Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

Kama alivyosema makamu wake, kuwa jamaa kasambaza vijana mitandaoni wa kuhakikisha hakuna mtu anaehoji kuhusu hela za chama, gharama ya chopa na ukomo wa kukaa madarakani 🤣🤣🤣

Basi nimekuelewa mkuu, haina haja ya kukutoa povu kwa sababu ya mtu asiekuwa na msaada wowote wa maana kwa familia yako.

Asante kwa kunielewa kuwa utaacha bangi, nadhani idadi ya wakabaji na wavuta bangi itapungua.
 
Hivi unaelewa maana ya neno kibali na neno kukodi?

Kwa mawazo yako unafikiri kibali ndio kukodi!
Kwamba nikikupa kibali cha kujenga wewe utaelewa kuwa nimekukosha nyumba yangu 🤣🤣🤣

Kwa akili hizi acha mwenyekiti aendelee kutafuna mema ya chama huku akitumia vijana wachovu kumtetea mitandaoni.

Wewe unashida Sana, unahitajika maombi. Utakodi kitu huna kibali nacho. Yani utakodi fremu ya biashara na kulipia pango bila kupata kibali Cha biashara manispaa?.

Unapata kibali kwanza ndio una Kodi chopa. Usipende kuongea vice versa na kulazimisha kuwa kweli. Kabla ya kukodi chopa , unaomba kwanza kibali na kibali kinajieleza ndio unakodi chopa.

Yani unakodi chopa kipindi hiki Cha mvua au Magufuli au Hali ya hewa mbaya bila kibali?.
 
Kila mtu ana uhuru wa kuandika akitakacho. Hivyo kama mimi sikuandika cha maana, haikuzuii wewe kuandika hicho cha maana unachokitaka.

Haya ndio maneno aliyosema makamu mwenyekiti huko Ulaya. Kwamba kuna mtu ana genge lake mitandaoni (nahisi wewe ni mmoja wa wale vijana wa genge lake) hawataki mkuu huyo akosolewe kwa baya au zuri. Yani akikosolewa tu wanachukia na kuanza kumvamia mkosoaji kana kwamba yeye ni Mungu ambae peke yake huwa hakosei.

Mbona haya maneno kayasema Makonda. Tena kawaita Viongozi wa CCM chura.
 
Baba yeke Mwenyekiti yupo Mjini wakati baba yako yupo ushetu anapalilia mashamba ya matajiri.
Nyere alikuwa analala kwa Baba yake Mwenyekiti akiwa Moshi na Arusha.
Mwenyekiti ni downtown na Tajiri mkubwa kabla hata Shujaa wenu hajafika mjini .
Mwenyekiti anajitolea hali na mali na biashara zake kwa maslahi ya shemeji zako huko mpanda.
Hahaha 🤣🤣🤣 nilitaka nikupongeze kwa kufikiri kuwa unamzungumzia baba yako ndio tajiri, kumbe umekuja kuwapigania na kuwasifia baba wa wenzako.

Huyu mwenyekiti atakuwa ana nguvu fulani ambayo anaitumia kuwafubaza akili watoto wa wenzake watumie muda mwingi kumpigania na kumsifu yeye, badala ya kuwapigania na kuwasifu baba zao.

Watoto wa Mbowe haswa wale waliopo Marekani wakisoma hiyo comment yako hapo juu watacheka sana jinsi baba yao alivyofanikiwa kuwatumia watoto wa wenzake mitandaoni huku watoto wake yeye akiwa kawapeleka Marekani kwa ajili ya masomo.

Hivi hauoni aibu kuona wazazi wako wakuzae alaf baba wa wenzake aje akutumie na sifa juu zisizokuhusu umvishe? Nasema sifa zisizokuhusu kwa sababu huo utajiri ulioutaja hapo juu unawahusu watoto wake, wewe utaendelea kutumiwa tu kama jiwe la kusugulia vizaka alaf mwisho wa siku unatupwa.
 
Hahaha... Aisee inashangaza sana kuona mtu unaejifanya mjanja mitandaoni mpaka leo unashindwa kutumia ujanja wako kumsoma Mbowe na kumjua kuwa ni mtu gani, na wa aina gani ndani ya chama 🤣🤣🤣

Kifupi jamaa kawekwa hapo (sio kujiweka mwenyewe au chama kama mnavyoaminishwa) kwa Kazi maalum.

Na hiyo kazi ashaifanya (moja wapo) ni ile ya 2015, na zingine za sirini ambazo sio rahisi mtu ambae hatumii akili iliyohuru kuzijua.

Kesi za kubumba bumba (ili kuwafubazeni) aliyopewa Mbowe, na baada ya kuachiwa tu kukimbilia ikulu fasta siku hiyo hiyo kupewa pole na yule aliemfunga, inamfanya mtu alie huru kimawazo kufikiria mara mbili mbili kama kweli jamaa ni mpinzani thabiti kama Yule aliekumbilia Ulaya au ni jamii ya hawa hawa kina Mrema, Cheo, Lipumba, Zito nk.

Hata swala la kuharibiwa mashamba limezubaza wengi akili, huku mwamba akiwa kalipwa double kupitia njia za siri. Kinachomkuta Mbowe au kile anachokifanya katika chama hadi nyie kupiga makelele kwamba atoke sio cha bahati mbaya, bali ni moja kati ya majukumu yake aliyopewa na wenye mamlaka ili kuhakikisha vyama vyote vipya na vya zamani vitaendelea kuwa vya upinzani tu na kupewa wabunge wawili watatu kama walivyokubaliana katika mapatano yao na CCM.

Mrema alianza vizuri, baada ya muda akajigeuza sultan wa chama ili asijitokeze mwanamageuzi wa kweli wa kuichalenge serikali. Mwisho chama kikaanza kupoteza ushawishi taratibu, na baadae kubaki jina.

Mara akaja Lipumba akaiteka bara na visiwani watu wakamuona ni mwana mageuzi wa kweli hadi kupelekea watu kufa na kufungwa katika maandamano na vurugu mbali mbali. Pia kama mwenzake, na yeye akaanzisha mfumo wa kubaki yeye tu uongozini, ili kuhakikisha hatokei mtu mwenye mawazo, na plan ya kweli ya kukitoa chama tawala madarakani. Chama kikaanza kupoteza mvuto na wanachama, wazee wakahamia Chadema, wakamuweka Mbowe, jamaa akaanza kama wenzake pengine yeye akawa zaidi ya hata Lipumba kwa ushawishi. Mambo yakaenda vizuri, ila kama ilivyo ada na yeye akabadili sheria makusudi ili watu kama kina Lisu wanaoonekana ni wapinzani halisi wasije kukalia kiti na kuichalenge serikali. Jamaa kang'ang'ania hadi leo bila kujali boko aliyotoa mwaka 2015 japo wengi tunafahamu kuwa ni moja kati ya majukumu aliyopewa na waliomuweka pale, lkn angeona aibu na kujiuzulu kutokana na kelele za watu kwake.

Anyway watanzania wengi hawana upeo, hivyo acha jamaa atumikie ofisi mbili kwa wakati mmoja. Kama tukiwa hai, hayo ya kutumikia ofisi mbili tutakuja kuyajua katika wasifu wake siku Mungu atapoamua kumchukua kama ilivyokuwa kwa kina Mrema, Membe nk.

Cha kufurahisha huwa mnajifanya mna akili Sana, wakati hata vyoo vya wanafunzi mashuleni mnajengewa na wadhamini. Yani serikali itakuwa ya kijinga kutumia nguvu nyingi kuimaliza CHADEMA kuliko kumaliza Deni la taifa.
 
Hahaha 🤣🤣🤣 nilitaka nikupongeze kwa kufikiri kuwa unamzungumzia baba yako ndio tajiri, kumbe umekuja kuwapigania na kuwasifia baba wa wenzako.

Huyu mwenyekiti atakuwa ana nguvu fulani ambayo anaitumia kuwafumbaza watoto wa wenzake watumie muda mwingi kumpigania na kumsifu yeye, badala ya kuwapigania na kuwasifu baba zao.

Watoto wa Mbowe haswa wale waliopo Marekani wakisoma hiyo comment yako hapo juu watacheka sana jinsi baba yao alivyofanikiwa kuwatumia watoto wa wenzake mitandaoni huku watoto wake yeye akiwa kawapeleka Marekani kwa ajili ya masomo.

Hivi hauoni aibu kuona wazazi wako wakuzae alaf baba wa wenzake aje akutumie na sifa juu zisizokuhusu umvishe? Nasema sifa zisizokuhusu kwa sababu huo utajiri ulioutaja hapo juu unawahusu watoto wake, wewe utaendelea kutumiwa tu kama jiwe la kusugulia vizaka alaf mwisho wa siku unatupwa.
Baba yangu, umri wangu nina wajukuu unataka nizungumzie baba?
we vipi we mtoto?
Mumeo hajawahi kumzungumzia Elon Musk, Bill Gates, Ronaldo, Messi, Gaddafi na Kiduku wa Korea?Hao si waume za watu? AFYA YA AKILI!

Wewe hujawahi kumzungumzia Ridhiwani Kikwete, Mo DEwji na Ghalib GSM? si waume za watu?

#Mpuuzi mmoja
 
Upinzani hasa cdm Lissu anafaa kwani nyakati hizi zinamruhusu kuwa kiongozi wa upinzani...
Hana kashfa
Mzalendo
Mkorofi😂😂😂
Lakini hatapewa kwasababu ataziba ulaji wa boss kubwa

Mbowe inabidi kustaafu pamoja na mnyika. Pale tunamuhitaji Lissu na Heche. Na Mrema pia apishe, tumuweke Dr Marcus Albani
 
Mbona unahangaika na yasiyo kuhusu?. Mbowe kukaa madarakani kunawahusu CHADEMA sio CCM. Wewe nenda kashughulike na kumsaidia Majaliwa kuandika ripoti ya kumpelekea Makonda huku akiwa Kapiga magoti.
Mbowe ni mwanasiasa. Hivyo lazima atasemwa na mtu yoyote haswa asieogopa kuweka maisha yake hatarini kama mimi.
 
Nikushauri tu, sio vizuri mwanaume kuwa kimbelembele kumsemea mwanaume mwenzake. Unamsemea umekuwa nani yake?. Mwache aseme mwenyewe. Au ni wewe unatumia ID mbili tofauti?.
Wewe umem quote jamaa kupitia uzi Huu, na mimi nime quote wewe kupitia uzi huu, kwani kuna ubaya au sheria za JF haziruhusu?
 
Ila mwenezi kaongea na hakuna aliemchacha wagwe.

Ila upande wa pili jamaa yupo Belgium lkn anamuogopa Mafia alie bongo.
Inaonekana mwenyekiti ana sera za Kagame. Ukihoji chochote kuhusu yeye basi anakumaliza huko huko Ulipo. Haijalishi ni Ulaya au Africa 🤣🤣🤣
Ila mwenezi kaongea na hakuna aliemchacha wagwe.

Ila upande wa pili jamaa yupo Belgium lkn anamuogopa Mafia alie bongo.
Inaonekana mwenyekiti ana sera za Kagame. Ukihoji chochote kuhusu yeye basi anakumaliza huko huko Ulipo. Haijalishi ni Ulaya au Africa 🤣🤣🤣

Punguza uongo. Kuna wauaji zaidi ya CCM?. Si juzi mlikuwa mnalia kuwa Magufuli kauawa? Au sio nyie?. Mpaka Mzee Makamba akapiga jiwe kuwa Wazuri hawafi. Hakuna kiongozi wa upinzani anaweza kufanya scheme yeyote akaachwa salama.

Mbowe kuajiri wanajeshi wastaafu, tayari kapewa kesi ya ugaidi.
 
Mimi niko tayari kwa chochote kile kinacho weza kunipata kwa kusimamia ni nacho kiamini. Katika Dunia hii hakuna atakaye ishi milele wote tutakufa. Swali la kujiuliza ni je unataka ukubukwe kwa lipi baada ya kufa? Na Mwanaume kama huna cha kufia basi wewe sio mwanaume kamili.
Good bro, umeandika vizuri sana ila wachache ndio tumekuelewa.
 
Asante kwa kunielewa kuwa utaacha bangi, nadhani idadi ya wakabaji na wavuta bangi itapungua.
Hahaha.. Siasa hizi 🤣🤣🤣 nilijua tu kwamba nikimgusa mwenyekiti ambae anaheshimika kama mungu, lazima genge lake litanivaa kuhakikisha linamlinda kwa nguvu zote asizungumziwe kwa lolote, isipokuwa yale ya kumsifu tu.
 
Mleta hoja wewe ni kwa aslilimia 100 ni wa jinsia ya 'KE'
Andika yako ni umbeaumbea wa kike tena wa Tandale!
Haya mke wa mwenyekiti, nilitegemea tu kama mkewe utakuja kumtetea mumeo ili usiku upigwe vitatu badala ya viwili alivyozoea kukupiga.

Mtaarishie na mafuta ya mgando kabisa ili kumrahisishia mambo.
 
Back
Top Bottom