Mipuuzi itaanza kusema aliyeweka cha juu ni JPM inadhani na sisi ni ndondocha kama myenyeweJPM anahusikaj hapa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipuuzi itaanza kusema aliyeweka cha juu ni JPM inadhani na sisi ni ndondocha kama myenyeweJPM anahusikaj hapa ?
4by94 umemuona wa kwanzaMagufuli alikua mwizi asio penda kuiba na wenzie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtani kiafrika unapokuwa mezani unakula hutakiwi kuongea... Usingeniona hapa muda huu [emoji23]
Niite mbwa akifanya hayoIfike mahali mama aache kulalama badala yake achukue hatua sasa. Yeye ndiyo amiri jeshi mkuu, yeye ndiyo mwenye dola, kamata wote weka ndani huku uchunguzi ukiendelea. Atakayebainika filisi mali rudisha hela serikalini iwe fundisho kwa wengine
Na mjerumani angebakia kukutawalaNgozi nyeusi ina laana ya milele.
Inabidi mjerumani arudi kutu tawala kwa Viboko na mijeledi maana tumeshindwa kabisa kujiongoza...
Mshana naungana na wewe watu walioko madarakani ndo wanaoiba hela na rasilimali za umma,alafu wanatumia hela hiyo hiyo kukwamisha baadhi ya Mambo yasiende mfano kukwamisha kuwepo kwa katiba mpya itakayo kuwa na meno ya kutoa adhabu kali kwao.Kwenye bili ya dola 37 elfu ikaongezwa cha juu dola 49 elfu [emoji23] halafu watu kama hawa uwaambie kuhusu katiba mpya watakuelewa kweli
Waziri wa Utalii,Waziri Mkuu wanahusikaUrefu wa kamba na wingi wa asali na maziwaView attachment 2570560
Serikali haiwezi kufanya biashara. Period.Shirika la ndege la Tz alijawahi kuleta faida yoyote na hasara ya ma billion hiyo pesa ingewekezwa kwa kupeleka maji vijijini huenda maisha ya mtazania wa kawaida yange badilika.
Mama rasmi ameonyesha hana uwezo wa kupambana na wapigaji..Baada ya ulafi wa mali za umma kuanikwa na CAG, hakika rais wetu Samia anatakiwa asaidiwe pakubwa na kwa haraka, ikiwemo kumwombea Mungu ampe ujasiri, akili na hekima itokayo juu.
Kakwama kabisa na kuishia tu kulalamika na kutukana: "...stupid..., ...pumbavu..."!
Nani ataogopa kuendelea kuiba na kula fedha za umma kwa kulalamikiwa na kutukanwa tu bila kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu na kisheria?!
Credit: Gwappo Mwakatobe