Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Nami nashauri mzungu tukae naye na pia tulipe deni. Ile BARUA ya kizungu alitumia Mwandiko mzuri sana. Kwa upoleeee, wakisoma wenzake lazima wamelewe
 
Mkulima tumemshinda mara mbili tena kule kule kwao........hapa kuna manyang'au yanacheza michezo humu humu bongo!
Hapa inazungumziwa ndege sio baiskeli ama mkokoteni. Haiwezekani mtu awe anakamata hovyo hovyo midude ya mapesa mengi namna hiyo, hili ni tatizo kubwa ambalo linahitaji taarifa za kina, sio tu maneno mepesi mepesi kwamba tumemshinda, mara kuna wasaliti wanatoa siri. Kama mmemshinda ni ushindi wa aina gani? Amelipwa pesa zake? Ama kuna makubaliano gani? Kwa nini anaendelea kuzikamata?
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P

Pascal,
Inakuwaje mwalimu wako alikugawia akili zote na yeye kubakia mtupu?Au uteule wa homeboy umemgeuza kuwa zuzu?
Hebu m-text basi ili akili imrudie
 
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa, kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako". Prof Kabudi aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof. Kabudi ni la maana sana kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Mh labda aliyevujisha ni Mheshimiwa barozi wa Canada .maana profesa alimwita kumhoji
 
Back
Top Bottom