Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Mkuu mbona Mumbai mwewe wetu anaenda kama kawaida hadi sasa?Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Hivyo ndivyo nilivyopata taarifa kutoka kwa supplier wa ATCL.