Ni nani mmiliki wa viwanja vya Gymkhana Dar es salaam? Ufisadi wa kutisha unaandaliwa

Ni nani mmiliki wa viwanja vya Gymkhana Dar es salaam? Ufisadi wa kutisha unaandaliwa

Swali ni nani mmiliki wa viwanja vya Ghymkhana Dar es salaam?

Tuanze kunywa mtori nyama ziko chini, naomba kumjuwa mmiliki na muendeshaji wa viwanja vile.

Updates:

Well, kinachoendelea Sasa ni ukiuwa Gymkhana Kwa ustadi wa hali ya juu, moja ya mjini inayotumika ni tozo ya kutumia facility Kwa kichwa watu wanakimbilia Lugaro jeshini.

Hakuna huduma za kutumia viwanja quality inashuka, pale Gymkhana ni Beach front, kuna matajili Tanzania wameumbwa bila haya wanaiuwa Gymkhana makusudi ili wapate sababu ya Kujenga mahotel yao au kuipora ile Ardhi ambayo IPO prime area.

Sasa tunaiambia serikali na kuwaonya wahusika wote Mipango yao michafu inajurikana na wizara ya michezo itoke usingizini Sasa tunataka vitu vya gizani kama hivi tuelezwe wazi mapato ya Gymkhana yanakwenda wapi?

Kuna matajili wakiona Ardhi iko wazi town kama Leaders club na Gymkhana mate yanawatoka na hawana aibu.
Kwa sheria za Mipangomiji hilo eneo haliruhusiwi kuwekwa majengo, hiyo ndo eneo linaloanzia breathing area ya Jiji la Dar es salaam, hata huo uwanja uliwekwa kimkakati ili kuwabana waroho wa ardhi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Swali ni nani mmiliki wa viwanja vya Ghymkhana Dar es salaam?

Tuanze kunywa mtori nyama ziko chini, naomba kumjuwa mmiliki na muendeshaji wa viwanja vile.

Updates:

Well, kinachoendelea Sasa ni ukiuwa Gymkhana Kwa ustadi wa hali ya juu, moja ya mjini inayotumika ni tozo ya kutumia facility Kwa kichwa watu wanakimbilia Lugaro jeshini.

Hakuna huduma za kutumia viwanja quality inashuka, pale Gymkhana ni Beach front, kuna matajili Tanzania wameumbwa bila haya wanaiuwa Gymkhana makusudi ili wapate sababu ya Kujenga mahotel yao au kuipora ile Ardhi ambayo IPO prime area.

Sasa tunaiambia serikali na kuwaonya wahusika wote Mipango yao michafu inajurikana na wizara ya michezo itoke usingizini Sasa tunataka vitu vya gizani kama hivi tuelezwe wazi mapato ya Gymkhana yanakwenda wapi?

Kuna matajili wakiona Ardhi iko wazi town kama Leaders club na Gymkhana mate yanawatoka na hawana aibu.
Empty to my side
 
Kwa sheria za Mipangomiji hilo eneo haliruhusiwi kuwekwa majengo, hiyo ndo eneo linaloanzia breathing area ya Jiji la Dar es salaam, hata huo uwanja uliwekwa kimkakati ili kuwabana waroho wa ardhi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Basi wewe ni Mgeni Tanzania, pale ocean road hospital pembeni kuna jengo crefu hadi ikulu yote ya magogoni unaiona ndani, jiulize alipataje building permit?

Kwa aibu tu zile floor zote za juu zimechukuliwa na usalama.
 
Dah!
Eti ajira ya hoteli ni bora kuliko wacheza golf na tenisi hii ndiyo bongo ukicheza michezo unaambiwa utavyunjika mguu, ndiyo maana viwanja vya michezo wamejenga madarasa ya kayumba.
 
Hili unaloliongea lina ukweli almost 80 percent. Gymkhana iloanza kupwaya Andy chande na mkapa walipokufa. Worstcase scenario wakachagua viongozi akina Fina mango, gerald na Terrence sijui yaani wepesi wasiokuwa na maarifa makubwa na kujua purpose ya gymkhana.

Tulipoona ule mgahawa wa kiswahili huku baharini tulijua tuu mchezo wa kuimaliza umeanza nadhani makonda ana mkono kwenye harakati za kuanza kutolea macho maeneo yale.

Wazee wengi wenye akili zao wamesha zeeka na sasa wamebaki vijana watauza utasikia gsm kanunua anajenga parking.
 
Hili unaloliongea lina ukweli almost 80 percent. Gymkhana iloanza kupwaya Andy chande na mkapa walipokufa. Worstcase scenario wakachagua viongozi akina Fina mango, gerald na Terrence sijui yaani wepesi wasiokuwa na maarifa makubwa na kujua purpose ya gymkhana.

Tulipoona ule mgahawa wa kiswahili huku baharini tulijua tuu mchezo wa kuimaliza umeanza nadhani makonda ana mkono kwenye harakati za kuanza kutolea macho maeneo yale.

Wazee wengi wenye akili zao wamesha zeeka na sasa wamebaki vijana watauza utasikia gsm kanunua anajenga parking.
Wanapoteza kabisa mandhari ya gymkhana

Ova
 
Hapa temeke pile Kuna hoarding na gorofa linajengwa.
Hakuna tena uwanja wa mazoezi.

Nakumbuka Jembe alitoa neno kuhusu huu uwanja.

Then alivyo aga Dunia tu watu Wana Jenga fasta.

Some time nikimuona mtu analalamikia ufisadi alafu anamuita Jembe shetani namuonea ni sawasawa na [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kuna mfanyakazi mmoja anafanya pale kazi , juzi nilimpelekea bidhaa ali_order online ikabdi nimdodose Akasema ni viwanja vya serikali japo inaendeshwa ki_membership , sa skuwa na intention zaidi ya kujua....!! Sema kuna Malaya wengi Sana usku kwenye uchochoro karbu na geti la kutokea
Mimi niliwahi kufanya kazi pale kwa nafasi ya Meneja mkuu nakuhakikishia kwamba DGC inamilikiwa na wanachama inayo wadhamini wa club watu wanne mengine ni propaganda
 
Mimi niliwahi kufanya kazi pale kwa nafasi ya Meneja mkuu nakuhakikishia kwamba DGC inamilikiwa na wanachama inayo wadhamini wa club watu wanne mengine ni propaganda
Chama chochote kinamilikiwa na mwanachama wala hujui hapa tunajadili nini?

Mmiliki wa Ardhi ya Gymkhana ni nani?
 
Hapa temeke pile Kuna hoarding na gorofa linajengwa.
Hakuna tena uwanja wa mazoezi.

Nakumbuka Jembe alitoa neno kuhusu huu uwanja.

Then alivyo aga Dunia tu watu Wana Jenga fasta.

Some time nikimuona mtu analalamikia ufisadi alafu anamuita Jembe shetani namuonea ni sawasawa na [emoji706][emoji706][emoji706]
Inasikitisha sana mambo yanayofanyika nchi hii

Ova
 
Swali ni nani mmiliki wa viwanja vya Ghymkhana Dar es salaam?

Tuanze kunywa mtori nyama ziko chini, naomba kumjuwa mmiliki na muendeshaji wa viwanja vile.

Updates:

Well, kinachoendelea sasa ni kuiua Gymkhana kwa ustadi wa hali ya juu, moja ya mbinu inayotumika ni tozo ya kutumia facility kwa kichwa. Bei juu watu wanakimbilia Lugalo jeshini.

Hakuna huduma za kutunza viwanja na quality inashuka, pale Gymkhana ni Beach front, kuna matajiri Tanzania wameumbwa bila haya wanaiuwa Gymkhana makusudi ili wapate sababu ya kujenga mahotel yao au kuipora ile ardhi ambayo ipo prime area.

Sasa tunaiambia serikali na kuwaonya wahusika wote mipango yao michafu inajulikana na Wizara ya Michezo itoke usingizini sasa tunataka vitu vya gizani kama hivi tuelezwe wazi mapato ya Gymkhana yanakwenda wapi?

Kuna matajiri wakiona ardhi iko wazi town kama Leaders Club na Gymkhana mate yanawatoka na hawana aibu.
Chifu yupo ikulu kugombania milango ya vyoo tu
 
Nafikiri ni ya serikali.
Historia yake Gymkhana imeanza rasmi 1916 na mwanzilishi ni mkoloni chini ya Govana Sir Cameron, wakati huo ukitumika kama uwanja wa kukimbia kwa farasi.

Kwasasa unaongozwa na wanachama wa club na mwenyekiti akiwa ni Waltwr Chipeta
Nafikiri ni Mtukufu Aghakhani anaimiliki kwa sasa
 
Back
Top Bottom