Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.

Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.

Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.

Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.

Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Unamharibia jamaa!

Wingu zito limetanda angani!

RIP comrade Mwakasubi!Ulikua loyal sana Kwa mteuzi!!
 
Katibu wa Rais hahusiki na hotuba za Rais, Rais ana msaidizi Maalum kwa ajili ya kuandaa hotuba na huyo hufanya kazi chini ya Ofisi Binafsi ya Rais inayoongozwa na Katibu wa Rais. Makamba alikua mwandishi wa hotuba za Jk lkn hajawahi kuwa Katibu wake. Ofisi Binafsi ya Rais huwa inaratibu kila kitu kuanzia watu wa hotuba, media, watu wa mavazi, protokali, ratiba binafsi za Rais n.k
 
Ni kweli huyu mwamba toka Bi mkubwa achukue utawala nimeona watu wengi wakijipendekeza kwake kuanzia wasanii, wabunge, mawaziri, na watumishi wengine kuna siku magoti anamsifia huyu jamaa halafu kampost. Biblia inasema ukitaka kuelti meza kuu ya bwana ni lazima upitie kwake kristo so he is Monte cristo, por vafor. Au ndama anajiita Akayesu huyu ndio akayesu sio wa zama hizi za joto, maji machafu na yaisoyotoka, porojo nyingi za mwenezi, umeme wa mchongo, maharage kilo 3600, sukari kilo 5000.
Magoti alimpost kwa sababu ni Boss wake, huyu ni Katibu Binafsi wa Rais na anaongoza Ofisi Binafsi ya Rais (OBR) na huyo Magoti anafanya kazi huko so ni mtu na boss wake
 
Inawezekana kwenye protocol za kiserikali, but huyu jamaa is the most powerful person hapa TZ ukiachana na Rais mwenyewe. Acha mchezo na mtu anayeaminiwa na Rais.

Google mtu mmoja anaitwa Farouk Kibet, ndio PA wa Ruto. Huyo jamaa akisema "Hautamuona Ruto", ni uhakika Hautamuona.
Sio powerful kihivyo ila ndiye mratibu wa shughuli zote za Rais including ratiba za Rais za kiofisi na binafsi. So akikaza kweli hutoboi maana yeye ndio msimamiz wa ratiba
 
mkuu sikutafuti, sema hili la kumsemea mtu tena lililo moyoni mwake na ajalitoa si sawa

we ukilishwa maneno ambayo huyafahamu tena maneno ya kumpinga boss utaona ni sawa
Achana na huyo Bejamini Netanyau mvuta bangi .itakuwa tayari kashajifukiza moshi wa bangi kichwani mwake.kwa hiyo kwa sasa hamuwezi mkaelewana maana akishavuta akili yake huwa inapotea. Ndio maana utaona anamwita kila mtu dada maana hupoteza kumbukumbu na ufahamu hata wakujuwa huyu mtu ni wa jinsia ipi na huyu ni wa ipi.
 
Achana na huyo Bejamini Netanyau mvuta bangi .itakuwa tayari kashajifukiza moshi wa bangi kichwani mwake.kwa hiyo kwa sasa hamuwezi mkaelewana maana akishavuta akili yake huwa inapotea. Ndio maana utaona anamwita kila mtu dada maana hupoteza kumbukumbu na ufahamu hata wakujuwa huyu mtu ni wa jinsia ipi na huyu ni wa ipi.
Anasema umejifungua upo martenity Leave.
 
Back
Top Bottom