nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
NCHI ipo katika mikono ya wahuni Bcoz of our foolishnessAcheni wizi, utekaji na uuaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NCHI ipo katika mikono ya wahuni Bcoz of our foolishnessAcheni wizi, utekaji na uuaji
Kwa haraka haraka bila kupepesa macho hawa ni wapenzi/michepuko. Rais wetu amefanywa lishangazi!!Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.
View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
IbuKama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.
View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Umetukosea hehima sana Watanzania. Umeandika kitu kibaya iisicho na hekima wala busara. Ukiweza futa. Ni ushauri tu.🙏🙏🙏Kwa haraka haraka bila kupepesa macho hawa ni wapenzi/michepuko. Rais wetu amefanywa lishangazi!!
Huyu mshirikina keshammaliza rais wetu kwa ndumba!
Huyo anaitwa Waziri Salumu Rajabu Ni katibu wa Rais
Limshale kuuubwa ad limegonga kwenye sura, sasa tutamjuaje?Ni mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
Huyo ni KAYANZA Peter Pinda mtoto wa PM mstaafu.Ni mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
Ni katibu wa Rais mkuu.Ni mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
WasiojulikanaNi mara ya pili namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.
Naomba kumtambua huyu mtu ana wadhifa gani? .
View attachment 3162750
Hujabubujikwa machozi mkuu?namuona akiwa pembeni ya Rais wetu kipenzi cha watu.