Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Hivi mbona mume wa Rais haonekani sana kama walivyokuwa wake wa marais 🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time not yet!.Hujabubujikwa machozi mkuu?
Ni mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
Ni mwandishi wake wa ripotiPengine ndio jambazi mkuu wa kura za wananchi.
Huyo anaitwa Waziri Salumu Rajabu Ni katibu wa RaisNi mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
Umerogwa ✅umelogwa asubuh hii hii gentleman, si bure 🐒
Kipenzi cha watu? Kivipi?Ni mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
mshika hirizi wa serikaliNi mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
mwanaume lazima uilinde hazi yako otherwise utajishushia hadhi kwa mke wako , maana hata maandiko yanasema tuishi nao kwa akili ,naona mme wake ameona ni kama atakuwa anajichoresha kwa watanzania na kingine hawa wanawake zetu si akili zao si unazijua akijua yeye ndio kila kitu hadhi yako kama mwanaume inapotea, hata kama anao uwezo wa kununua mahitaji kamwe usiruhusu awe dominant ili sauti yako kwake iwe na nguvu kama kichwa cha familia.Hivi mbona mume wa Rais haonekani sana kama walivyokuwa wake wa marais 🤔🤔🤔
HahahahHuyo ni Tlaatlaah bila kupepesa macho.