Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Kama mkulima ana kosa amelifanya basi na sisi tukate rufaa ama tumfungulie kesi nyingine kabisa, ila kama ana haki pia kisheria, anachokifanya ni sahihi kabisa. Serikali iache kutumia mbinu ya mbuni ya kuficha kichwa chake aridhini huku mwili mzima ukiwa unaonekana. Hivi kweli tunaweza kulinganisha mahakama za Canada na za huku kwetu ktk kusimamia na hata kutenda haki!?
 
Loo Usalama wa taifa na jeshi muonyeni Magufuli Aache uropokaji .mkuu wa majeshi nenda kamwambie hiyo Ni kazi yako .Sio kila kitu Cha kuongea kwenye majukwaa.TISS mumlazimishe awe anasoma hotuba za kuandikwa ili asivuke mipaka huyo.
kumbe mnamjua ni mropokaji eee
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Naamini wakati huo alipokuwa mwl wako hakuwa jalalani, Mwaka mmoja au miwili iliyopita aliokotwa jalalani,do you think mpaka huyo mwalimu wako kwenda kuishi jalalani alikuwa bado na akili zake zile zile? unless ziwe zimemrudia otherwise kama ziliruka mazima kujua kuwa justice system ya US ni tofauti na ile ya commonwealth countries na ndo maana ndege zetu hazijakamatwa US ni ngumu sana
 
mtoa post na wewe uwe unajiongeza unapojaribu kuwaeleza watu kitu umu wote ni watu wazima, haiwezekani ndege ikakamatwa bila sababu.
Msimtafute mchawi nani angalieni suluhisho la kudumu kumaliza hili tatzo sio kila siku porojo za wapinzani wanatumika na mabeberu.
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Kwa maana nyingine Kabudi anatudanganya wazi wazi?
 
Kwamba hajui kuwa Tanzania ni mwanachama wa Commonwealth? Ni mwanasheria gani huyu? Taratibu za Commonwealth kuhusu mambo ya case yanasemaje?Huyu kweli ni majalala
Jiwe fukuzilia mbali huyu mpumbavu kabudi uliyemwokota jalalani anakudaganya nawe unadaganyika had I aibu.kumbe hajui Canada ipo Commonwealth sasa ngoja yatokee India pia in Commonwealth wanaenda kamata Dreamliner.ubabe hausaidii
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Majaji wa India nawaaminia sana kwani hawaangalii sura ya mtu wala cheo chake. Hata Waziri Mkuu wao akiingia katika 18 zao anapigishwa kwata.
 
Eti maendeleo hayana chama
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
 
Kama mtu una tabia za kujimwambafai mwambafai eti hii nchi ina hela sana mara hii nchi ni tajiri sana unategemea anaekudai atafanyaje
 
Canada ni commonwealth wakati USA sio Commonwealth.

Pia SA ni commonwealth. I hope umepata jibu.

Ndio maana walifuta safari za SA. Kumbe wangeendelea kwenda huko ndege ingekamatwa tena. Hawakushinda kesi. Kesi ilifutwa kwa kuwa ilifunguliwa kimakosa.
Waache kutudanganya.

Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
 
Hivi kwamba tunanunua ndege nayo ni siri ya kuvujishwa? Au mi ndo sijaelewa?
Si ndio hapo kwanza haya mashirika yanayotengeneza ndege huwa wanatangaza kwenye website zao orders ambazo wanazo na expected date ya kudeliver
 
Loo Usalama wa taifa na jeshi muonyeni Magufuli Aache uropokaji .mkuu wa majeshi nenda kamwambie hiyo Ni kazi yako .Sio kila kitu Cha kuongea kwenye majukwaa.TISS mumlazimishe awe anasoma hotuba za kuandikwa ili asivuke mipaka huyo.
Duh, kweli dunia ni duara.

Wewe si ndiye mdogo wake wa jingalao? Sasa mbona unamgeuka mkulu uliyekuwa ukimfagilia?
 
Jpm mwenyewe alitangaza mbele ya wananchi na vyombo vya habari ujio wa ndege hii na mahali inapotengezwa, sasa mnamtafuta nani?
We huoni tatizo? Huoni kuna jambo haliko sawa? Nchi kama Tz inapangiwa mipango, ndege ya raia wake inakamatwa na kuzuiwa. Halafu anayefanya hayo ni mkulima mmoja? Mkulima hawezi kuwa na hiyo inteligensia ya juu hivyo. Kuna watu nyuma yake.
 
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Upuuzi mtupu,yaani nyie kila kitu serikali ikifanya mnapost na kusifia,si mlijitangaza kwamba kuna ndege itakuja kutoka canada? Kwani styne hajui kwamba kuna ndege zetu zipo canada? Si mlimlitea figisu south africa? Si ameenda canada? Na mkishinda canada anaenda kufungua nchi nyingine ambapo ndege zetu zinafanya biashara,South africa mlimshinda kwa technicalities za kisheria na ndio maana hampeleki ndege South,Kama msimpomlipa Styne fedha zake hizo ndege zenu zitafanya safari Dodoma na Chato tu basi.
 
Back
Top Bottom