Ni nani mmiliki wa viwanja vya Gymkhana Dar es salaam? Ufisadi wa kutisha unaandaliwa

Ni nani mmiliki wa viwanja vya Gymkhana Dar es salaam? Ufisadi wa kutisha unaandaliwa

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Swali ni nani mmiliki wa viwanja vya Ghymkhana Dar es Salaam?

Tuanze kunywa mtori nyama ziko chini, naomba kumjua mmiliki na muendeshaji wa viwanja vile.

Updates:

Well, kinachoendelea sasa ni kuiua Gymkhana kwa ustadi wa hali ya juu, moja ya mbinu inayotumika ni tozo ya kutumia facility kwa kichwa. Bei juu watu wanakimbilia Lugalo jeshini.

Hakuna huduma za kutunza viwanja na quality inashuka, pale Gymkhana ni Beach front, kuna matajiri Tanzania wameumbwa bila haya wanaiua Gymkhana makusudi ili wapate sababu ya kujenga mahotel yao au kuipora ile ardhi ambayo ipo prime area.

Sasa tunaiambia Serikali na kuwaonya wahusika wote mipango yao michafu inajulikana na Wizara ya Michezo itoke usingizini sasa tunataka vitu vya gizani kama hivi tuelezwe wazi mapato ya Gymkhana yanakwenda wapi?

Kuna matajiri wakiona ardhi iko wazi town kama Leaders Club na Gymkhana mate yanawatoka na hawana aibu.
 
Swali ni nani mmiliki wa viwanja vya Ghymkhana Dar es salaam?

Tuanze kunywa mtori nyama ziko chini, naomba kumjuwa mmiliki na muendeshaji wa viwanja vile.
Hiyo ni club, Ina members ndio wamiliki, nenda RITA utawakuta, huh sio kama uwanja wa kwenu sinza mapambano, pembeni Kuna mganga anamuosha dawa mgonjwa, pembeni Kuna mateja na wavuta bangi, na pembeni Kuna changu analiwa
 
Hiyo ni club, Ina members ndio wamiliki, nenda RITA utawakuta, huh sio kama uwanja wa kwenu sinza mapambano, pembeni Kuna mganga anamuosha dawa mgonjwa, pembeni Kuna mateja na wavuta bangi, na pembeni Kuna changu analiwa
Katika maisha yangu nitawaonya uzao wangu wasithubutu kuwa wana ccm huondoa akili za watu kabisa.
 
Hiyo ni club, Ina members ndio wamiliki, nenda RITA utawakuta, huh sio kama uwanja wa kwenu sinza mapambano, pembeni Kuna mganga anamuosha dawa mgonjwa, pembeni Kuna mateja na wavuta bangi, na pembeni Kuna changu analiwa
Una uhakika na ulichoandika? Serikali haihusiki Gymkhana? Serena hotel wakati ikiitwa Sheraton walipata kiwanja wapi cha Kujenga hotel yao?
 
Pascal Mayalla wewe ni journalist na Wakili msomi, hebu tusaidie ni nani mmiliki wa viwanja vya Gymkhana Dar es salaam?
Nafikiri ni ya serikali.
Historia yake Gymkhana imeanza rasmi 1916 na mwanzilishi ni mkoloni chini ya Govana Sir Cameron, wakati huo ukitumika kama uwanja wa kukimbia kwa farasi.

Kwasasa unaongozwa na wanachama wa club na mwenyekiti akiwa ni Waltwr Chipeta
 
Kuna mfanyakazi mmoja anafanya pale kazi, juzi nilimpelekea bidhaa ali_order online ikabidi nimdodose Akasema ni viwanja vya Serikali japo inaendeshwa ki_membership, sasa sikuwa na intention zaidi ya kujua....!! Sema kuna Malaya wengi Sana usiku kwenye uchochoro karibu na geti la kutokea
 
Nafikiri ni ya serikali.
Historia yake Gymkhana imeanza rasmi 1916 na mwanzilishi ni mkoloni chini ya Govana Sir Cameron, wakati huo ukitumika kama uwanja wa kukimbia kwa farasi.

Kwasasa unaongozwa na wanachama wa club na mwenyekiti akiwa ni Waltwr Chipeta
Well, kinachoendelea Sasa ni ukiuwa Gymkhana Kwa ustadi wa hali ya juu, moja ya mjini inayotumika ni tozo ya kutumia facility Kwa kichwa watu wanakimbilia Lugaro jeshini.

Hakuna huduma za kutumia viwanja quality inashuka, pale Gymkhana ni Beach front, kuna matajili Tanzania wameumbwa bila haya wanaiuwa Gymkhana makusudi ili wapate sababu ya Kujenga mahotel yao au kuipora ile Ardhi ambayo IPO prime area.

Sasa tunaiambia serikali na kuwaonya wahusika wote Mipango yao michafu inajurikana na wizara ya michezo itoke usingizini Sasa tunataka vitu vya gizani kama hivi tuelezwe wazi mapato ya Gymkhana yanakwenda wapi?

Kuna matajili wakiona Ardhi iko wazi town kama Leaders club na Gymkhana mate yanawatoka na hawana aibu.
 
Well, kinachoendelea Sasa ni ukiuwa Gymkhana Kwa ustadi wa hali ya juu, moja ya mjini inayotumika ni tozo ya kutumia facility Kwa kichwa watu wanakimbilia Lugaro jeshini.

Hakuna huduma za kutumia viwanja quality inashuka, pale Gymkhana ni Beach front, kuna matajili Tanzania wameumbwa bila haya wanaiuwa Gymkhana makusudi ili wapate sababu ya Kujenga mahotel yao au kuipora ile Ardhi ambayo IPO prime area.

Sasa tunaiambia serikali na kuwaonya wahusika wote Mipango yao michafu inajurikana na wizara ya michezo itoke usingizini Sasa tunataka vitu vya gizani kama hivi tuelezwe wazi mapato ya Gymkhana yanakwenda wapi?

Kuna matajili wakiona Ardhi iko wazi town kama Leaders club na Gymkhana mate yanawatoka na hawana aibu.
Hii post ipandishe juu kwenye habari kuu mkuu
 
Back
Top Bottom