Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Ni kher uwape somo maana wabongo nyoso Kweli,

Malezi mema Irene
 
Habari ya ubabe sijui unaitoa wapi

Unaambiwa mtoto lazima alelewe kwa namna itakayomfanya atambue yeye ni nani
Kwa kuokota mijanaume tu ilmradi nionekane Nina mwanaume na nilazimishe u father figure katika maisha ya mwangu?

If I were a single Mom ningemlea mtoto wangu katika maadili ya hofu ya Mungu kwa kuzingatia Nina muexpose katika maisha ganii, marafiki wangu ni Aina ganii na hao wanaume ninaotoka nao ni wa aina ganii na why wawe na ukaribu na mwanangu kama hatupo committed.

Hamueleweki shida yenu hasa ni nini?

Mpo focused zaidi kwa kumuattack mtoto.
 
Umedata wewe mbona unazungumza vitu nisivyozungumza?
 
Umleavyo ndivyo akuavyo, hizo drama za mama ndio zinamuharibu mtoto! Kiukweli mtoto anaharibika!

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Is there a kid with no father? Are you listening to yourself right now? Did these women hump themselves?

Are you simply intent on making yourself act a fool?

Was Irene a single mother the entire time? We're our mothers, sisters and aunties not married once upon a time?

Is divorce a death sentence? What about death? Are you immortal?
If you die and leave your wife and kids, won't your wife be known as a single mother?

Then what? Should we throw insults at her? Call her names accuse her of uncouth and barbaric behaviour?

Interesting.
 
Kazi yako ni kutetea vitu vya ajabu tu
I stand for what I believe in.

No matter who thinks what.

I will voice my opinion if your balls feel squeezed then grow some steel ones.
 
Kiukweli arguments zako zipo more in attack mode.

With such negativity, anger, hatred and bitterness am afraid we can't get anywhere.

If you so will and if you seem fit stick to your opinion.

When you think you can argue reasonably, you shall do so.
 
Unataka kumjua baba wa mtoto wa watu ili iweje? Unataka kujiweka?
 
Hawa ndio wale akina ...junya aka junior mwonekano tu ndio unaonesha malez hayo mtoto mdogo unamweka manywele sjui rasta kichwan iweje

Huyu mtoto uwoya anamwandaa ili awe shoga japo wengi mtani attack ila nafsin mwenu mnakubaliana na Mimi mtoto wa kiume anatinda nyusi toka lini ?
 
Siku zote malezi ya mzazi mmoja yana changamoto sana,kama ukibisha watafute walimu wa nidhamu ktk shule mbalimbali watakuambia wanapokea kesi nyingi na matukio ya kinyanyasaji kutoka kwa watoto wanao lelewa na single parent,kuliko wanao lelewa na baba na mama kwa pamoja ndani ya familia.

Nilitizama makala moja UTV ilikiwa inaangazia shule moja ambayo ipo Mwanza (Ipogo).Waliwahoji mwalimu wa nidhamu (jina la shule limenitoka) na afisa ustawi wa jamii walisema kesi nyingi za watoto kuwa watovu wanidhamu,kunyanyaswa,kubaka,kulawitiwa mara nyingi wanazipata kutoka kwa watoto wanao lelewa mzazi mmoja.

Single parent ana kazi ya ziada kuhakikisha mtoto anapata vyote kama ilivyo kwa mtoto anaye lelewa na wazazi wawili.Si kazi ndogo ni kazi ngumu sana kama mzazi mwenyewe akiwa haeleweki anaweza kumpoteza mtoto wake.
 
Wewe ni either single mama usie na akili au ni mpuuzi tu usiejua hili Wala lile.

Au umeachika , au huna ndoa.

Hakuna mtu Alie na familia akafurahia huo upuuzi wa Irene

Makosa ya irene ni yapi?
 

Huyo mtoto mara nyingi huwa yupo na uncle zake pia,watu wanapenda sana kupangia watu maisha
 

Kwanini mnahukumu
Hakuzalia jamii ni wa kwake Irene
 
Una akili sana wewe Mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…