Tundu Lissu ndiye anayevujisha na kusababisha ndege zetu zikamatwe. Hivi nyie vijana wa Lumumba vp?! Mara hii mmesahau?!
Hawa watu wa ccm wapumbavu sana
Kila siku walimnanga Lisu ikawa ndio mtoa taarifa
Hovyohovyo hawa binadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu ndiye anayevujisha na kusababisha ndege zetu zikamatwe. Hivi nyie vijana wa Lumumba vp?! Mara hii mmesahau?!
Hawa jamaa kwa ulofa tu wamekubuhu!!Hawa watu wa ccm wapumbavu sana
Kila siku walimnanga Lisu ikawa ndio mtoa taarifa
Hovyohovyo hawa binadamu
Sasa anapotosha kwajiri ya kumfurahisha nani?Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Hakuna siri katika international business. Tusitafute jumba bovu, bottomline ni kulipa deni. This time msipoteze muda kupeleka jopo la akina Ndumbaro na Possi na PhD zao za kugushi. Mpelekeni Dotto James mwenye uwezo wa kulipa.Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Hivi USA ni mwanachama wa jumuiya ya madola?Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Serikali ya Jiwe ndio ilitangaza ujio wa hii ndege, sasa hivi wa kumpiga risasi hayupoSerikali ijikite kwenye Simu na email na Simu za kwenda kwa Lisu na kwenda kwa diaspora toka nchini.TCRA chekini Email na Simu zote za Tanzania zilizokwenda kwa Lisu au nje ya nchi nchi yeyote miezi miwili kabla ndege kushikwa
Hivi USA ni mwanachama wa jumuiya ya madola?Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Siri ipi alipe deniWaziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
[emoji3][emoji3][emoji3]kumbe na wewe umesoma??Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Wabunge gani?!Hivi haya mapesa wanayowalipa mawakili na maposho juu si wangekua wanatumbukiza kwenye kibubu cha mkulima? Na hela za kununua wabunge?
Wabunge gani?!
Hayo anayajua ila anafanya kazi kwa woga mkubwa sana,ili kujionyesha kua kuna mtu anatoa hujuma kwa Tanzania.Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Mwenyewe unajidai yule jamaa mwalimu wako "Mzee wa jalalani"Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Usije kuta alievujjisha yuko lumumba pale [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Serikali ijikite kwenye Simu na email na Simu za kwenda kwa Lisu na kwenda kwa diaspora toka nchini.TCRA chekini Email na Simu zote za Tanzania zilizokwenda kwa Lisu au nje ya nchi nchi yeyote miezi miwili kabla ndege kushikwa