Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Mkulima ni mkulima na hili jambo la kudai kafanya jambo jema kwa awamu hii vinginevyo hili deni lingedumu miaka na miaka na watu kujinufaisha kwa namna moja au nyingine..ni bora hili lijulikane mpaka mwisho kuliko kuchezewa mwenye haki stahili apate na mwenye njia ya ujanja janja nae aumbuke.
 
Ulidhania ni sawa na wakulima wa korosho?
Mkulima ni nani,
Nani aliopo nyuma ya mkulima,
Nani aliyempa taarifa kama ndege yetu ipo kanada na itatoka na tarehe hiyo.
Ni wakati mzuri wa kushughulika nao.
WAKIWEKA UGOKO WEKA CHUMA!
 
Punguza mahaba Pascaly raisi hajawahi kumiliki ndege
Pole kwa Rais wa JMT kwa ndege yake kukamatwa.
Pole kwa Waziri Kabudi kwa TZ kusalitowa.
Pole kwa Waziri Mahiga kwa mateso kutuma vijana Canada
Pole kwa serikali yetu yote kwasababu ndege ni ya serikali.
Pole kwa CCM, kwasababu serikali ni ya CCM.
Pole kwa wanasheria watakaoteseka.
Pole kwa ATC ndege yao kukamatwa hivyo kuchelewesha kupiga pesa.
Pole kwa sisi Watanzania wote kwa ndege yetu kukamatwa na kututia hasara ambayo ni sisi tutaifidia.
Ndege ni rais Magufuli kwasababu ndiye aliyeamua kuinunua kwa cash money.
Ndege ni ya serikali kwasababu inamilikiwa na serikali 100%.
Ndege ni ya ATCL kwasababu ATCL ndio wanaitumia.
Ndege ni ya Sisi Watanzania wote kwasababu fedha zilizonunulia ni fedha zetu, na sisi ndio tunaoipanda.

Pole wote
P
 
Mchawi ni sisi wenyewe mambo ya kupenda sifa na kujitangaza hovyohovyo ndiko kunatuponza, kwani kwenye majukwaa ya mapokezi ya ndege huwa hatusemi ndege ngapi tumepokea na ngapi zinakuja tena kwa tarehe?
Hapo sasa.
 
P.Mayalla acha polojo,onyesha uzalendo wako kwa kuanza kuchangia ili ndege yetu tuikomboe,dawa ya deni ni kulipa,wewe unachangia sh.ngapi?
 
Mkulima ni mkulima na hili jambo la kudai kafanya jambo jema kwa awamu hii vinginevyo hili deni lingedumu miaka na miaka na watu kujinufaisha kwa namna moja au nyingine..ni bora hili lijulikane mpaka mwisho kuliko kuchezewa mwenye haki stahili apate na mwenye njia ya ujanja janja nae aumbuke.
Ataumbuka tu muda si mrefu atakwenda ubalozi wa marekani na ulaya!
 
Back
Top Bottom