Ni ngumu sana kufanya biashara ya Familia kwa wakristo, biashara za Familia tuwaachie waislam?

Wakristo hata biblia ipo kwa kiswahili tamaduni hadi uvaaji ni wa kiswahili ila nyie ni too much kujiona kama wasaudi punguzeni
Tamaduni zipi? uvaaji upi ndio ni utamaduni wa Kiswahili?

Unataka wanawake wavae vimini na kuacha maziwa nusu nje? umewahi kuona picha za Mother Teresa anavyovaa?
Unawaona masister huko Kanisani wanavyo vaa?
 
Tatizo la waislam wengi weusi wanajichukuliaga waarabu kama ndugu zao yaani wakiona maisha ya waarabu ndio wanajiona kama ndio wao kumbe waarabu wana falsafa tofauti kabisa na ndio maana hawataki kabisa kuowana na watu weusi
Wajinga tu.
 
Da
Kama vile walivyo wakristo hujiona kua wao ni wayahudi au wamarekani weusi wa Ifakara,wakiona maendeleo ya hao niliowataja, hujiona kama wao ndio wameendelea hivyo.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mweusi ni mweusi tu hana mawazo mapana ya biashara
 
wewe na akili yako kwan we hujui walaka wa urithi??
Kuna ndoa inalazimisha umuachie mkeo mali? au ni sheria ua nchi ya mirathi?

mtoa maada jielimishe elimu na uelewa wako mfinyu sana hukupaswa hata kuanzisha uzi ulibiid uwe msikilizaji au ungeuliza swali ueleweshwe kuliko kuandika usichokijua
 
Oya hii nadhani ni report ya familia yenu au mtu wa karibu eeh?

Ninavyojua mimi katika ukristo hakuna formula rasmi ya hayo mambo na kama ipo watu hawafanyii kazi kivile.

Wengi wanarudi katika maelekezo ya marehemu, sheia ya nchi au mila/tamaduni.

Halafu turudi kwa sisi watu weusi wa kitanzania, suala la biashara ya familia naweza kusema ni asilimia 10 tu bila kujali kabila ndio wameweza kuendeleza na kufanikiwa.

Wengi wanagangia njaa tu kwa kukosa mishe nyingine.
Mtoa mada akomae aanzishe yeye na aweke misingi hiyo, mambo ya kurithi ni ya wachache, hela zianzie kwa babu huko, baba ashike kijiti vizuri, kisha ampe mtoto baada ya kumuandaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…