Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Serikali ijikite kwenye Simu na email na Simu za kwenda kwa Lisu na kwenda kwa diaspora toka nchini.TCRA chekini Email na Simu zote za Tanzania zilizokwenda kwa Lisu au nje ya nchi nchi yeyote miezi miwili kabla ndege kushikwa
 
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Dawa ya deni kulipa. Kuna msemo unasema ukitaka ubaya dai chako. Bwana mkulima anadai chake mnamuona mbaya tayar
 
Hiyo alifanya masters/PhD lakini bachelor ni general hivyo alisoma hata sheria za kimataifa.
muda mwingi amefanyia kazi family law ,hajawa kabisa field yeye ni maresearch ya talaka na katiba ,tofauti na Fatma karume yeye kasoma mengi pia ila amebobea field hasa bussness law ,makesi mengi ya mabeberu kutudai anayashikilia yeye .kabudi hajawahi siamama mahakama za kidunia kama kina lissu ye ni mavyuo tu.Japo nakiri is one of the cream heads in UDSM HISTORY ila siasa na njaa vimeua jina lake
 
Jpm aliitangazia dunia kuwa novemba inakuja bombadier. Kwa hiyo alaumiwe Jiwe na sio kuanza kutafuta mchawi

Loo Usalama wa taifa na jeshi muonyeni Magufuli Aache uropokaji .mkuu wa majeshi nenda kamwambie hiyo Ni kazi yako .Sio kila kitu Cha kuongea kwenye majukwaa.TISS mumlazimishe awe anasoma hotuba za kuandikwa ili asivuke mipaka huyo.
 
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Kweli huyu prof kaokotwa jalalani,kwamba prof jalalani anaamini mauziano ya ndege kati ya kampuni ya Bombadier na Tanzania ni siri kati ya muuzaji na mnunuaji? bei tu ndo inaweza kuwa siri ila si manunuzi na delivery date labda kama damu inatakiwa basi tumtafute tu msaliti ili tutoe sadaka
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wangu, anajua kabisa justice system ya US sio common law system hivyo foreign awards za common law are only applicable kwenye commonwealth countries. Ndio maana baada ya South Africa ni Canada, wanasubirua safari za Mumbai na UK. US na China ni salama kabisa na Kabudi analijua hili vizuri tuu.
.
P
Kwa hiyo anapojifanya kushangaa anatuzuga tu?
 
Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba.......Mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa??.......kulikoni Canada?

Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako".......Prof aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa Bongo pamoja na usaliti wao ujanja wao unaishia humu humu ndani labda kidogo wanaishia SA.

Swali lako Prof Kabudi ni la maana sana........Kwanini Canada?

Maendeleo hayana vyama!
Jiwe, uwa anatangaza akiwa Live kwenye Tv zinduzi za ujao wa ndege mpya pale Airport, kwamba ameshalipia ndege nyingine zinatengenezwa
 
Back
Top Bottom