Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Aliyetangaza kuwa serikali imeingia mkataba na kampuni ya Bombadia kununua ndege mwaka huu ndiye aliyetoa siri, haya yote ni bure serikali imlipe deni iachane na mtindo wa mdaiwa kubadili njia, huo ni uswahili.
SERIKALI IMLIPE MKULIMA ANACHOKIDAI TANGU AKIWA KIJANA ANACHEZA TWIST PALE ARUSHA BY NIGHT CAVE KWA MAREHEMU CHOGGY SLAY.
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Sijui anakwama wapi. Ila professor anajua kuwa mpokeaji wa hiyo taarifa hajui hili wala lile kwenye mambo ya common law. Mpaka anashushia uongo wake na mistari ya maandiko. Anyway.
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Well said Dkt.Pasko
 
Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Taifa la wajinga mlipeni mkulima
 
Hapa ndo pakuanzia. Haiwezekani mtu mmoja akashindana na serikali nzima kwa kushirikiana na serikali za mataifa makubwa. Huo ushawishi unatokea wapi?
Ana akili timamu ndio maana
 
Mbona safari za Mumbai zilishaanza kitambo..
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
 
Yule Mkulima Anatakiwa Ndege Anayoipanda Iwe Via Julius Nyerere International Airport. Akifika Dar es salaam Tumkamate Akale Ndani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]taifa la wajinga bwana mnawaza ujinga tuuu
 
Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Unafikiri akili za mkulima huyu ni kama wale wa korosho kule Mtwara ambao Jiwe amewadhumu hela zao za korosho..!?
 
Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.
Pole kwa Waziri Kabudi kwa TZ kusalitowa.
Pole kwa Waziri Mahiga kwa mateso kutuma vijana Canada
Pole kwa serikali yetu yote kwasababu ndege ni ya serikali.
Pole kwa CCM, kwasababu serikali ni ya CCM.
Pole kwa wanasheria watakaoteseka.
Pole kwa ATC ndege yao kukamatwa hivyo kuchelewesha kupiga pesa.
Pole kwa sisi Watanzania wote kwa ndege yetu kukamatwa na kututia hasara ambayo ni sisi tutaifidia.
Ndege ni rais Magufuli kwasababu ndiye aliyeamua kuinunua kwa cash money.
Ndege ni ya serikali kwasababu inamilikiwa na serikali 100%.
Ndege ni ya ATCL kwasababu ATCL ndio wanaitumia.
Ndege ni ya Sisi Watanzania wote kwasababu fedha zilizonunulia ni fedha zetu, na sisi ndio tunaoipanda.

Pole wote
P
Pole Paskali kwa kutoeleweka na wengi kiasi hata unaowakejeli wanakushangilia. Pole sana maana elimu elimu elimu elimu na fasihi imetupita kando. Pole washadidiaji wa Kabudi sababu hata ndege irudi tutakuwa tumetumia kiasi gani kwa Ticket za ndege za hao mawakili, DSA na mapochopocho mengine ya kuwafanya wajisikie wanawakilisha ndege ya wale wanaoipanda ingawa kodi tunalipa wote na wale ambao hawajui hata ndege hata kwa nje zinafanana je.
 
Samahan Ndugu mjumbe, eti ndie huyu?
Mkulima mwacheni auze mazao yake kwa bei yake mwenyewe, msimpangie.
IMG-20191124-WA0000.jpeg
 
Kuna Kitu Kipo Sehemu Ila Itajulikana, Siyo Rahisi Anakofika Mkulima Serikali Za Mabeberu Zinampokea Kwa Vicheko 😀😁😂😃😄😅Halafu Zinamuonyesha Mali Za Tanzania
Tutajua tu
 
Back
Top Bottom