Ni ngumu sana kupata mwanamke full package

Ni ngumu sana kupata mwanamke full package

Mwanamke asiwe na vitu vi3 tu.

1. Asiwe malaya/mlevi.
2. Asiwe mshirikina/Imani za waganga.
3. Asiwe mtu asiye na hofu ya MUNGU na wazazi/walezi/ukoo.

Mengine yoote ni kuvumiliana. Hatuko perfect.

Mm ningechukua huyo omba omba au single mother.
Mkuu inaonekana hujakutana na mwanamke mwenye DHARAU na asiyetosheka.
 
Ww ndo utakufa mapema. Yani uoe singo maza tena ana watoto wawili??

Anyway, Yanga atamfunga Masandawana [emoji23][emoji23]
Kuna mtu kachukua mwanamke wa rafiki yake aliyezaa nae watoto 4 na kaweka ndani na jamaa aliyemzalisha mwanamke anapambana kumrudisha bila mafanikio miaka imepita sasa. Huyu si alitakiwa afe baada ya wiki?
 
Unapotafuta mwanamke usiwe mbinafsi kuangalia tako sijui nini nini tafuta mwanamke anaeweza kuwa mama bora wa watoto wako. Wanawake wana changamoto zao kweli ila watu genuine wapo. Anyways mapenzi ni kamari tu na yenyewe sikuiz you have to give it a try ili ujue kipi ni kipi. Juz nlikuwa nafanya kazi na dada mmoja manager benk moja kubwa hapa mjini ana mtoto mmoja na hajaolewa na ni mzuri, (tako ipo, rangi nyeupe, na sura nzuri) kwa vigezo vya wengi humu mzuri ndio huwa yuko hivyo, ila sasa aisee ni changamoto sana huyu mtu yan kukaa na mwanaume ni haiwezekani kabisa, nikawaza nikasema huyu hata mazingira ya kuwa single maza alijitengenezea mwenyewe maana kuna mtu ukimwona tu unajua huyu kwa tabia zake lazima kuna mtu atamzalisha then atamkimbia ila sababu wanakuaga wajuaji ukimwambia ataleta ujuaji inabid ukae kimya. Nasisitiza tena wanawake genuine wapo wanamatatizo yao kidogo ila yanazungumzika na yanarekebishika, wanahitaji tu mtu wa kuwaambia tu kwamba hili haliko sawa , hili lipo sawa na wanaenda kujirekebisha ,
 
Hakuna asiyekosa mapungufu, sababu sisi sote ni binadamu, sio malaika sisi. Kuna wanaofundishika, wasio-jeuri, wanaoelewa na kukubali mapungufu yao, na kukubali kupambana kuyarekebisha kadiri unavoelekeza. Nionavyo hao ndio wanafaa.

Ila mapungufu kibao afu jeuri, harekebishiki haaa hao unaeza kuua.
Mwenye wtt 2 look like your choice kaka,I know how you feel ila itakua ulimpenda sn huyo
 
Sema single mamas wakiwa wanakutegea kukusikilizia wanajua sana kukuigizia ngoja uingie mkenge sasa ndio utajua kwanini aliyemzalisha hakumuoa...
Usumbufu wa single mother kama si mwanamke malaya upo kwa baba wa watoto.

Ukishajiridhisha kuwa baba wa watoto wake hana madhara basi tatizo si kubwa kama tunavyojiaminishaga humu.

Tena mara nyingine inakuwa zaidi ya ulivyotegemea, mwanamke anakuwa anatumia nguvu kubwa asikupoteze sababu anaamini kuwa na watoto na kupata mwanaume ni bahati mno.
 
Nilikuwa najipa moyo kwamba unaweza kupata mwanamke mwenye sifa angalau 80% ya vile vigezo muhimu vya kuwa mke bora. Nikasema kama wapo wanawake wazuri wa sura zenye mvuto, lakini kwa nini usipate mwenye mvuto akawa pia na tabia nzuri, mnyenyekevu, mtiifu, mwenye bidii nk? Nikaona ngoja niingie sokoni.

Wa kwanza
Huyu nilianza kwanza kuwa rafiki yake katika masomo tukichukua degree ya pili. Dogo hakuficha mapenzi yake kwangu. Mwanzo alikuwa mgumu kuwa na mimi faragha lakini baadae akalegeza shule ikaanza kuwa inafanyikia hostel kwangu. Akaniambia kila kitu kuhusu yeye, nikaamini huyu nitaoa. Kwanza mzuri, tako lipo, elimu ni masters.

Muda ni mwalimu mzuri. Kadri muda ulivyoenda nikagundua alikuwa na jeuri na mbabe. Yeye anasema tatizo ni kabila lake. Lakini ghafla mapenzi yakashuka zile simu za mara kwa mara zikakoma, akawa busy. Ukihoji majibu ni ya kiburi. Nilipochunguza nikagundua elimu, kazi na uzuri ndio vinampa kiburi. Nikampotezea. Baadae akaanza kujirudi, bahati mbaya akakuta nilishamtoa thamani kwa hiyo naishia kumla tu.

Wa pili
Huyu alikuwa mzuri wa sura, mpole, mcha Mungu. Nilikutana naye tukipeleka watoto shule, nikampa lift tukiwa tunarudi. Kipindi hicho nilikuwa single nikaona ngoja nitest nipate dada wa kuzugia. Huyu nilikula kimasihara bila kutongaza. Dada anajiweza, hana njaa, haombi hela. Anakununulia zawadi na hata mkitoka outing anaweza kukukataza kulipa. Anafanya biashara ya vipodozi na dry cleaners kadhaa. Ana mjengo mkali kuliko hata mimi na anasukuma Vanguard.

Muda ilivyoenda akafunguka kuhusu maisha yake. Alikuwa ni single maza tena mwenye watoto wawili. Yeye anasema mipango ya ndoa na mzazi mwenzie ilivunjika akiwa amelipwa mahali.

Wakati mimi nimeegesha tu, mwenzangu akawa serious sana. Mapenzi dhidi yangu yakazidi. Kila nikifiria kummwaga namuonea huruma. Kwa kweli dada ni innocent sana, hata nilipomfanyia investigations bado sijapata kiashiria hatari.
Lakini ndiyo hivyo ni single maza, tena wa watoto wawili. Mzazi mwezie anawasiliana kuhudumia watoto hasa ada na maendeleo ya watoto kwa ujumla.

Watatu
Huyu ni mwanamke wa kawaida. Maisha yake ni kuunga unga. Kipato chake hakizidi laki 2 kwa mwezi. Ameishia form four akala zero. Umri wake kidogo ulinitia moyo kwa sababu ni matured. Nikasema labda huyu asiye msomi anaweza kufaa akawa na wajibu wa kulea familia tu. Lakini daah, wakati wa mahusinao tu alikuwa tegemezi sana. Vibomu visivyokuwa na ukomo. Yule dada hana tofauti na omba omba. Kuna kipindi alikuja kwangu akakuta kiroba cha mchele akaomba nimgawie kidogo nimpe na maharage kama yapo. Anaweza kukuomba hela asubuhi ukamwambia huna, mchana wake anakuja tena kuomba hela.

Lakini mbali na hayo, kwa kweli ni fundi sana kitandani. Anapiga kazi hatari sana. Sijawahi kula demu mtamu kama yule. Hana choyo kabisa. Unaweza kutoka naye tu bila kuhitaji chochote, lakini atakuambia kwa hiyo leo hunipi dudu?

Niliona ni kama ndio silaha yake.
Kiufupi omba omba ilinishinda nikampotezea.

Wanne
Huyu ni binti smart, bright, mwalimu, muhaya mwenye sura ya kitutsi. Bado anajitafuta kimaisha. Huyu yupo serious sana na maisha. Hayupo romantic. Ukitukuta outing huwezi kudhani ni wapenzi. Japo yupo available sana kwangu, home kwake nafika muda wowote. Nikienda kumchukua kazini kwake haoni shida kunitambulisha.
Tatizo ninaloliona kwake ni kuwa serious sana na mwenye misimamo mikali. Hata stori zake mara nyingi anaongelea jinsi anavyowamudu mabosi wake kazini kwa sababu ya misimamo. Naona hizi ni dalili za feminist. Huyu mtu anaweza kuwa mtiifu kweli?!

My Take
Naona kumpata mwanamke full package ni kazi ngumu sana. Kwa hiyo ndugu zangu ukimpa tafadhali usimpoteze. Wenzio tunawahangaikia sana
We mwenyewe sio full package harafu unataka upate MWANAMKE fully package ni tatizo

Moja ya kanuni kubwa ya MAHUSIANO ni hi

"KUMPA MTU SAHIHI KINAANZIA NA WEWE KUA SAHIHI"

Kamwe huwezi kupata mwenza SAHIHI kama wewe mwenyewe sio SAHIHI, kama wewe sio sahihi utaishia kumeet with wrong peoples for all your relationship life na kufanya nao uasherati na kuwaacha ndio yatakua maisha yako na hata kama ukioa NDOA itakua na changamoto nyingi sana b'se hutokaa umuamini mke wako b'se we mwenyewe sio mwaminifu

NOTE: "AONAVYO MTU NAFSINI MWAKE NDIVYO ALIVYO"

Mwizi Lazima ataona anaibiwa kila muda b'se yeye mwenyewe ni mwizi, kama wewe ni mwizi lazima utahisi unaibiwa kila muda ✍️
 
Back
Top Bottom