Ni nani hasa mmiliki wa Taifa la Tanzania?

Ni nani hasa mmiliki wa Taifa la Tanzania?

busar

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,067
Asalam,

Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama akasema kwa sauti nzito kuwa yeye ndio MMILIKI?

Naona wako watu wanazunguka humu nchini, wengine kwenye maofisi ya umma, wengine binafsi, wanasema wanatumikia TZ. Lakini ni TANZANIA YA NANI?

NANI HASA ANAMILIKI TAIFA LA TANZANI?

Na kama yuko anaemiliki, ni kwa kiasi gani anaujua umiliki huo? Nani hasa?
 
Asalam,

Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama akasema kwa sauti nzito kuwa yeye ndio MMILIKI?

Naona wako watu wanazunguka humu nchini, wengine kwenye maofisi ya umma, wengine binafsi, wanasema wanatumikia TZ. Lakini ni TANZANIA YA NANI?

NANI HASA ANAMILIKI TAIFA LA TANZANI?

Na kama yuko anaemiliki, ni kwa kiasi gani anaujua umiliki huo ? Nani hasa?
Mmiliki wa Tanzania ni Mtanzania. Taifa la Tanzania ni mali ya Watanzania collectively.
P
 
Mmiliki wa Tanzania ni Mtanzania. Taifa la Tanzania ni mali ya Watanzania collectively.
P
Mzee Mayala, Hapo kwenye umiliki "collectively" unamaanisha nini ? Na hao Collectively huwa wanaamuaje mambo collectively?
 
Asalam,

Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama akasema kwa sauti nzito kuwa yeye ndio MMILIKI?

Naona wako watu wanazunguka humu nchini, wengine kwenye maofisi ya umma, wengine binafsi, wanasema wanatumikia TZ. Lakini ni TANZANIA YA NANI?

NANI HASA ANAMILIKI TAIFA LA TANZANI?

Na kama yuko anaemiliki, ni kwa kiasi gani anaujua umiliki huo ? Nani hasa?
Ccm
 
Asalam,

Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama akasema kwa sauti nzito kuwa yeye ndio MMILIKI?

Naona wako watu wanazunguka humu nchini, wengine kwenye maofisi ya umma, wengine binafsi, wanasema wanatumikia TZ. Lakini ni TANZANIA YA NANI?

NANI HASA ANAMILIKI TAIFA LA TANZANI?

Na kama yuko anaemiliki, ni kwa kiasi gani anaujua umiliki huo ? Nani hasa?
Hahaha hao wanatumikia matumbo yao bana hata wale waliokwambia wazalendo namabari one wako wapi walitupiga sana kiuchumi tukaishi kwa hofu kuwaogopa watu wasiojulikana ambao nadhani kwasas baadhi yao tumewajua
 
Asalam,

Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama akasema kwa sauti nzito kuwa yeye ndio MMILIKI?

Naona wako watu wanazunguka humu nchini, wengine kwenye maofisi ya umma, wengine binafsi, wanasema wanatumikia TZ. Lakini ni TANZANIA YA NANI?

NANI HASA ANAMILIKI TAIFA LA TANZANI?

Na kama yuko anaemiliki, ni kwa kiasi gani anaujua umiliki huo ? Nani hasa?
Mie Mtanganyika.
 
Wamiliki wapo pale makumbusho kwenye ule ukuta mkubwa sana mule ndani wana hospital yao kwa nyuma inaitwa Mzena... wengine wapo Lugalo, Monduli na DODOMA.

Alafu mwana una maswali ya KIMAMA sana!
 
Najali sana.
.Sitaki.
Kuna vijana wako wanapakigi lexus V8 ya buluu pale mnazi mmoja njia ya kuelekea City centre kupitia Exim bank Clock-tower, plate number imeandikwa "Puba"... kwann unawaruhusu watufokee wananchi namna ile?! 🤔😅👍🏾
 
Back
Top Bottom