supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,952
Ndiye Pasco! anaongozaKwenye list angekuwepo pia
*Paskal Mayalla
*Chinchilla coat
*Ipycalypse
*Mwanahabari huru.
*Figganiga
Paskal Mayalla(yule alieuliza swali Ikulu) anastahili kuwa mshindi wa mwaka huuNdiye Pasco! anaongoza
Duh mimi hujanitajaNi vigumu sana kumpata mwana JF bora wa mwaka kwa ujumla kama huu.
Nafikiri kila jukwaa lingekuwa na wagombea wake.
Kwa mfano
Jukwaa la siasa angegombea Technically, Lizaboni, na Mwanahabari huru, The Boss
Jukwaa la Intelligence angegombea MSEZA MKULU, The bold, na I am the winner.
International angegombea BAK, RUCCI, na Ipycalypse
Habari mchanganyiko angegombea mshana jr, chinchilla coat na GENTAMYCINE.
Chit-chat hili halina mpinzani linaenda kwa makapuku forums kwa ujumla kama lilivyo
JF Celbs. warumi, hans Mtanashati, na brave one....wagombee.
MMU nimeshindwa kuweka wagombea.
JF sports @prondo, Mentor Nifah
JF Doctor hili jukwaa atagombea Sky Eclat peke yake maana hakuna mgombea mwingine.
JLM hapa watagombea fakalava Shunie na Ambiele Kiviele
NB huu mfano ni kwa mtazamo wangu mwenyewe.....lakini ndivyo tulitakiwa kuwapata wana JF bora.
Huwezi kusema mtu mmoja atwae tuzo wakati JF ina majukwaa mengi na kila jukwaa lina manguli wanaolitendea haki.
duh hujawataja swahiba zakoKwenye list angekuwepo pia
*Paskal Mayalla
*Chinchilla coat
*Ipycalypse
*Mwanahabari huru.
*Figganiga
Yes , best of all!Paskal Mayalla(yule alieuliza swali Ikulu) anastahili kuwa mshindi wa mwaka huu
Ha haa basi ndo uache ukora wakoThank you, thank you.
You are far too kind.
But I'm too big for these annual accolades.
It has long been settled that I'm the man of all years in these forums and it's immutable.
Again, thank you ever so much for your kindness and consideration.
Real recognize real.
Respect.
Nyani Ngabu mbona umeondoa comment yako iliyo uliza "hivi mnaamini kabisa FaizaFoxy ni mwanamke "?
You can not tell for sure the genderNyani Ngabu mbona umeondoa comment yako iliyo uliza "hivi mnaamini kabisa FaizaFoxy ni mwanamke "?
Oh basi sawaSijaiondoa mimi.
Kama haipo basi itakuwa imeondolewa na viranja wa jukwaa.
Ha haa basi ndo uache ukora wako
hakuna hata mmoja.endelea kufukunyua zaidiHabari zenu wakubwa,
Matumaini yetu ni kuwa nyote ni wazima wa afya na mnaendelea vema na shughuli zenu ili kuepuka kusoma namba.
Malengo ya uzi huu ni kuweka utaratibu wa kuweza kupata mwanaJF bora wa mwaka hasa jukwaa la siasa, mambo ya kimataifa na mengineyo.
Mambo yafuatayo ndiyo vigezo vitakavyotumika kumpata;
1. Mwenye hoja na uchambuzi mzuri wa masuala yanayohusu taifa letu kwa ujumla
2. Anayechambua mambo ya kisiasa kwa wigo sawa bila kuegemea au kupendelea upande wowote ule, kaka ni CHADEMA au CCM au CUF yuko tiyari kukosoa kwa hoja haijarishi ni chama chake
3. Mwenye nidhamu juu ya majibu anayowapa wengine na mwenye kujibu bila kubagua au kukejeli wengine na kuwadharau au kuwatamkia matusi(makosa yanayopelekea ban)
4. Mwenye michango mingi ya kuelimisha jamii,
5. Asiye mdini au mkabila wala asiyechanbua kwa kupendelea kabila/dini yake na kukashfu za wengie,
6. Mwenye kuheshimu wengine na mamlaka ya nchi haijarishi kamchagua kiongozi aliyeko madarakan au lah.
Orodha yangu ni kama ifuatavyo, ninyi ndio mtapiga kura kwenye poll na kupata mshindi;
1. The Boss
2. Faiza foxy
3. Mzee mwanakijiji
4. BAK
5. Lizaboni
6. Pasco
7. Heaven sent
8. Victorie
9. Technically
10. Mshana jr
Haimaanishi ambao hawajawekwa hawakuchangia hapana wamechangia sana ila kwa mwaka huu hawakufika viwango vya hawa hapa.
PIGA KURA YAKO.
Ipo post no 219Nyani Ngabu mbona umeondoa comment yako iliyo uliza "hivi mnaamini kabisa FaizaFoxy ni mwanamke "?
Nyani Ngabu mbona umeondoa comment yako iliyo uliza "hivi mnaamini kabisa FaizaFoxy ni mwanamke "?