The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Pole sana hasara ni kawaida kwenye biashara .Prof. Kabudi ni mwalimu wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana hasara ni kawaida kwenye biashara .Prof. Kabudi ni mwalimu wangu
Serikali ijikite kwenye Simu na email na Simu za kwenda kwa Lisu na kwenda kwa diaspora toka nchini.TCRA chekini Email na Simu zote za Tanzania zilizokwenda kwa Lisu au nje ya nchi nchi yeyote miezi miwili kabla ndege kushikwaWaziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Yeye ni mwanasheria wa family lawKwamba hajui kuwa Tanzania ni mwanachama wa Commonwealth? Ni mwanasheria gani huyu? Taratibu za Commonwealth kuhusu mambo ya case yanasemaje?Huyu kweli ni majalala
Jpm aliitangazia dunia kuwa novemba inakuja bombadier. Kwa hiyo alaumiwe Jiwe na sio kuanza kutafuta mchawiMkulima tumemshinda mara mbili tena kule kule kwao........hapa kuna manyang'au yanacheza michezo humu humu bongo!
Hawana uwezo hata wa kumjua kigogo2014Serikali ijikite kwenye Simu na email na Simu za kwenda kwa Lisu na kwenda kwa diaspora toka nchini.TCRA chekini Email na Simu zote za Tanzania zilizokwenda kwa Lisu au nje ya nchi nchi yeyotei miezi miwili kabla ndege kushikwa
Pascal Mayalla atakujibu kwa niaba ya mwalimu wake!Kwamba hajui kuwa Tanzania ni mwanachama wa Commonwealth? Ni mwanasheria gani huyu? Taratibu za Commonwealth kuhusu mambo ya case yanasemaje?Huyu kweli ni majalala
Hiyo alifanya master's/PhD lakini bachelor ni general hivyo alisoma hata sheria za kimataifa.Yeye ni mwanasheria wa family law
Dawa ya deni kulipa. Kuna msemo unasema ukitaka ubaya dai chako. Bwana mkulima anadai chake mnamuona mbaya tayarWaziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
muda mwingi amefanyia kazi family law ,hajawa kabisa field yeye ni maresearch ya talaka na katiba ,tofauti na Fatma karume yeye kasoma mengi pia ila amebobea field hasa bussness law ,makesi mengi ya mabeberu kutudai anayashikilia yeye .kabudi hajawahi siamama mahakama za kidunia kama kina lissu ye ni mavyuo tu.Japo nakiri is one of the cream heads in UDSM HISTORY ila siasa na njaa vimeua jina lakeHiyo alifanya masters/PhD lakini bachelor ni general hivyo alisoma hata sheria za kimataifa.
Mngenunua kmya kmya.....Kutangaza tumenunua ndege siyo dhambi!
Loo Usalama wa taifa na jeshi muonyeni Magufuli Aache uropokaji .mkuu wa majeshi nenda kamwambie hiyo Ni kazi yako .Sio kila kitu Cha kuongea kwenye majukwaa.TISS mumlazimishe awe anasoma hotuba za kuandikwa ili asivuke mipaka huyo.Jpm aliitangazia dunia kuwa novemba inakuja bombadier. Kwa hiyo alaumiwe Jiwe na sio kuanza kutafuta mchawi
The simple search engine: atcl kununua bombardier nyingine novemba tunapokea ndege nyingine
It is just a search engine results:atcl kununua bombardier nyingine novemba tunapokea ndege nyinginedok.ovh
Kweli huyu prof kaokotwa jalalani,kwamba prof jalalani anaamini mauziano ya ndege kati ya kampuni ya Bombadier na Tanzania ni siri kati ya muuzaji na mnunuaji? bei tu ndo inaweza kuwa siri ila si manunuzi na delivery date labda kama damu inatakiwa basi tumtafute tu msaliti ili tutoe sadakaWaziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!
Aaaaa aagha......!!!Mchezo mzima hela ya kumalizia kulipia ndege hatuna na muda tuliohaidi kufika hatuwezi tumeamua kumdondoshea zigo mkulima
Kwa hiyo anapojifanya kushangaa anatuzuga tu?Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Lisu sio mgonjwa sema tu amebakiza risasi moja matakoni hata hivyo haimzuii kutembea!Chonde chonde msije tu mkamsingizia mgonjwa kama ndiye mhusika anayetoa hizo taarifa. Dawa ya deni ni kulipa tu. Waziri asimtafute mchawi.
Jiwe, uwa anatangaza akiwa Live kwenye Tv zinduzi za ujao wa ndege mpya pale Airport, kwamba ameshalipia ndege nyingine zinatengenezwaWaziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?
Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.
Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?
Maendeleo hayana vyama!