Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!

Marekani huwezi zuia hizo ndege maana haipo Jumuia ya Madola!

Canada unaweza maana shauri lilikua SA kwahiyo Canada ikawa ni muendelezo!

Hizo sababu zako za kuvujisha siri ni za kipumbavu!

Kuna siri kwenye biashara za kimataifa?

Hizi sio nyanya sokoni!
 
Naona kuna hujuma sana hapa, lkn ukweli pambana tu Tanzania ili upigwe vita, hakuna kukata tamaa.

Najua wengi hawapendi tunakoelekea ndo common system ya Dunia hii.
 
Marekani huwezi zuia hizo ndege maana haipo Jumuia ya Madola!

Canada unaweza maana shauri lilikua SA kwahiyo Canada ikawa ni muendelezo!

Hizo sababu zako za kuvujisha siri ni za kipumbavu!

Kuna siri kwenye biashara za kimataifa?

Hizi sio nyanya sokoni!
Una hasira sana!
 
Keaninsi magufuli mwenyewe anatangazaga bado anazo zingine zinakuja na yeye ni tajiri kwanini mkulima asizifuate? Mwaka huunwa kumpiga risasi hayupo
Mwenye nini ndege au? Sijaelewa vizuri mkuu
 
Kama mtu una tabia za kujimwambafai mwambafai eti hii nchi ina hela sana mara hii nchi ni tajiri sana unategemea anaekudai atafanyaje
Magufuli haongeagi anayoyatenda wala kuyaamini,nasikitika tu kwamba ongea ongea yake inaharibu fikra za wanyonge wetu na matokeo yake ni kuharibu nchi yetu.Mfano kawalisha Matango wadanganyika kwamba WASOMI ndo wanaoharibu nchi yetu.huku mtaani wanyonge wanaamini hivyo,sasa utashangaa anavyowatoa serikalini wenye vyeti feki,kwa mtu anayezungumza kile anachokiamini tulitakiwa kumuona akikumbatia wenye vyeti fake ( yaani wale wanaojiita wasomi wakati hawakusoma) na kuwaondoa wasome halisi ili wasiendelee kuharibu nchi yetu.Pale UDOM kasema hataki vya bure wakati huo huo akiwa amepokea degree ya bure hahahahah
 
Upuuzi mtupu,yaani nyie kila kitu serikali ikifanya mnapost na kusifia,si mlijitangaza kwamba kuna ndege itakuja kutoka canada? Kwani styne hajui kwamba kuna ndege zetu zipo canada? Si mlimlitea figisu south africa? Si ameenda canada? Na mkishinda canada anaenda kufungua nchi nyingine ambapo ndege zetu zinafanya biashara,South africa mlimshinda kwa technicalities za kisheria na ndio maana hampeleki ndege South,Kama msimpomlipa Styne fedha zake hizo ndege zenu zitafanya safari Dodoma na Chato tu basi.
Ambayo serikali inashindwa kujua ni kwamba kila ndege inapokamatwa ndivyo watu wanavyoona ilivyo risk kubwa ya kusafiri na atcl,so by the time tunakumbuka kulipa deni hakuna mwenye interest tena ya kusafiri na ndege za atlc nje ya Tanzania
 
Una hasira sana!

Ni rahisi sana kusema “una hasara sana” kuliko kutoa hoja za kupinga hoja niliyotoa!

Ni kama mimi niseme,una hasara sana!

Ni rahisi kusema hivyo sababu umekosa majibu!

Ungekua na majibu usingesema “una hasara sana”!

Ungetoa hayo majibu!
 
Na Mimi nikiwemo na Safari hii lazima mlipe wezi wakubwa nyie
Tulia uongozwe maana najua kinachokupa hasira ni kuongozwa na wanaokuongoza otherwise nchi yako unaipenda na hutaki ichafuke' ila sasa kama huwezi kuchukua madaraka tii mamlaka tu na kuchekelea mali zetu kushikiliwa hakuta kupa mamlaka.
 
Ni rahisi sana kusema “una hasara sana” kuliko kutoa hoja za kupinga hoja niliyotoa!

Ni kama mimi niseme,una hasara sana!

Ni rahisi kusema hivyo sababu umekosa majibu!

Ungekua na majibu usingesema “una hasara sana”!

Ungetoa hayo majibu!
Hasira!
 
Lipeni Madeni ya Watu acheni kuwalaumu Watu,. Kwani hiyo ndege safari Zake hazijulikani.
 
Ambayo serikali inashindwa kujua ni kwamba kila ndege inapokamatwa ndivyo watu wanavyoona ilivyo risk kubwa ya kusafiri na atcl,so by the time tunakumbuka kulipa deni hakuna mwenye interest tena ya kusafiri na ndege za atlc nje ya Tanzania
Ninavyoona Styne anachofanya ni kuharibu tu biashara za TZ(ATCL) lililotokea South Africa hakuna Mtalii ambaye atabook ATCL,maji yashakorogeka MAGU amlipe Styne fedha zake tu hakuna namna otherwise hizo Airbus na Dreamliner zitafanya safari za chato na dodoma.
 
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Prof Kabudi kachanganyikiwa.Kila nchi ina utaratibu wake wa sharia .Statute chanzo cha tatizo.ndio maana watu wanahifadhi pesa ask Swiss sio Somalia.Canada n.a. Marekani kila nchi ina sheria zake.Awaulize Nigeria walivyo katwa reserve Yao n.a. Mahakama ya Uingereza
 
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
TL
 
Nakumbuka balozi wa Tanzania nchini Canada alifukuzwa na kuvuliwa hadhi ya ubalozi. Alionewa sana. Naomba arudishiwe hadhi yake na pension yake apewe. Ubabe haufai.
 
Back
Top Bottom