Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Ni kweli huyu mwamba toka Bi mkubwa achukue utawala nimeona watu wengi wakijipendekeza kwake kuanzia wasanii, wabunge, mawaziri, na watumishi wengine kuna siku magoti anamsifia huyu jamaa halafu kampost. Biblia inasema ukitaka kuelti meza kuu ya bwana ni lazima upitie kwake kristo so he is Monte cristo, por vafor. Au ndama anajiita Akayesu huyu ndio akayesu sio wa zama hizi za joto, maji machafu na yaisoyotoka, porojo nyingi za mwenezi, umeme wa mchongo, maharage kilo 3600, sukari kilo 5000.
Mkuu umeandika au vp 😂
 
Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.

Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.

Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.

Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.

Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Waisiharamu hawafai kuongoza nchi labda waongoze misikiti
 
Inawezekana kwenye protocol za kiserikali, but huyu jamaa is the most powerful person hapa TZ ukiachana na Rais mwenyewe. Acha mchezo na mtu anayeaminiwa na Rais.

Google mtu mmoja anaitwa Farouk Kibet, ndio PA wa Ruto. Huyo jamaa akisema "Hautamuona Ruto", ni uhakika Hautamuona.
Si ndo kazi yake kaka ya kupanga appointment za watu ambao wanataka kumuona Rais, nguvu yake Ina mipaka pia maana lazima awasiliane na chief of protocol Ili ajue ratiba au ziara za kikazi za Rais, kwa hiyo akisema hutomuona Rais habahatishi maana anakua anajua ratiba za kikazi za Rais au watu wa Ikulu wamekataa mtu flani asionane na Rais kwa muda huo au itakavyoamuriwa.
 
Naambiwa ni jamaa Makini sana huyu . Ni jamaa anayeshirikiana na kila mtu hata wasio na umaarufu , tofauti na ilivyokuwa kipindi kile January Makamba akiwa muandishi wa JK.

Kwa sifa alizo nazo atakuwa ni wa kitengo tu huyu.

Kama unapitia hizi post basi endelea kuwa mtu wa watu bila kubagua maana Maisha ya kesho ni fumbo kubwa sana .
Umakini upi wakati nchi ipo gizani
 
Kuna tofauti Kati ya Katibu binafsi wa Rais na Katibu wa Rais Ikulu

Huyo ni Katibu binafsi wa Rais, appointment za Rais ndo anapanga yeye, hauhusaini na hotuba wala kumpangia safari Rais... Nachelea kusema kuwa huyo sio Mtumishi wa Umma maana sio lazima awe Mtumishi wa umma , maana anaweza kumtoa popote, Chamani, Vyuoni, inategemea na Rais mwenyewe japo mara nyingi akishakuwa hapo ikulu lazime aajiriwe. QqHuyo ndo huwa anasoma meseji zetu humu na kumwambia Ma Samia yanayoendelea, huyo ndo huwa anamwambia mama Kuna mtu ameomba cherehani mpatie , huyo ndo huwa anamwambia mama tukifika hospital beba mtoto au Mpe pole Mzee flani , wananchi wanapenda kusikia ukisema hivi au vile ..Kwa machache nayoyajua
Wajuzi wapo humu watakuambia
Basi huyo ndo mwenye nguvu. Huyo hata kiongozi mkubwa kama waziri inabidi awe naye makini sana.
 
Mkuu bagamoyo tafadhali tupeleke maktaba tumjue uto mwamba

Kutoka maktaba :


Mkurugenzi wa Utafutaji Rasilimali na Usimamizi wa Miradi ya Elimu kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania Ndugu Waziri Rajab ....​

1708712383843.png

Waziri Rajab(kulia) wakikata keki katika mkutano wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Uliofanyikia ukumbi
www.tea.or.tz Mamlaka ya Elimu Tanzania ...
..
1708712641639.png
 
Back
Top Bottom