johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkulima tumemshinda mara mbili tena kule kule kwao........hapa kuna manyang'au yanacheza michezo humu humu bongo!Kwanini asingejikita kwenye mzizi wa tatizo kuhusu deni letu na bwana mkulima?
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Kutangaza tumenunua ndege siyo dhambi!Mchawi ni sisi wenyewe mambo ya kupenda sifa na kujitangaza hovyohovyo ndiko kunatuponza, kwani kwenye majukwaa ya mapokezi ya ndege huwa hatusemi ndege ngapi tumepokea na ngapi zinakuja tena kwa tarehe?
Kwani ndege imekamatiwa kiwandani?!Hivi kwamba tunanunua ndege nayo ni siri ya kuvujishwa? Au mi ndo sijaelewa?
Total rubbish, in Tundu Lisu's voice.Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Kutangaza tumenunua ndege siyo dhambi!
Ilitangazwa na serikali kuwa Novemba ndege inakuja soma hapaWaziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Hongera......ubalozi unakunukia!Prof. Kabudi ni mwalimu wangu
Ina maana siku ile rais anatangaza hakuwa subproject kuwa inaweza ikaamsha hisia za wadeni wetu?Prof. Kabudi ni mwalimu wangu
Dr Slaa ni padre hawezi kutenda hiyo dhambi!labda dr slaa