DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Oooh! Safi snKutoka maktaba :
Mkurugenzi wa Utafutaji Rasilimali na Usimamizi wa Miradi ya Elimu kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania Ndugu Waziri Rajab ....
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh! Safi snKutoka maktaba :
Mkurugenzi wa Utafutaji Rasilimali na Usimamizi wa Miradi ya Elimu kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania Ndugu Waziri Rajab ....
..
Da kweli tuna safari ndefu. Kumwambia mtu abebe katoto basi ukadhihirisha utu wake!Ni WA Bara ama wa pwani?? Lkn kwa kumtizama ni mtu asiekuwa na wenge, hana makeke. Ana hekma. Kuna siku nilimwona anamwambia mama abebe katoto hospital kule umbuluni, nikadhihirisha utu wake
Mmmm ina maana yeye ndiye Rais sasa au...anyway...kuna vitu ni vya kuangalia tu na kusikiza.Yani jamaa ndio kila kitu kwa Rais kwa Sasa.
Itakuwaaa!!😂😂Hahaha!!kwamba naile mipasho kwenye hotuba za mama,jamaa anaichomekea?
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
😁😁😁😁 Jamaa punguani kweli aiseeDa kweli tuna safari ndefu. Kumwambia mtu abebe katoto basi ukadhihirisha utu wake!
Unamharibia jamaa!Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Tulia chawa wenzako tunawajuasasa wewe umefahamu vp kama hamkubali
laana ina anzia kuwasemea watu hadi ya moyoni
viroboto hamjuaniTulia chawa wenzako tunawajua
Magoti alimpost kwa sababu ni Boss wake, huyu ni Katibu Binafsi wa Rais na anaongoza Ofisi Binafsi ya Rais (OBR) na huyo Magoti anafanya kazi huko so ni mtu na boss wakeNi kweli huyu mwamba toka Bi mkubwa achukue utawala nimeona watu wengi wakijipendekeza kwake kuanzia wasanii, wabunge, mawaziri, na watumishi wengine kuna siku magoti anamsifia huyu jamaa halafu kampost. Biblia inasema ukitaka kuelti meza kuu ya bwana ni lazima upitie kwake kristo so he is Monte cristo, por vafor. Au ndama anajiita Akayesu huyu ndio akayesu sio wa zama hizi za joto, maji machafu na yaisoyotoka, porojo nyingi za mwenezi, umeme wa mchongo, maharage kilo 3600, sukari kilo 5000.
Ni Mkuu wa Utumishi Serikalini, anasimamia Utumishi wa UmmaVipi katibu mkuu kiongozi?
Mluguru huyo wa Morogoro huko acheni dhambiMzenjibar huyu
Sio powerful kihivyo ila ndiye mratibu wa shughuli zote za Rais including ratiba za Rais za kiofisi na binafsi. So akikaza kweli hutoboi maana yeye ndio msimamiz wa ratibaInawezekana kwenye protocol za kiserikali, but huyu jamaa is the most powerful person hapa TZ ukiachana na Rais mwenyewe. Acha mchezo na mtu anayeaminiwa na Rais.
Google mtu mmoja anaitwa Farouk Kibet, ndio PA wa Ruto. Huyo jamaa akisema "Hautamuona Ruto", ni uhakika Hautamuona.
Kaa kwa passwordviroboto hamjuani
acha unafiq kijana kuwasemea watuKaa kwa password
Nakuheshimu sn usinitafute mkuuacha unafiq kijana kuwasemea watu
mkuu sikutafuti, sema hili la kumsemea mtu tena lililo moyoni mwake na ajalitoa si sawaNakuheshimu sn usinitafute mkuu
Wewe ni mke wake?mkuu sikutafuti, sema hili la kumsemea mtu tena lililo moyoni mwake na ajalitoa si sawa
we ukilishwa maneno ambayo huyafahamu tena maneno ya kumpinga boss utaona ni sawa
Achana na huyo Bejamini Netanyau mvuta bangi .itakuwa tayari kashajifukiza moshi wa bangi kichwani mwake.kwa hiyo kwa sasa hamuwezi mkaelewana maana akishavuta akili yake huwa inapotea. Ndio maana utaona anamwita kila mtu dada maana hupoteza kumbukumbu na ufahamu hata wakujuwa huyu mtu ni wa jinsia ipi na huyu ni wa ipi.mkuu sikutafuti, sema hili la kumsemea mtu tena lililo moyoni mwake na ajalitoa si sawa
we ukilishwa maneno ambayo huyafahamu tena maneno ya kumpinga boss utaona ni sawa
Anasema umejifungua upo martenity Leave.Achana na huyo Bejamini Netanyau mvuta bangi .itakuwa tayari kashajifukiza moshi wa bangi kichwani mwake.kwa hiyo kwa sasa hamuwezi mkaelewana maana akishavuta akili yake huwa inapotea. Ndio maana utaona anamwita kila mtu dada maana hupoteza kumbukumbu na ufahamu hata wakujuwa huyu mtu ni wa jinsia ipi na huyu ni wa ipi.