Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Kwa haraka haraka bila kupepesa macho hawa ni wapenzi/michepuko. Rais wetu amefanywa lishangazi!!
Huyu mshirikina keshammaliza rais wetu kwa ndumba!
 
Ngusa Samike hakuwa Katibu binafisi wa Rais,alikua Mnikulu! Katibu binafisi Marais waliopita Magufuli,Kikwete,Mkapa, Mwinyi au Nyerere,hawakua mbele mbele kama huyu Waziri Rajab Kingo! Kuna tatizo sehem
Ibu
 
Kwa hiyo ndugu zetu wote waliopotea tumdai huyu mwamba siyo!!
 
Kwa haraka haraka bila kupepesa macho hawa ni wapenzi/michepuko. Rais wetu amefanywa lishangazi!!
Huyu mshirikina keshammaliza rais wetu kwa ndumba!
Umetukosea hehima sana Watanzania. Umeandika kitu kibaya iisicho na hekima wala busara. Ukiweza futa. Ni ushauri tu.🙏🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…