Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
I agree with you 100%, she is not fit for purposes. Urais hakuchaguliwa na kwahio kazi haijui. Rais makini jana ile ile bila kulalamika alitakiwa kutengua Management yote ya ATCL, Bodi yake na wote waliosaini kulipa hio nyongeza bila kuusoma mkataba wa manunuzi kwa sababu kikatiba ana hayo mamlaka. Mabilion ya pesa yanakopwa na huku kwingine yanafujwa! Kulikua hamna haja ya kulalamika hovyo hovyo, kaonesha udhaifu mkubwa.Maybe she don't feel the position