezaji wenye akili mara nyingi. Mimi binafsi huwa siwakubali waswahili swahili sana. Huyu dogo galasa naye anataka kutunushiana misuli na club kubwa afrika? Ana akili huyu? Anajielewa kweli?
View attachment 3236020
Kama ana madai halali kwa nini wewe unaingilia kati? Acha vyombo vya sheria vitaamuaWacongo si wachezaji wenye akili mara nyingi. Mimi binafsi huwa siwakubali waswahili swahili sana. Huyu dogo galasa naye anataka kutunushiana misuli na club kubwa afrika? Ana akili huyu? Anajielewa kweli?
View attachment 3236020
Mambo ya mitandao usikute huyo ni baba yako mzaziWewe ni mwanamke unawezaje kuoa sasa? Wewe unatakiwa utafute bwana uolewe
Mohammad kabla hajasilimu alikuwa dini gani?Vipi mada za uislam zimeisha?
MsabatoMohammad kabla hajasilimu alikuwa dini gani?
Najua hauna uwezo wa kujibuMsabato
Hapana huyo ni mwajuma shushu wa tandale kwa mtogole.Mambo ya mitandao usikute huyo ni baba yako mzazi
Kuwa makini ndugu yangu unaweza kujitafutia laana ambazo unao uwezo wa kuziepukaHapana huyo ni mwajuma shushu wa tandale kwa mtogole.
Haya niambie wewe unayejua alikua dini?Najua hauna uwezo wa kujibu
Haya niambie wewe nwenye uwezo alikua dini gani?Najua hauna uwezo wa kujibu
Ukiniambia alikua dini gani waraka wa Papa Francis naukubali..naenda kuoa shoga..Mohammad kabla hajasilimu alikuwa dini gani?
Akili likizo,mdomo kaziniMm yanga damu ila yanga tumejaa matapeli na washirikina tu
Umeongea kwa usahihi kabisa.madogo wa siku hizi heshima hawana.. nimemstahi sababu mama yake ameniambia ninyamaze tuMambo ya mitandao usikute huyo ni baba yako mzazi
Dogo nadhani bangi na kampani yake ndo inamfanya awe na maneno haya. Atarudi tu jioni mama yake ata deal naye.Kuwa makini ndugu yangu unaweza kujitafutia laana ambazo unao uwezo wa kuziepuka