Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

Kuna jamaa alikua anawaka kumsema m/kiti vibaya kuhusu bandari, nikamuuliza kwani hiyo bandari nafananaje, akasema inafanana kama na madini ya dhahabu, watu wote tulicheka kwaujinga wake. Hata bandari haijui ila anatoa povukuongea.
Yah hiyo ndio demokrasia ya kweli sasa.
Fikiria mtu asieijua hata bandari yenyewe inafananaje, ana uhuru wa kumsema mwenyekiti wa chama bila kuchukuliwa hatua yoyote, hapo bado sijamtaja Tibaijuka na kundi lake lote lililomsakama mwenyekiti wao kuhusu bandari lkn hadi leo wapo chamani na mwenyekiti anawajua na kuwaona.

Sasa kuna mwenyekiti aliewashughulikia kina Zito Kabwe kwa sababu ya kuhoji tu uhalali wa mwenyekiti kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka 10 kinyume na katiba ya chama.

Badala ya kumjibu tu Zito kistaarab kwamba mwenyekiti alinyofoa hicho kifungu cha katiba ili atawale yeye peke yake, wao walichofanya ni kumfukuza kabisa chamani na kupelekea wengine kuogopa utaratibu wa kuhoji hoji kama Zito.

RIP Chacha Wangwe.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Nauliza hili swali hapa, ila nina uhakika hakuna atakaekuwa tayari kujitokeza kunijibu. Hii ni kwa sababu wengi wanatumiwa ili mkono uende kinywani, lkn umafia wa yule anaewatumia wanaujua vizuri sana.

Hapa nazungumzia ule upande wa kondoo kutembea kichwa chini (usihoji chochote kuhusu mwenyekiti) ambapo mtu akijifanya mbuzi kunyanyua kichwa juu (kuhoji kuhusu mwenyekiti) anakumbana na hatari mbele yake.

Makamu mwenyekiti anaeishi Ulaya na familia yake, juzi amejaribu kuwatoa watu uoga wa kuhoji au kukosoa, lkn mpaka sasa watu bado wanaogopa kuanza kukosoa, au kujitokeza kuhoji haswa wakikumbuka yale yaliomtokea Chacha Wangwe, Zito Kabwe na wengine wengi wa aina hiyo.

Sio kwamba wanachama wao hawajui kuwa mwenyekiti wao chama kishamshinda, na juhudi zake za kukijenga chama bila kuwa na makamu wake karibu zimeshindikana. Au sio kwamba wanachama wao hawakumbuki ile kauli ya mwenyekiti wao kuwa ataachia kiti cha uenyekiti mwaka huu wa 2023, baada ya kupigiwa kelele huko nyuma na wenye uchungu na chama ajiuzulu, lahasha.

Wanajua na wanakumbuka sana, lkn nani atakaekuwa tayari kumchalenge Mafia wa chama ili mchalenjiji huyo aweke maisha yake na ya familia yake hatarini?

Wengi wanajiuliza, ikiwa makamu ambae yuko Ulaya anaogopa kumface mwenyekiti, na badala yake anatumia mafumbo ya hapa na pale, je wao ambao wapo karibu na mwenyekiti huyo watatoa wapi ujasiri wa kuhoji na kuuliza siku rasmi ya mwenyekiti kuachia ofisi?
CCM wenzangu wanakosoa, CCM wenzangu wanataka mwenyekiti mpya ili CHADEMA iwaondoe CCM!
#Pathetic!
 
Ndo aache uswahili,

Amwambie Live sikutaki, avunje kikao kile chote tuanze UPYA.
Katiba inayompa raisi uwezo wa kufanya lolote ndio hiyo hiyo yenye uswahili au?

Kumbe tatizo lenu ni watu na sio katiba. Hivyo ule mzunguko wa mwenyekiti kuzunguka na chopa kudai katiba ni njia yake tu ya kichochoro kupiga hela za wajinga. Ila kwa maelezo yako katiba haina tatizo maana haimpi raisi nguvu ya kumfuta kazi hata waziri mkuu.
 
Lita 1 ya Diesel ni 3510, na vyakula bei juu, alaf mwenyekiti anataka kila mkutano azunguke kwa chopa.

Kwanini hiyo hela ya kuzunguka na chopa asiitumie kuwasaidia nyie chawa wake masikini kwa kuwanunulia japo kilo mbili mbili za unga na moja moja ya sukari ili iwe chachu ya watu kukichagua chama chake katika uchaguzi mkuu?

Punguza dharau na kiburi. Tofautisha serikali iliyopigiwa kura na wananchi na hisani ya mtu binafsi.
 
Kila kitu bei juu kweli, hadi mwenyekiti kaamua kupandisha bei ya kukodi chopa kutoka 15 m hadi 30 m kwa siku.

Tatizo unahangaika na CHADEMA ambayo haipo serikalini. Ila mfumuko wa Bei na Deni la nje limewashinda, mmebaki kuwapugia magoti IMF watoe mkopo haraka. Shida yenu ni kulinda madaraka kwa kupambana na CHADEMA, wakati mmejaa bungeni CCM wote.
 
Punguza dharau na kiburi. Tofautisha serikali iliyopigiwa kura na wananchi na hisani ya mtu binafsi.
Unamuelewesha aliyekataa shule na kuamua kuomba omba barabarani atakuelewe?
Hawa akina dudumizi ndio mikoani mwao wakipelekewa kila kitu na serikali wanaishukuru CCM badala ya serikali, wanahisi ni hisani kumbe wajibu wa serikali.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Nauliza hili swali hapa, ila nina uhakika hakuna atakaekuwa tayari kujitokeza kunijibu. Hii ni kwa sababu wengi wanatumiwa ili mkono uende kinywani, lkn umafia wa yule anaewatumia wanaujua vizuri sana.

Hapa nazungumzia ule upande wa kondoo kutembea kichwa chini (usihoji chochote kuhusu mwenyekiti) ambapo mtu akijifanya mbuzi kunyanyua kichwa juu (kuhoji kuhusu mwenyekiti) anakumbana na hatari mbele yake.

Makamu mwenyekiti anaeishi Ulaya na familia yake, juzi amejaribu kuwatoa watu uoga wa kuhoji au kukosoa, lkn mpaka sasa watu bado wanaogopa kuanza kukosoa, au kujitokeza kuhoji haswa wakikumbuka yale yaliomtokea Chacha Wangwe, Zito Kabwe na wengine wengi wa aina hiyo.

Sio kwamba wanachama wao hawajui kuwa mwenyekiti wao chama kishamshinda, na juhudi zake za kukijenga chama bila kuwa na makamu wake karibu zimeshindikana. Au sio kwamba wanachama wao hawakumbuki ile kauli ya mwenyekiti wao kuwa ataachia kiti cha uenyekiti mwaka huu wa 2023, baada ya kupigiwa kelele huko nyuma na wenye uchungu na chama ajiuzulu, lahasha.

Wanajua na wanakumbuka sana, lkn nani atakaekuwa tayari kumchalenge Mafia wa chama ili mchalenjiji huyo aweke maisha yake na ya familia yake hatarini?

Wengi wanajiuliza, ikiwa makamu ambae yuko Ulaya anaogopa kumface mwenyekiti, na badala yake anatumia mafumbo ya hapa na pale, je wao ambao wapo karibu na mwenyekiti huyo watatoa wapi ujasiri wa kuhoji na kuuliza siku rasmi ya mwenyekiti kuachia ofisi?

Punguza bangi za uzeeni utatembea uchi.
 
Hahaha. Bei imepanda hadi katika ukodishaji wa chopa.

Na bado atajiongezea mshahara kwa kisingizio cha gharama ya maisha imepanda 🤣🤣🤣

Mbona unapingana na Makonda, yeye kasema serikali iwape CHADEMA kibali Cha kirusha chopa lakini wewe chawa unadai CHADEMA wamekodi chopa. Uongo sio mzuri.
 
Unamuelewesha aliyekataa shule na kuamua kuomba omba barabarani atakuelewe?
Hawa akina dudumizi ndio mikoani mwao wakipelekewa kila kitu na serikali wanaishukuru CCM badala ya serikali, wanahisi ni hisani kumbe wajibu wa serikali.
🤣🤣🤣 Mwenyekiti amekuwa akitumia ujinga wenu kwa faida yake na familia yake.

Ameng'ang'ania kiti kwa faida yake na watoto wake ambao wewe hata hawakujui.
 
🤣🤣🤣 Mwenyekiti amekuwa akitumia ujinga wenu kwa faida yake na familia yake.

Ameng'ang'ania kiti kwa faida yake na watoto wake ambao wewe hata hawakujui.
Baba yeke Mwenyekiti yupo Mjini wakati baba yako yupo ushetu anapalilia mashamba ya matajiri.
NyereRE alikuwa analala kwa Baba yake Mwenyekiti [MZEE FREEMAN]akiwa Moshi na Arushamiaka ya 1955.
Mwenyekiti ni downtown na Tajiri mkubwa kabla hata Shujaa wenu hajafika mjini .
Mbowe anamiliki Bill Canas 1984 wakati Nyerere akiwa rais na wewe upo viunoni na labda kidogo jamaa angevaa kinga usingekuwepo.
Mwenyekiti anajitolea hali na mali na biashara zake kwa maslahi ya shemeji zako huko mpanda.
 
Punguza bangi za uzeeni utatembea uchi.
Kama alivyosema makamu wake, kuwa jamaa kasambaza vijana mitandaoni wa kuhakikisha hakuna mtu anaehoji kuhusu hela za chama, gharama ya chopa na ukomo wa kukaa madarakani 🤣🤣🤣

Basi nimekuelewa mkuu, haina haja ya kukutoa povu kwa sababu ya mtu asiekuwa na msaada wowote wa maana kwa familia yako.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Nauliza hili swali hapa, ila nina uhakika hakuna atakaekuwa tayari kujitokeza kunijibu. Hii ni kwa sababu wengi wanatumiwa ili mkono uende kinywani, lkn umafia wa yule anaewatumia wanaujua vizuri sana.

Hapa nazungumzia ule upande wa kondoo kutembea kichwa chini (usihoji chochote kuhusu mwenyekiti) ambapo mtu akijifanya mbuzi kunyanyua kichwa juu (kuhoji kuhusu mwenyekiti) anakumbana na hatari mbele yake.

Makamu mwenyekiti anaeishi Ulaya na familia yake, juzi amejaribu kuwatoa watu uoga wa kuhoji au kukosoa, lkn mpaka sasa watu bado wanaogopa kuanza kukosoa, au kujitokeza kuhoji haswa wakikumbuka yale yaliomtokea Chacha Wangwe, Zito Kabwe na wengine wengi wa aina hiyo.

Sio kwamba wanachama wao hawajui kuwa mwenyekiti wao chama kishamshinda, na juhudi zake za kukijenga chama bila kuwa na makamu wake karibu zimeshindikana. Au sio kwamba wanachama wao hawakumbuki ile kauli ya mwenyekiti wao kuwa ataachia kiti cha uenyekiti mwaka huu wa 2023, baada ya kupigiwa kelele huko nyuma na wenye uchungu na chama ajiuzulu, lahasha.

Wanajua na wanakumbuka sana, lkn nani atakaekuwa tayari kumchalenge Mafia wa chama ili mchalenjiji huyo aweke maisha yake na ya familia yake hatarini?

Wengi wanajiuliza, ikiwa makamu ambae yuko Ulaya anaogopa kumface mwenyekiti, na badala yake anatumia mafumbo ya hapa na pale, je wao ambao wapo karibu na mwenyekiti huyo watatoa wapi ujasiri wa kuhoji na kuuliza siku rasmi ya mwenyekiti kuachia ofisi?
Mimi niko tayari kwa chochote kile kinacho weza kunipata kwa kusimamia ni nacho kiamini. Katika Dunia hii hakuna atakaye ishi milele wote tutakufa. Swali la kujiuliza ni je unataka ukubukwe kwa lipi baada ya kufa? Na Mwanaume kama huna cha kufia basi wewe sio mwanaume kamili.
 
Mbona unapingana na Makonda, yeye kasema serikali iwape CHADEMA kibali Cha kirusha chopa lakini wewe chawa unadai CHADEMA wamekodi chopa. Uongo sio mzuri.
Hivi unaelewa maana ya neno kibali na neno kukodi?

Kwa mawazo yako unafikiri kibali ndio kukodi!
Kwamba nikikupa kibali cha kujenga wewe utaelewa kuwa nimekukosha nyumba yangu 🤣🤣🤣

Kwa akili hizi acha mwenyekiti aendelee kutafuna mema ya chama huku akitumia vijana wachovu kumtetea mitandaoni.
 
Back
Top Bottom