Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.

Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.

Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.

Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.

Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.

View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Huyu ndo anayeandika hotuba za raisi?kwaio hata ile hotuba ya sherehe za police aliandika yeye?
 
Bora kafiri anaye chukiwa na waarabu na mabeberu mafisadi kuliko muisiharamu anaye pendwa na mabeberu ya NATO chunguza ni marais gani upendwa na mabeberu nchini ...
Kwa hivyo kwako Mtu kuchukiwa na watu hao ni kwa sababu za kiimani na si vingine!!
 
Kwa hivyo kwako Mtu kuchukiwa na watu hao ni kwa sababu za kiimani na si vingine!!
Mbona umesoma kama umefulumuka kutoka chumbani mwa P DIDDY ..NIMESEMA KUCHUKIWA NA MABEBERU MAFISADI NA WAARABU MAFISADI YAANI KUKUELEWESHA KOTE AMJAELEWA ...UFISADI NI MOJAWAPO YA MAMBO YA KIPUMBAVU
 
Mbona umesoma kama umefulumuka kutoka chumbani mwa P DIDDY ..NIMESEMA KUCHUKIWA NA MABEBERU MAFISADI NA WAARABU MAFISADI YAANI KUKUELEWESHA KOTE AMJAELEWA ...UFISADI NI MOJAWAPO YA MAMBO YA KIPUMBAVU
Umesema kweli mkuu kwani mimi si niliingia baada ya kutoka wewe? Mbona unajitia kuahau!

Baada ya utangulizi huo, sasa naeleza haya uliyoyaandika. Ulianza kwa kusema kwamba Waislamu hawafai kuongoza labda waongoze msikiti. Nami nikakubaliana nawe na nikasema Wakristo na makafiri, wao wanaweza kuongoza. Natarajia hili unalielewa pamoja na kwamba ulichukua muda mkubwa kwa P Diddy.

Wewe ukaja na maswala yako ya makafiri na waislamu wapumbavu na wenye akili; nami nikakuuliza hivi haya uliyaeleza awali? Wewe umekuja kubadilisha. Hivi ni nani kati yetu haelewi?

Nikuambie tu hapa tunajadili kauli yako ya kwamba waislamu hawafai kuongoza labda msikiti. Huenda umedanganyika kwa kauli za wadanganyifu, sasa tuendelee huenda tutaelewana huko tunakoelekea. Karibu tena.
 
Huyu atakuwa anamiliki yale majeshi ya watekaji nawauaji ndio maana alimuandikia ile hotuba kule CCP Moshi
 
Umesema kweli mkuu kwani mimi si niliingia baada ya kutoka wewe? Mbona unajitia kuahau!

Baada ya utangulizi huo, sasa naeleza haya uliyoyaandika. Ulianza kwa kusema kwamba Waislamu hawafai kuongoza labda waongoze msikiti. Nami nikakubaliana nawe na nikasema Wakristo na makafiri, wao wanaweza kuongoza. Natarajia hili unalielewa pamoja na kwamba ulichukua muda mkubwa kwa P Diddy.

Wewe ukaja na maswala yako ya makafiri na waislamu wapumbavu na wenye akili; nami nikakuuliza hivi haya uliyaeleza awali? Wewe umekuja kubadilisha. Hivi ni nani kati yetu haelewi?

Nikuambie tu hapa tunajadili kauli yako ya kwamba waislamu hawafai kuongoza labda msikiti. Huenda umedanganyika kwa kauli za wadanganyifu, sasa tuendelee huenda tutaelewana huko tunakoelekea. Karibu tena.
Kwa hiyo wewe unaona waislamu wanafaa kuwa marais ...baba yako aliuza ng'ombe kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
 
Kwa hiyo wewe unaona waislamu wanafaa kuwa marais
Kwenye hili wacha nirudie tena, kwani inaelekea una ugonjwa wa kusahau: Waislamu hawafai kuwa marais ila Wakristo na Makafiri ndio wanaofaa kuwa marais.
baba yako aliuza ng'ombe kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
Hakuna tatizo kwani lengo la babangu lilikuwa kunisomesha haijalishi ni kiumbe gani. Jee babako wewe aliuzq ng'ombe kukusomesha kumbe aliuza ng'ombe kusomesha punda? Sioni ajabu na unayomfanyia babaako kwani fadhila za punda ni mateke. Karibu sana.
 
Kwenye hili wacha nirudie tena, kwani inaelekea una ugonjwa wa kusahau: Waislamu hawafai kuwa marais ila Wakristo na Makafiri ndio wanaofaa kuwa marais.
Hakuna tatizo kwani lengo la babangu lilikuwa kunisomesha haijalishi ni kiumbe gani. Jee babako wewe aliuzq ng'ombe kukusomesha kumbe aliuza ng'ombe kusomesha punda? Sioni ajabu na unayomfanyia babaako kwani fadhila za punda ni mateke. Karibu sana.
Muislamu awezi kuwa rais bora hata siku moja huo ndiyo ukweli ninao kufunulia .wala sipepesi macho kwenye huu ukweli hata watoto wa familia za marais waislamu ndiyo wenye mambo ya ajabu ajabu kiserikali...watazame tatoto wa Nyerere...Mkapa...JPM kisha tazama mwinyi kikwete samia ....ule msemo wa mama kahaba baba fisadi mtoto anauza ngada jaribu kuufitisha kwa marais waislamu tulio kuwa nao na kwa marais wakristo utaona tofsuti wazi wazi
 
Muislamu awezi kuwa rais bora hata siku moja huo ndiyo ukweli ninao kufunulia .wala sipepesi macho kwenye huu ukweli hata watoto wa familia za marais waislamu ndiyo wenye mambo ya ajabu ajabu kiserikali...watazame tatoto wa Nyerere...Mkapa...JPM kisha tazama mwinyi kikwete samia ....ule msemo wa mama kahaba baba fisadi mtoto anauza ngada jaribu kuufitisha kwa marais waislamu tulio kuwa nao na kwa marais wakristo utaona tofsuti wazi wazi
Sasa limekuja swala la rais bora? Hivi ubora ulioueleza umetumia vigezo gani? Kumbuka: Tunajadili mambo makubwa na muhimu na hatupo kwenye kilabu cha kunywa mbege. Weka hivyo vigezo na utueleze umevipata wapi. Vinginevyo endelea na mbege tu.
 
Back
Top Bottom