Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ukiwepo wewe unaye msaliti mh rais
Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya
Wanatambulika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibaraka wa mabeberu wanaenda kuaibika vibaya
Wanatambulika
Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.Pasco Uneshindwa kusema chochote japo kumuunga Mkono Rais lkwa Ndege kukamatwa Hata pole jamani!
Kuna Kitu Kipo Sehemu Ila Itajulikana, Siyo Rahisi Anakofika Mkulima Serikali Za Mabeberu Zinampokea Kwa Vicheko 😀😁😂😃😄😅Halafu Zinamuonyesha Mali Za TanzaniaHapa ndo pakuanzia. Haiwezekani mtu mmoja akashindana na serikali nzima kwa kushirikiana na serikali za mataifa makubwa. Huo ushawishi unatokea wapi?
Hana Lolote, Muda Huu Nadhani Atalipa Fidia Serikali Ya Viwanda Haiwezi Kuvumilia Ujinga
Jambo Hilo Hilo Kila Mara Na Ameshindwa Hadharani
Waziri Naye Ajitafakari Sana Kuhusu Ambassador Asijekuwa Anatumika
Huyu mkulima ni msumbufu sana. Halafu anaweza vp kuishawishi mamlaka zifanye haya?
....on the same token, wakolomije ni nani hasa hata kufikia kujimilikisha nchi yetu?!!Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Hata mimi ni mkulima isipokuwa anataka kujaribu kutuyumbusha ole wao vibaraka waliopo nyuma yake!Wewe unamdharau mkulima wakati wazazi wako woote ni wakulima?
Yule Mkulima Anatakiwa Ndege Anayoipanda Iwe Via Julius Nyerere International Airport. Akifika Dar es salaam Tumkamate Akale NdaniHata mimi ni mkulima isipokuwa anataka kujaribu kutuyumbusha ole wao vibaraka waliopo nyuma yake!
Nakuona unajiandaa kwenda kuandamana ubalozi wa canadaView attachment 1270845
Balozi hata miezi 3 hana mnataka mwingine.basi aende magufuli wenu mwenyewe huko kanada akawe bolozi.Bullshit.!Hana Lolote, Muda Huu Nadhani Atalipa Fidia Serikali Ya Viwanda Haiwezi Kuvumilia Ujinga
Jambo Hilo Hilo Kila Mara Na Ameshindwa Hadharani
Waziri Naye Ajitafakari Sana Kuhusu Ambassador Asijekuwa Anatumika
Jiwe la Lumumba..Chanzo kikubwa ni kujimwambafay kwamba sisi ni matajiř tunanunua ndege cash huku tunadaiwa yey akifikir kwamba mabeberu hawàmsikilizi au hawajui kiswahili. Achane na habar za kujimwambafay kulikopitiliza. Mim nasema yey na serkali yake ndo chanzo. Angèkua mtu anayeshaurika na ana nia njema angeachana na biashara ya ndege haina tija zaid ya sifa za kisiasa tu.Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Serikali na jiwe waliitangazia dunia kuwa mwezi Novemba inakuja bombadier Q400.Msitafute mchawi. Sikiliza video hiiMkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Hivi dawa ya deni si ni kulipa?Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
Dawa ya deni ni kulipa. Maswali mengine muulizeni Dr. MihogoWaziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Serikali na jiwe waliitangazia dunia kuwa mwezi Novemba inakuja bombadier Q400.Msitafute mchawi. Sikiliza video hii
Lookhit.com
lookhit.com
Matatizo yako ya kichwa hayajaisha msaliti!