Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

Kwa jambo hili kama mama atabaki kulalamika tu hadharani bila kuchukua hatua basi 2025 atawapa wapinzani turufu itakayomuangusha.

Mama hatakiwi kabisa kufumbia macho uozo huo ikizingatiwa hiyo ni ela yetu sie walipa kodi wao ni watunzaji tu wa pesa yetu, hali za maisha ni ngumu sana halafu waliopewa dhamana wanaiba pesa yetu na wasichukuliwe hatua??!

Samiaagain2025 hapana mama pamoja na huruma ya "umama" katika hili na mengine ya aina hii lazima ule vichwa vya hao waliousika ili tujenge imani kwako vinginevyo hao wanakuharibia vibaya, please Mom do something as a lesson for others to learn and mantain your credibility to us.
Wapinzani wapi? Hawa wanakula asali kwa mikono miwili au!!??
 
Yaani watu wezi sana, $ 49 mil ni sawa na fedha zetu tshs 114 bil, watu hawa hawajali kabisa, mimi naona Mama angewafukuza pale pale aliposema waondoke wenyewe, yaani angesema barua zao za kufukuzwa kazi zipo tayari leo baada ya kikao hiki waondoke kabisa wezi hawa wakubwa sana, sbb itakuwa ni chain kubwa ya wapigaji ktk dili hilo
Ubavu wa kufukuza hana
 
Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika.

1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji Mkuu wa Serikali
4. Gavana wao BoT
5. Waziri wa Uinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF (?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi Mkuu wa Serikali?
8....
9....

Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao. Je, mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?

Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini.
Halafu eti Samia for President 2025,itakuwa confirmation kwamba Tanzanians are Zombies.
 
Hawezi, mkono wa mstaafu uko hapo.

Narudia tena, hawezi.

Hakuna wa kufukuzwa hata mmoja.

Mama kama angekuwa na uwezo huo hakupaswa kutoka na kutuambia. Tulitakiwa tuone watu ni fired bila sisi kujua kinachoendelea. Ndo uongozi.

Mama aliona Magu hana huruma. Akasahau kuwa hii nchi ina wajanja fulani wanaendesha nchi kama choo binafsi.

Atamkumbuka Magu, na nchi ishamshinda. Watu wanapekenyua hadi kilemba chake.
Haya yote yameasisiwa na huyo ndugu Yako!! Hatujui alipiga ngapi Kwa kununua ndege Cash, wametumia hiyo hiyo expirience kwani taasisi nyingi kubwa Bado zipo Sukuma Gang, TRC, atcl etc.
 
Ubavu wa kufukuza hana
Sasa wa nini mkuu,si aondoke?Tunataka Rais atakaye Linda resources zetu na kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli.Ngoja niwaambie Watanzania,mkishaona Rais wenu yupo karibu na Marekani, mjue mnapigwa.This means that ujio wa Kamala Harris ni tangazo la doom kwa Watanzania culturally, morally,economically and heaithwise.Ninaloweza kuwaambia Watanzania ni poleni sana.Kama hamtanielewa sasa mtanielewa baadae,unless you are zombified.
 
Sijui saizi anajiskiaje hamna hata mmoja alieachia ngazi pamoja na yeye kama Rais kukasirika na kuwatusi waachie ngazi ila wamekomaa dadadeki.. ndo mtajua hamjui
 
Haya yote yameasisiwa na huyo ndugu Yako!! Hatujui alipiga ngapi Kwa kununua ndege Cash, wametumia hiyo hiyo expirience kwani taasisi nyingi kubwa Bado zipo Sukuma Gang, TRC, atcl etc.
Aisee mpo wazuri sana kugeuza vibao.Samia alishaweka watu wake,msidanganye Watanzania.Kama mnachoita Sukuma gang kweli wapo, si awaondoe?

Tunacho ona ni kwamba she is a weak President and can't bite,na sisi kama Watanzania we want a strong President who anybody will be forced to think twice before doing anything contrary to government regulations.As it now stands, we do not have such a President.
 
Yaani watu wezi sana, $ 49 mil ni sawa na fedha zetu tshs 114 bil, watu hawa hawajali kabisa, mimi naona Mama angewafukuza pale pale aliposema waondoke wenyewe, yaani angesema barua zao za kufukuzwa kazi zipo tayari leo baada ya kikao hiki waondoke kabisa wezi hawa wakubwa sana, sbb itakuwa ni chain kubwa ya wapigaji ktk dili hilo
Siyo ajabu kachunguza kakuta Kuna Hadi wakuu wa vyombo nyeti wameusika kktk mgao huo akaona kuwatoa wote Ni kuvuruga serekli billion 114 siyo mchezo Kuna chai kubwa mno iko pale Tena wangine Ni wa humo humo wa ikulu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawezi, mkono wa mstaafu uko hapo.

Narudia tena, hawezi.

Hakuna wa kufukuzwa hata mmoja.

Mama kama angekuwa na uwezo huo hakupaswa kutoka na kutuambia. Tulitakiwa tuone watu ni fired bila sisi kujua kinachoendelea. Ndo uongozi.

Mama aliona Magu hana huruma. Akasahau kuwa hii nchi ina wajanja fulani wanaendesha nchi kama choo binafsi.

Atamkumbuka Magu, na nchi ishamshinda. Watu wanapekenyua hadi kilemba chake.
Huyo magu na biswalo,dotto james wamepora pesa na kuzimiliki wao...hizo ndege na mabehewa mabovu ni magufuli,kadogosa na dotto james
 
Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika.

1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji Mkuu wa Serikali
4. Gavana wao BoT
5. Waziri wa Uinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF (?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi Mkuu wa Serikali?
8....
9....

Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao. Je, mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?

Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini.
Sio kutokuepo ofisini,hawakutakiwa kuwa uraiani tena wapo hapa wengine wanatoa utetezi wa kinafiki.
 
Hao wamekula na bado hawajatosheka wanataka kula tena!! Waachwe wale tu wakishiba na kutosheka wataacha tu wenyewe.
 
Waziri mkuu naona kama Hamsaidii Mama, Yeye ndio mtendaji mkuu wa Serikali na vijana wake ndio wanaolitaifisha Taifa kwa kuiba, sijui hili nalo limekaaje
Mkuu unamuonea tu Mheshimiwa, unajua fika kuwa walamba asali na watoto wao ndio wenye maamuzi, kama mama ameishia kusema watupishe waziri mkuu ni nani hadi awadhibiti hao wezi? je hao vijana aliwateua yeye kwa mkono wake au anashtukia tu wapo jikoni. Watu walisema walamba asali ni wahuni sio wa kuwachekea sasa tunavuna mabua.
 
I agree with you 100%, she is not fit for purposes. Urais hakuchaguliwa na kwahio kazi haijui. Rais makini jana ile ile bila kulalamika alitakiwa kutengua Management yote ya ATCL, Bodi yake na wote waliosaini kulipa hio nyongeza bila kuusoma mkataba wa manunuzi kwa sababu kikatiba ana hayo mamlaka. Mabilion ya pesa yanakopwa na huku kwingine yanafujwa! Kulikua hamna haja ya kulalamika hovyo hovyo, kaonesha udhaifu mkubwa.
Mkuu ATCL wao wanakodishwa tu hizo ndege,wanunuzi na wamiliki wa ndege hizo ni serikali yenyewe. malipo na invoice hazitoki ATCL.
 
Mkuu sio kwamba Raisi magufuli alikua mbaya, ila ndo aliongoza kwa kufanya ubadilifu hata bila kuficha unakumbuka 1.5tn shilling alio potea akatanjwa na CAG hata alishindwa kujitetea, pesa alio tumia Chato ilikua nje ya bajeti ya serikali Magufuli alikua mwizi asio penda kuiba na wenzie.
Punguza upumbavu tujadili qizi ukuopo uachane na magufuli; stupid
 
Back
Top Bottom