Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
- Thread starter
- #21
Kwa nn Congo mkuu?Kongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn Congo mkuu?Kongo
Jamii isiyokuwa na akili utoa viongozi wasio na akili.Viongozi ndio hawana akili wanakuaga na akili kabla ya kua viongozi mfano Shangazi,Nape,Makamba Mwigulu n.k
Tanza-niaNdugu wanajf Africa Ni bara kubwa lenye nchi takriban 56 na watu wenye asili tofautitofauti Sasa je naomba kujua ni nchi ipi iliyo na rasilimali nyingi lakini watu wake hawana akili ya kuzitumia??
Hakuna kitu kama hicho huyo aliyesema hivyo haijui ukubwa wa nchi na anafaninisha wilaya anayoingoza na linchi likubwa ambalo Burundi, Rwanda, Kenya zina zama ndani ya Tanzania.Kuna mwamba mmoja alishawahi kusema akipewa bandari ya Dar miezi mitatu tu watu hata kodi hawatalipa na mambo yataenda, wakakasirikaaaaaaaaaaaaaaaaa ,mna mavyoanzo makuuubwa ya mapato lakini kuyatumia hamuwezi angalia sasa hata hao bandari wenyewe wanaambiwa wahamie Dodoma kufurahisha wanasiasa
wakongoNdugu wanajf Africa Ni bara kubwa lenye nchi takriban 56 na watu wenye asili tofautitofauti Sasa je naomba kujua ni nchi ipi iliyo na rasilimali nyingi lakini watu wake hawana akili ya kuzitumia??
Haha wananchi wao wanabakia kukatika mauno na kujichubua
1. DRC congo/ ZaireNdugu wanajf Africa Ni bara kubwa lenye nchi takriban 56 na watu wenye asili tofautitofauti Sasa je naomba kujua ni nchi ipi iliyo na rasilimali nyingi lakini watu wake hawana akili ya kuzitumia??