Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

Lita 1 ya Diesel ni 3510, na vyakula bei juu, alaf mwenyekiti anataka kila mkutano azunguke kwa chopa.

Kwanini hiyo hela ya kuzunguka na chopa asiitumie kuwasaidia nyie chawa wake masikini kwa kuwanunulia japo kilo mbili mbili za unga na moja moja ya sukari ili iwe chachu ya watu kukichagua chama chake katika uchaguzi mkuu?
Hela ya chopa ndio umeona hela. Ilahela ya royo tua na rushwa ya Dpw huoni kama ni hela.
 
Hela ya chopa ndio umeona hela. Ilahela ya royo tua na rushwa ya Dpw huoni kama ni hela.
Kwahiyo kumbe wote ni wapigaji. Kwa mantiki hiyo sioni sababu ya kuja kumkingia kifua mpigaji ambae sio baba yako wala mjomba wako.

Hela anayopiga ni ya kwake na watoto wake ambao wewe hawakujui na pia hautotokea siku waje wamtetee baba yako kama unavyomtetea baba yao.

So wapigaji kama hawa ni wa kuwapiga spana bila kujali chawa wake watasema nini maana, alaf na wewe ukianzisha thread inayohusu upigaji wa hiyo royotua nitakuja na mimi kukuunga mkono.

Swali ni je nani anaeweza kuweka maisha yake hatarini kwa kuhoji matumizi ya pesa za chama?
 
Tuzi lako linakuwasha wewe,utakamuliwa tu muda sio mrefu.
Ww na mm ndani katoka povu? Mtu unaandika ukurasa mzima.?
Nakushauri usipende kuingia mitandaoni kuwatetea au kuwapigania wame za watu, utamfanya mume huyo agombane na mkewe.

Najua unaemtetea huwa anakupakua, lkn yeye anakupakua kiuficho ili mkewe asifahamu na kumharibia ndoa yake. Hivyo na wewe unatakiwa uheshimu falagha yenu kwa kupita mbali bila kuja kumtetea mitandaoni ili watu wengine wakiwepo mkewe na watoto wake wasijui kama unapakuliwa na mdingi wao.

Umenielewa dada? Ni mkewe peke yake ndo alitakiwa atokwe povu kumtetea mumewe, sio wewe kimada nyumba ndogo, hii ni aibu kwako.
 
Sio kwamba wanachama wao hawajui kuwa mwenyekiti wao chama kishamshinda, na juhudi zake za kukijenga chama bila kuwa na makamu wake karibu zimeshindikana. Au sio kwamba wanachama wao hawakumbuki ile kauli ya mwenyekiti wao kuwa ataachia kiti cha uenyekiti mwaka huu wa 2023, baada ya kupigiwa kelele huko nyuma na wenye uchungu na chama ajiuzulu, lahasha.
Hicho chama kilivurugwa baada ya kuingiza mamluki kwa tamaa ya fedha
 
Kumbuka Nicolaus Copernicas aliweka maisha yake rehani alipopindua imani ya kanisa kuwa "jua ndilo linalozunguka dunia" mpaka sasa "dunia ndio inayozunguka jua". Waliojaribu kuhoji waliuawa ila yeye kajitoa mhanga ili kupata ukweli.


Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hakujitoa mhanga Copernicus ila alisema hayo wakati anafariki akijua hangeadhibiwa na Papa mtawala akiwa maiti!
 
Back
Top Bottom