residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyakati zimebadilika sana"hiyo kitengo ni pesa tupu, "Ili nikupendekeze Uwaziri weka mil 100 katika acc"
Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.
Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034Ni vema na haki
Kaah! Jamani kuna mijitu miongo, haya niangalie na mimi kwenye picha hiyo uniambie unanionaje?Siwezi kukufundisha,kila mtu anazaliwa na power yake,instincts zake .Mimi nina uwezo wa kumuangalia mtu na kumsoma na kujua kabisa kama ni mshirikina.
Kwanza hapo unatumia picha si yako.Kaah! Jamani kuna mijitu miongo, haya niangalie na mimi kwenye picha hiyo uniambie unanionaje?
Elimu yake twafadhali , sheikh!Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
AnasemajeMange Kimambi anamchambua jamaa huko
Unashida nayeNdugu zangu za Asubuhi naomba msaada namba ya Waziri Rajab Salum Kingo
Mwongo kama TUMBA MBICHI....Tangu aondoke Mkapa nchi haijapata kiongozi wa maana
Hujitambui wewe....Waisiharamu hawafai kuongoza nchi labda waongoze misikiti
[emoji7][emoji7]Huyu jamaa namuona ni mtu poa nilianza kumfuatilia kitambo toka yupo taasisi ya elimu ata kabla ya hapo ni mtu mzuri anaonekana
JamiiForums mobile app
Yatoe masikio yako humo mifukoni....Hotuba huwa hazivutii.
Mtu unasikiliza unakua na hamu ya kusikia jambo mpaka anamaliza unakuta hujaambulia chochote.
KmmmmamakooooWaisiharamu hawafai kuongoza nchi labda waongoze misikiti
Unamaana gani kusema mshirikina ?!!Kwanza hapo unatumia picha si yako.
Kivipi ?!![emoji44]Anaonekana.