Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?

kipi hapo kinaonesha kua hiyo ni ndege ya rais iliofanya safari hizo?
 
Asante sana kiongozi kwa kutrack ujambazi unaendelea kwa kutumia ndege ya rais, hizo sehemu zina madini ghafi kwahiyo hilo dege linatumika kuyavusha bila kibali na bila bughudha na kuyapeleka Zanzibar, watanzania tuamke kutoka usingizi wa pono.
hebu niambie ndugu, hapo ni kipi kilichokufanya ufahamu kua hiyo iliofanya safar hizo ni ndege ya rais
 
Mama yenu hana ajualo!,

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Tarehe 12 saa 09:38am ilikuwa Klm/jro na saa 09:59am ikawa Zanzibar, je dakika 20 ndege yaweza kufika Zanzibar?
Nijuavyo kutoka Jro to Znz kwa airbus au dreamliner ni dkk 50 to 55 na pangaboi hadi dkk 60, je hizi taarifa zina ukweli?
Nadhani unapata mkanganyo ila neno last seen lina maana zaidi
 
Umempata wapi signals
 
Parachuti la injini moja ni kama lile alilotumia dada yake Lisu (kutoka ubelgiji) kuizunguka dunia na kutokea tena Belgium 2021. Alichelewa zaidi urusi na Japan baada ya China mawasiliano kukwama
 
Tunakushukuru mno. Lazima kuna Jambo limefichika huko. Na mleta mada ninaomba damu ya Yesu ikulinde na familia yako. I smell a rotten fish. Hiyo mikoa ni potential Sana. Usiniulize.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…