Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Tofauti A. H Mwinyi kuna aliyewahi kuwajibika kwa kuamua kuachia ngazi sidhani hatuna sheria inayowataka wawabishwe kwa kuachia ngazi ?Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika.
1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji Mkuu wa Serikali
4. Gavana wao BoT
5. Waziri wa Uinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF (?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi Mkuu wa Serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao. Je, mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini.
Hii nchi tamu sana.. Mwaka 2009 Nikiwa Kualar Lumpur Malaysia kwenye kongamano la dini na biashara nilikutana na mhindi mmoja tajiri na katika mazungumzo yetu akasema usipotajirika Tanzania huwezi kutajirika popote[emoji3064][emoji848][emoji2827]Tofauti A. H Mwinyi kuna kuwajibika kwa kuamua kuachia ngazi sidhani hatuna sheria inayowataka wawabishwe kwa kuachia ngazi ?
"If you can't make it here. You can't make it anywhere" mimi niliwahi kuambiwa hivyo ni muda umepita. Uzalendo kazi saaana!!!!Hii nchi tamu sana.. Mwaka 2009 Nikiwa Kualar Lumpur Malaysia kwenye kongamano la dini na biashara nilikutana na mhindi mmoja tajiri na katika mazungumzo yetu akasema usipotajirika Tanzania huwezi kutajirika popote[emoji3064][emoji848][emoji2827]
Wahuni Siyo Watu Wazuri In Pole Pole VoiceHao wote ulio taja hawana nguvu kuamua kazi yao ni kuweka sahihi tu kuna clique yenye nguvu ndani ya chama yenye maamuzi ya mwisho........ndo wanao panga hela ya ziada itagawanywa je, hilo jambo ni mchakato mrefu sio tukio sema kwa hilo kulikua na miscommunication kati ya Raisi na procurement clique ila itawekwa sawa bila kuvictimize mtu yoyote. Nchi ina wenyewe.
Unajua tatizo siyo adhabu. Tatizo ni kuwa hawachukuliwi hatua. Hebu nitajie ni wangapi wameshafungwa hata miaka mitatu tu ndiyo tuseme kuwa adhabu haitoshi? Ni kuwa hawafikishwi mahakamani kabisa au wakifikishwa hawafungwi. Hivyo basi, hata kama wakianzisha adhabu ya kunyonga, watakaonyongwa watakuwa wapigaji wa fedha ndogo kabisa kama laki, laki mbili etc.Kuna wakati nawaza kikatili sana. Mwizi wa mali ya umma ni mbaya kuliko muuaji. Ikiwa tutaanza kuwanyonga, heshima itarudi
Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika.
1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji Mkuu wa Serikali
4. Gavana wao BoT
5. Waziri wa Uinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF (?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi Mkuu wa Serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao. Je, mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini.
Hatari kweli kweliRais Dkt Samia anahitaji kulindwa kwa nguvu zote na kumuombea sana Mungu amlinde maana lile kundi linalipiza kisasi cha kuiba kwa nafasi waliyokosa enzi za Dkt Magufuli.
Soon tutamsikia ataanza mniombee hahahaha maana Rais Samia alidhani kupiga picha na kengeza au punga lisu ndiyo inaongeza uandilifu kwa watumishi wa umma, na ile kauli yake eti watumishi walikuwa na nidhamu ya uoga na kula kwa kamba, kwanza sasa hivi tu wamejua amewafahamu watakuwa wanamuombea mabaya ili yampate ya Dkt MagufuliHatari kweli kweli
Mwenye dhamana ya kulinda cheji zetu anamjua..Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika.
1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji Mkuu wa Serikali
4. Gavana wao BoT
5. Waziri wa Uinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF (?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi Mkuu wa Serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao. Je, mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini.
Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika.
1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji Mkuu wa Serikali
4. Gavana wao BoT
5. Waziri wa Uinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF (?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi Mkuu wa Serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao. Je, mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini.