Ni nchi gani tajiri barani Afrika lakini watu wake hawana akili?

Ni nchi gani tajiri barani Afrika lakini watu wake hawana akili?

Watawala wa kiafrica hawana confidence ya kutawala watu walioshiba, wametengeneza mifumo inayowabana watu wao kuinuka Ili wazidi kuwa masikini Ili waweze kuwatawala.
 
Nchi ya kwanza kwa utajiri ghafi ni duniani ni congo. Bara la kwanza kwa utajiri ghafi ni Afrika,utajiri waliochukua wakoloni haifiki hata robo ya raslimali tele ambazo bado zipo.
 
Umasikini wa Afrika ni uthibisho kwamba tulikurupuka kudai UHURU kwa kuingizwa chaka na wapigania UHURU wao waliangalia maslai yao na sio ya waafrika wote, thus hadi kesho wamevitengenezea maisha vizazi vyao vinalamba asali.
 
Kuna mwamba mmoja alishawahi kusema akipewa bandari ya Dar miezi mitatu tu watu hata kodi hawatalipa na mambo yataenda, wakakasirikaaaaaaaaaaaaaaaaa ,mna mavyoanzo makuuubwa ya mapato lakini kuyatumia hamuwezi angalia sasa hata hao bandari wenyewe wanaambiwa wahamie Dodoma kufurahisha wanasiasa
Hakuna kitu kama hicho huyo aliyesema hivyo haijui ukubwa wa nchi na anafaninisha wilaya anayoingoza na linchi likubwa ambalo Burundi, Rwanda, Kenya zina zama ndani ya Tanzania.
 
Ndugu wanajf Africa Ni bara kubwa lenye nchi takriban 56 na watu wenye asili tofautitofauti Sasa je naomba kujua ni nchi ipi iliyo na rasilimali nyingi lakini watu wake hawana akili ya kuzitumia??
1. DRC congo/ Zaire
2. Tanzania
 
Back
Top Bottom